TANZIA Bariega amefariki dunia

TANZIA Bariega amefariki dunia

Naungana na hoja ya Matola hapo juu ni kweli kabisa hivi vitoto tunavilea sisi wenyewe mitaani tunashindwa kuwachukulia hatua stahiki tunabaki tu kusema fulani ni noma,fulani ukiingia anga zake anapita na kichwa chako,tunakuwa tunaishi hivyo miaka nenda rudi bila kuchukua hatua..Kama alikiwa ni noma kiasi cha kutisha mbona bodaboda wa eneo lingine mbali na nyumbani kwao wameweza kumtuliza!??,Jibu linakuja ni kweli kabisa tunaleana mahomeboy
 
Mtaani kwetu wapuuzi kama hawa walishakwisha, sababu utasakwa kimya kimya na utaenda kunyea debe, wanaosumbua na wanaliwa timing ni wale wanaotokea mbali...
 
Wanaume wa dar mna tatizo siwaelewi yaani kijana mdogo hivyo anawasumbua mpk anakuwa mashuhuri Ina maana ilikuwa hamna shujaa wa kujitolea kumkaanga.anyway RIP nimekaa tabata barakuda five years ila sikuwahi kumsikia sijajua matukio yake ilikuwa wapi mpk atue huzuni hivyo kwa tabata
Nashangaa, ningekuwa namiliki SMG ningekutana nae ningemtawanya ubongo
 
Siyo hivyo tu kuna jamaa miaka ya nyuma alibaka mwanamke hadharani tena sokoni huko huko Chuga hadi akakojoa akasepa zake huku njemba za huko zinamuangalia ni polisi alijitokeza akam shoot wakati akikimbia ila njemba zilimkodolea macho jamaa akishusha wazungu hadharani
Teleza kawagongea wake zao hko HD kuwalia wak zao 713 mijuba iko kimya tu...

Ova
 
Bariega amefariki usiku wa jana saa 2 huko tabata uzuni imetawala

Jamaa amesumbua sana wakazi wa Ukonga yote ukiwa kwenye 18 zake hakuachi hana huruma anakukata kata na mapanga mpaka ufe.

Alikuwa na mwenzake anaitwa Kambale naye aliuawa mwaka jana mpaka kwenye TV walimuonesha
Sasa mtu aliyekuwa na matendo ya hivi, huzuni inatokea wapi? Au ndo kama kawa na unafiki wetu?
 
Nani kakuambia
Mbona arusha huko teleza sjui
Kawalqmba sana wake za watu hadi kuwafukunyua 712 zao
Wakaz hko wanabaki kulialia tu
Dar we iba kaba ila utakutana na kiama chako

Ova
 
Siyo hivyo tu kuna jamaa miaka ya nyuma alibaka mwanamke hadharani tena sokoni huko huko Chuga hadi akakojoa akasepa zake huku njemba za huko zinamuangalia ni polisi alijitokeza akam shoot wakati akikimbia ila njemba zilimkodolea macho jamaa akishusha wazungu hadharani
Huyo wa kuitwa Msuli wa Rambo kama sikosei
 
Tobaaaaaah hili jambazi kuu la Banana - Ukonga, limeuwawa? Huyu mtu ni kheri ukutane na simba mwenye njaa, sio huyu kiumbe, n hatareee, yaan ni jambazi aliyevuka viwango wa Ugaidi.

Alikua anapenda sana kutesa, kuibia, na kuwajeruhi watu, yaan ukiingia ktk 18 zake umeishaa, alikua na mtindo wa kuwarubuni Gays hasa waarabu koko wa Kariakooo, na amewaliza kwa kweli.

[emoji119][emoji119][emoji119] afadhari akapumzike khaaah, bado mwingne anaitwaa Zabonga. Naye iko siku atasepeshwa.
vipi wewe hakuweza kukurubuni😂
 
Back
Top Bottom