Minja Ngalason
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,284
- 1,839
Peoooopless!✌️✌️✌️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usishambulie ripota wa Jf , mshukuru kwa kukuletea habariNi mbaya sana and which makes me ask... mkichukua nchi haya yataendelea ya watoto kuacha masomo labda kuja kuwashukuru ?
Binafsi nasema upuuzi hauna gamba wala gwanda popote pale ukitokea ni lazima tu-ukemee
Yaani chadema kuna kitu kama mtakifanyia kazi uchaguzi wa 2025 mnashinda asubuhi mbele ya chama cha matapeliTulishasema tangu awali kwamba kwenye harakati za kisiasa, yapo mambo madogo madogo ama tuvitu vitu fulani twa kusisimua sana lakini hatupewi Airtime.
Sasa kwenye maandamano yanayoendelea watoto wa shule baada ya kusikia Mbowe anavurumisha maandamano kwenye eneo lao wakaamua kuvunja masomo na kuingilia msafara wake wakamzuia ili awape neno kuhusu Madawati na baadaye wakampigia Saluti Kabambe na kuahidi kuunga mkono Maandamano hayo.
Ushahidi huu hapa.
View attachment 2973463View attachment 2973464View attachment 2973465
Nimecheka mpaka watu wananishangaa huku duh!Mwalimu mkuu wa hiyo shule ameyakanyaga ajiandae kwa lolote
Unaweza dhani umefanya vizuri kumbe umeharibu ajira za watu hapo, hatujafikia democrasia ya hivyo bongo land.Tulishasema tangu awali kwamba kwenye harakati za kisiasa, yapo mambo madogo madogo ama tuvitu vitu fulani twa kusisimua sana lakini hatupewi Airtime.
Sasa kwenye maandamano yanayoendelea watoto wa shule baada ya kusikia Mbowe anavurumisha maandamano kwenye eneo lao wakaamua kuvunja masomo na kuingilia msafara wake wakamzuia ili awape neno kuhusu Madawati na baadaye wakampigia Saluti Kabambe na kuahidi kuunga mkono Maandamano hayo.
Ushahidi huu hapa.
View attachment 2973463View attachment 2973464View attachment 2973465
Hicho kitu tayari tumekijuaYaani chadema kuna kitu kama mtakifanyia kazi uchaguzi wa 2025 mnashinda asubuhi mbele ya chama cha matapeli
Ni kweli kabsa ila watoto wakitolewa waende kwenye mapambio ya CCM Mwalimu mkuu ndo kwanza anapewa na malupulupu.Mwalimu mkuu wa hiyo shule ameyakanyaga ajiandae kwa lolote
Nina hofu kubwa..., sababu kama alternative nao wanaona upuuzi ni sawa inamaanisha mimi kama mwananchi its more of the same to infinity.....Usishambulie ripota wa Jf , mshukuru kwa kukuletea habari
Laiti wangejua mbowe huwa anawaita sukuma gang wasingefanya huo ujingaTulishasema tangu awali kwamba kwenye harakati za kisiasa, yapo mambo madogo madogo ama tuvitu vitu fulani twa kusisimua sana lakini hatupewi Airtime.
Sasa kwenye maandamano yanayoendelea watoto wa shule baada ya kusikia Mbowe anavurumisha maandamano kwenye eneo lao wakaamua kuvunja masomo na kuingilia msafara wake wakamzuia ili awape neno kuhusu Madawati na baadaye wakampigia Saluti Kabambe na kuahidi kuunga mkono Maandamano hayo.
Ushahidi huu hapa.
View attachment 2973463View attachment 2973464View attachment 2973465
Sisiemu Huwa wanalazimisha watoto mpka wafanyakaI hasa walimu waandamane barabarani kuwapokea viongoziSiasa bana,
Ingekuwa wamefanya CCM, mngesema watoto wamelazimishwa,
Mkifanya nyie, CDM inapendwa,
Anyway, in short, watoto wameonekana kufurahia zaidi kuonana na kamanda Mbowe kuliko wale waigizaji wa CCM!!
Ukisimamia HAKI, una kibali Toka juu,
Mbarikiwe🙏
Chadema imejaa Kanda ya Ziwa kwa enzi na enzi , ishakuwa na wabunge na madiwani kila mahali , kwahiyo hizo porojo zako zimezimwa kama mshumaa jangwaniLaiti wangejua mbowe huwa anawaita sukuma gang wasingefanya huo ujinga
Sio ajabuMwalimu mkuu wa hiyo shule ameyakanyaga ajiandae kwa lolote
Enzi za Mwenda Zake labda...Mama Hana shida na mambo ya Kawaida haya.,...Enzi zile hata Walimu wote wangeshughulikiwa hapo kwamba wanaunga MKONO opposition....Mzee alikuwa Mwoga sana Kupingwa...Watu walikalishwa Road na jua nchi nzima kuzima maandamano ya MtandaoniMwalimu mkuu wa hiyo shule ameyakanyaga ajiandae kwa lolote
Acha chuki...Mama Hana roho hiyo.Mwalimu mkuu wa hiyo shule ameyakanyaga ajiandae kwa lolote
Una habari kama Magufuli aliwahi kuvuruga chuo fulani mpaka kikafungwa kwa sababu kiliruhusu Rais wa wanafunzi alikuwa Chadema?Enzi za Mwenda Zake labda...Mama Hana shida na mambo ya Kawaida haya.,...Enzi zile hata Walimu wote wangeshughulikiwa hapo kwamba wanaunga MKONO opposition....Mzee alikuwa Mwoga sana Kupingwa...Watu walikalishwa Road na jua nchi nzima kuzima maandamano ya Mtandaoni