Na angeinamishwa kabla ya kuuawa.Hivi Dar kuna wanaume kweli!!!???
Huyo Kijana angefanya upumbavu wake huku Tarime kitambo sana mshamsahau.
Nashangaa, ningekuwa namiliki SMG ningekutana nae ningemtawanya ubongoWanaume wa dar mna tatizo siwaelewi yaani kijana mdogo hivyo anawasumbua mpk anakuwa mashuhuri Ina maana ilikuwa hamna shujaa wa kujitolea kumkaanga.anyway RIP nimekaa tabata barakuda five years ila sikuwahi kumsikia sijajua matukio yake ilikuwa wapi mpk atue huzuni hivyo kwa tabata
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ww unautani na wachagaEeh ety alimbaka mama hivi Ile wameenda kumdaba alikua kajipaka mafuta mengi mno anateleza akachoropoka..... Yule nahis kawabaka hadi wanaume wa kichaga
Sema awawez sema yote
Mwanaume ukishaishi dar tu lazima uote matiti hata kama unatokea musomaUkonga ina 85% ya Wakazi kutoka Mkoani Kwangu ( Kwetu ) Mara ( Musoma ) Wazee wa Kazi ilikuwaje huyu Mpuuzi Bariega akawa Tishio huko? au nae alikuwa ni wa Poti? Nimeshangaa sana tu.
Kwani majambaz wanakuwaga na million mikubwa,jambaz ukimuona hata hudhani kwqnza smart, mpole,anavaa vzr etcInashangaza kwa kweli
Teleza kawagongea wake zao hko HD kuwalia wak zao 713 mijuba iko kimya tu...Siyo hivyo tu kuna jamaa miaka ya nyuma alibaka mwanamke hadharani tena sokoni huko huko Chuga hadi akakojoa akasepa zake huku njemba za huko zinamuangalia ni polisi alijitokeza akam shoot wakati akikimbia ila njemba zilimkodolea macho jamaa akishusha wazungu hadharani
[emoji134][emoji134][emoji134] masikiniNdio huyu Jana wamemchoma Moto hapa hapa Tabata Kinyerezi? Walikua Watatu kwenye pikipiki wakapora Ila yeye akashindwa kuwahi Kupanda boda ndio watu wakamvamia, akato panga kujitetea ndio ikawa kiama chake.View attachment 2279115
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Sasa mtu aliyekuwa na matendo ya hivi, huzuni inatokea wapi? Au ndo kama kawa na unafiki wetu?Bariega amefariki usiku wa jana saa 2 huko tabata uzuni imetawala
Jamaa amesumbua sana wakazi wa Ukonga yote ukiwa kwenye 18 zake hakuachi hana huruma anakukata kata na mapanga mpaka ufe.
Alikuwa na mwenzake anaitwa Kambale naye aliuawa mwaka jana mpaka kwenye TV walimuonesha
Me nakwambia mtu aiewezekan kila siku awabake wanawake tu.... Kuna namna[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ww unautani na wachaga
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Hebu angalia vzr hii clip ya cctvKausha mjukuu hapa hapafai kunguru wengi
NI we nau wa kunyumba?Habari za kuyimuka wa kunyumba [emoji1787]
Huyo wa kuitwa Msuli wa Rambo kama sikoseiSiyo hivyo tu kuna jamaa miaka ya nyuma alibaka mwanamke hadharani tena sokoni huko huko Chuga hadi akakojoa akasepa zake huku njemba za huko zinamuangalia ni polisi alijitokeza akam shoot wakati akikimbia ila njemba zilimkodolea macho jamaa akishusha wazungu hadharani
mkuu wanaume wa Dar wanashindia chipsi zege, na sasa kuna kampeni inaendeshwa na kituo cha clouds ya kuwahamasisha wakazi wa Dsm wale chips zege!!!Hivi Dar kuna wanaume kweli!!!???
Huyo Kijana angefanya upumbavu wake huku Tarime kitambo sana mshamsahau.
vipi wewe hakuweza kukurubuni😂Tobaaaaaah hili jambazi kuu la Banana - Ukonga, limeuwawa? Huyu mtu ni kheri ukutane na simba mwenye njaa, sio huyu kiumbe, n hatareee, yaan ni jambazi aliyevuka viwango wa Ugaidi.
Alikua anapenda sana kutesa, kuibia, na kuwajeruhi watu, yaan ukiingia ktk 18 zake umeishaa, alikua na mtindo wa kuwarubuni Gays hasa waarabu koko wa Kariakooo, na amewaliza kwa kweli.
[emoji119][emoji119][emoji119] afadhari akapumzike khaaah, bado mwingne anaitwaa Zabonga. Naye iko siku atasepeshwa.