Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili yako ndo ilipoishiaUkishajua iweje siku hizi mnateka watu na kusingizia polisi!
Zama hizo zimepita!Tuanze na mwalimu wa zamu, alikuwa wapi?
Zama hizo zimepita!Mwalimu mkuu wa hiyo shule ameyakanyaga ajiandae kwa lolote
Watu wa kanda ya ziwa hawapigii chama wanapigia mtu pole dada hmna chenuChadema imejaa Kanda ya Ziwa kwa enzi na enzi , ishakuwa na wabunge na madiwani kila mahali , kwahiyo hizo porojo zako zimezimwa kama mshumaa jangwani
Wakati tunachaguliwa walikuwa wanatuchagua kwa ajili ipi ? na hao watu kama hawatokei kwenye vyama wanatokea wapi ?Watu wa kanda ya ziwa hawapigii chama wanapigia mtu pole dada hmna chenu
Udp ya cheyo unaijua imeshinda ubunge kuliko chadema huko kanda ya ziwa.Wakati tunachaguliwa walikuwa wanatuchagua kwa ajili ipi ? na hao watu kama hawatokei kwenye vyama wanatokea wapi ?
Inamaana na chadema nao siku izi wanaruhusu wanafunzi kuacha masomo na kujiingiza kwwnye mambo ya siasaa??Tulishasema tangu awali kwamba kwenye harakati za kisiasa, yapo mambo madogo madogo ama tuvitu vitu fulani twa kusisimua sana lakini hatupewi Airtime.
Sasa kwenye maandamano yanayoendelea watoto wa shule baada ya kusikia Mbowe anavurumisha maandamano kwenye eneo lao wakaamua kuvunja masomo na kuingilia msafara wake wakamzuia ili awape neno kuhusu Madawati na baadaye wakampigia Saluti Kabambe na kuahidi kuunga mkono Maandamano hayo.
Ushahidi huu hapa.
View attachment 2973463View attachment 2973464View attachment 2973465View attachment 2973733
Wakati Waziri wa Mambo ya ndani Masha akiangushwa ulikuwa na umri gani ?Udp ya cheyo unaijua imeshinda ubunge kuliko chadema huko kanda ya ziwa.
Tundulisu na dj wanamsifu hayati lowasa kawaletea wabunge wengi na kura nyingi za uraisi, mbona mnasifu lowasa badala ya kukisifu chama chenu mtu mliye dai fisadi papa