Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kumbe Kuna maandamano? 😁😁Tulishasema tangu awali kwamba , Kwenye harakati za kisiasa , yako mambo madogo madogo ama tuvitu vitu fulani twa kusisimua sana lakini hatupewi Airtime .
Sasa kwenye maandamano yanayoendelea watoto wa shule baada ya kusikia Mbowe anavurumisha maandamano kwenye eneo lao wakaamua kuvunja masomo na kuingilia msafara wake , wakamzuia ili awape neno kuhusu Madawati na baadaye wakampigia Saluti Kabambe na kuahidi kuunga mkono Maandamano hayo .
Ushahidi huu hapa
View attachment 2973463View attachment 2973464View attachment 2973465
Ccm wana watoto wa chipukizi kama hao nchi nzima , mwalimu hana kosa na wanamabadiliko huanzia utotoni, sera za ccm kupiga marufuku siasa mashuleni na vyuoni wakati wao wanafanya siasa huko ni ushamba wao wenyewe kama walivo miaka yoteMwalimu mkuu wa hiyo shule ameyakanyaga ajiandae kwa lolote
Ni kweli kwamba ccm inaandaa waraka wiki nzima wa kusitisha masomo ili wanafunzi wakampokee Nchimbi Lakini Chadema inakimbiliwaSiasa bana,
Ingekuwa wamefanya CCM, mngesema watoto wamelazimishwa,
Mkifanya nyie, CDM inapendwa,
Anyway, in short, watoto wameonekana kufurahia zaidi kuonana na kamanda Mbowe kuliko wale waigizaji wa CCM!!
Ukisimamia HAKI, una kibali Toka juu,
Mbarikiwe🙏
Mmeanza kutumia wanafunzi kuwapotezea muda wa masomo hilo ni kosa wizara ya elimu iliangalie hilo na ikemee vikali!Tulishasema tangu awali kwamba kwenye harakati za kisiasa, yapo mambo madogo madogo ama tuvitu vitu fulani twa kusisimua sana lakini hatupewi Airtime.
Sasa kwenye maandamano yanayoendelea watoto wa shule baada ya kusikia Mbowe anavurumisha maandamano kwenye eneo lao wakaamua kuvunja masomo na kuingilia msafara wake wakamzuia ili awape neno kuhusu Madawati na baadaye wakampigia Saluti Kabambe na kuahidi kuunga mkono Maandamano hayo.
Ushahidi huu hapa.
View attachment 2973463View attachment 2973464View attachment 2973465
Kwahiyo Mbowe kaagiza wakuu wa Shule wafunge shule waje kuandamana?Tulishasema tangu awali kwamba kwenye harakati za kisiasa, yapo mambo madogo madogo ama tuvitu vitu fulani twa kusisimua sana lakini hatupewi Airtime.
Sasa kwenye maandamano yanayoendelea watoto wa shule baada ya kusikia Mbowe anavurumisha maandamano kwenye eneo lao wakaamua kuvunja masomo na kuingilia msafara wake wakamzuia ili awape neno kuhusu Madawati na baadaye wakampigia Saluti Kabambe na kuahidi kuunga mkono Maandamano hayo.
Ushahidi huu hapa.
View attachment 2973463View attachment 2973464View attachment 2973465
Unaumia ukiwa wapi?Mmeanza kutumia wanafunzi kuwapotezea muda wa masomo hilo ni kosa wizara ya elimu iliangalie hilo na ikemee vikali!
HaaaNi kweli kwamba ccm inaandaa waraka wiki nzima wa kusitisha masomo ili wanafunzi wakampokee Nchimbi Lakini Chadema inakimbiliwa
wakampigia Saluti Kabambe na kuahidi kuunga mkono Maandamano hayo.
Hapana , kwanza hana mamlaka hiyo ni mzuka tu wa Wanafunzi , nadhani wameshukiwa tu na roho mtakatifuKwahiyo Mbowe kaagiza wakuu wa Shule wafunge shule waje kuandamana?
Ukishajua iweje siku hizi mnateka watu na kusingizia polisi!Unaumia ukiwa wapi?
HahaaNgoja Lucas Mwashambwa aione hii
Mafuriko huwezi kuyazuia kwa mikonoHadi wanakatisha masomo waalimu wao walikuwa wapi?
Tulishasema tangu awali kwamba kwenye harakati za kisiasa, yapo mambo madogo madogo ama tuvitu vitu fulani twa kusisimua sana lakini hatupewi Airtime.
Sasa kwenye maandamano yanayoendelea watoto wa shule baada ya kusikia Mbowe anavurumisha maandamano kwenye eneo lao wakaamua kuvunja masomo na kuingilia msafara wake wakamzuia ili awape neno kuhusu Madawati na baadaye wakampigia Saluti Kabambe na kuahidi kuunga mkono Maandamano hayo.
Ushahidi huu hapa.
View attachment 2973463View attachment 2973464View attachment 2973465
La kushangaza ni Bashasha walizo nazo hawa watoto , bila kujali kama wamekula mihogo na chachandu , hii ni baraka sana !Mmeanza kutumia wanafunzi kuwapotezea muda wa masomo hilo ni kosa wizara ya elimu iliangalie hilo na ikemee vikali!