TANZIA Bariega amefariki dunia

Naungana na hoja ya Matola hapo juu ni kweli kabisa hivi vitoto tunavilea sisi wenyewe mitaani tunashindwa kuwachukulia hatua stahiki tunabaki tu kusema fulani ni noma,fulani ukiingia anga zake anapita na kichwa chako,tunakuwa tunaishi hivyo miaka nenda rudi bila kuchukua hatua..Kama alikiwa ni noma kiasi cha kutisha mbona bodaboda wa eneo lingine mbali na nyumbani kwao wameweza kumtuliza!??,Jibu linakuja ni kweli kabisa tunaleana mahomeboy
 
Mtaani kwetu wapuuzi kama hawa walishakwisha, sababu utasakwa kimya kimya na utaenda kunyea debe, wanaosumbua na wanaliwa timing ni wale wanaotokea mbali...
 
Nashangaa, ningekuwa namiliki SMG ningekutana nae ningemtawanya ubongo
 
Teleza kawagongea wake zao hko HD kuwalia wak zao 713 mijuba iko kimya tu...

Ova
 
Sasa mtu aliyekuwa na matendo ya hivi, huzuni inatokea wapi? Au ndo kama kawa na unafiki wetu?
 
Nani kakuambia
Mbona arusha huko teleza sjui
Kawalqmba sana wake za watu hadi kuwafukunyua 712 zao
Wakaz hko wanabaki kulialia tu
Dar we iba kaba ila utakutana na kiama chako

Ova
 
Huyo wa kuitwa Msuli wa Rambo kama sikosei
 
vipi wewe hakuweza kukurubuni😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…