Bariadi: Wanafunzi wavunja masomo na kuzuia Msafara wa Mbowe, wampigia Saluti

Kwenye Bold...;

And that is Positive How ?
 
walikuwa wanagongea bapa la konyagi
 
Kwenye Bold...;

And that is Positive How ?
It is not , lakini linasisimua sana , sasa sisi kazi yetu ni kuripoti yaliyotokea , nyinyi vigogo pimeni kama ni mazuri au mabaya , ukishapata jibu jiulize kwanini
 

Hawa watoto wanajua ugumu wa maisha ndani ya familia zao iwe walimu, wakulima, wavuvi, wafanyabiashara, 'maofisa usafiri' n.k baba na mama wanalalamika sebuleni ugumu wa maisha ulioletwa na chama dola kongwe CCM. Watoto wameelewa ni CCM ndiyo sababu ya magumu yote haya huku viongozi wa CCM wakipita na magari ya kifahari na mishahara minono ya shs. 18,000,00 bima za Afya VIP, majumba na fanicha wanalipia wazazi wao wavuja jasho kupitia kodi zinazotumika vibaya na viongozi wa serikali ya CCM
 
Mkuu ni wewe kweli, mbona leo ume comment bila kuonyesha mahaba
 
Hahaha yaani wametafuta watoto toka moshi uchagani wakawasafirisha mpaka bariadi, ila hiki chama mfu hakika mungu anawaona. Mnakuwa waongo hivi. Halafu cheki watu wachacheee, angalieni nyomi ya cde CPA Makalla na cde Dr Nchimbi ni balaa
 
Hiyo ni ishara kwamba Mungu wa Mbinguni amebariki maandamano hayo

Yesu alisema " waacheni watoto Wadogo waje kwangu maana Watoto kama hawa Ufalme wa mbinguni ni Wao"

😀🌹🌹
 
Tofautisha kati ya watoto kumkimbilia Mbowe na kumpongeza na waalimu kulazimishwa kuandamanishwa na watoto.
 
It is not , lakini linasisimua sana , sasa sisi kazi yetu ni kuripoti yaliyotokea , nyinyi vigogo pimeni kama ni mazuri au mabaya , ukishapata jibu jiulize kwanini
Ni mbaya sana and which makes me ask... mkichukua nchi haya yataendelea ya watoto kuacha masomo labda kuja kuwashukuru ?

Binafsi nasema upuuzi hauna gamba wala gwanda popote pale ukitokea ni lazima tu-ukemee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…