Barmaid amenisimulia 'take home' yake kwa mwezi na maisha anayoishi mpaka nimejiona fala na degree yangu Halmashauri

Barmaid amenisimulia 'take home' yake kwa mwezi na maisha anayoishi mpaka nimejiona fala na degree yangu Halmashauri

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha nicheke mie, ukiona msomi anafika mahali anajidharau kwa barmaid basi shule ulienda kufuata majengo na madaftari... Sio kila aliyesoma ni msomi... Elimu yako haijakukomboa kifikra mkuu (samahan)
 
Ajira za kuajiliwa za hovyo sana wakati mwingine. Serikali mishahara midogo sana.

Unaenda benki mara 1 umeshakatika kabla hata ya tarehe 30.

Moshi mjini kuna kijiwe kinaitwa 'Red Stone'.Kipo njia ya Arusha mkabala na ukumbi mmoja maarufu sana uitwao Kuringe social hall.

Mdada analipwa mshahara wake safi wa kawaida halafu kila units za vinywaji anazohudumia kuna commission yake. Nauli ya kwenda na kurudi home wanapewa na msosi wanapewa.

Walevi wakishalewa huwa wana kautaratibu ka kukeep chenchi sana na kusahau masalia ya pesa. Kwakuwa yeye yupo strategic unakuta hela anayokusanya kwa mwezi ni nyingi kuliko wewe mwajiriwa wa Halmashauri idara ya kilimo na uhandisi wako wa hovyo.

Ana gheto safi. Mtoto anaenda shule na anavaa na kula vizuri bila mawazo ya buku 7.

Mabar mad ambao wako strategic na wako vijiwe vizuri wanapiga sana hela. Siyo lazima awe malaya.

Fuatilia mabar mad mijini wanaishi maisha gani. Hamna ambaye ni fala.
Bar mad=bar maid.
 
Kumbuka kuwa
1.hakopesheki na taasisi kubwa
2.hana Bima ya afya
3.hana CV
4.anadanga
5.akiumwa hapati pesa
6.hana Mfuko wa jamii
We dizaini uutaishia kuajiriwa hadi kiama,
Me nimejiajili na Nna bima ya afya million na 5k per year,,,,Nna house 4 kodi zake kwa mwezi tu zinatosha kunilisha ht nikiumwa,,,,watoto wanapiga kitabu, ,,we endelea kuajiriwa kwaiyo laki sita kwa mwezi, ,maisha mazuri utayaona kwa wengine tu,,,
 
We dizaini uutaishia kuajiriwa hadi kiama,
Me nimejiajili na Nna bima ya afya million na 5k per year,,,,Nna house 4 kodi zake kwa mwezi tu zinatosha kunilisha ht nikiumwa,,,,watoto wanapiga kitabu, ,,we endelea kuajiriwa kwaiyo laki sita kwa mwezi, ,maisha mazuri utayaona kwa wengine tu,,,
Unazidi kunipanga Mkuu.. Wallah Utumishi ni utumwa mpya. Me ntaukacha tu sooon
 
Kwaiyo unataka kua bar maid?
Acha kazi ukajaribu uone km rahisi......
 
Ajira za kuajiliwa za hovyo sana wakati mwingine. Serikali mishahara midogo sana.

Unaenda benki mara 1 umeshakatika kabla hata ya tarehe 30.

Moshi mjini kuna kijiwe kinaitwa 'Red Stone'.Kipo njia ya Arusha mkabala na ukumbi mmoja maarufu sana uitwao Kuringe social hall.

Mdada analipwa mshahara wake safi wa kawaida halafu kila units za vinywaji anazohudumia kuna commission yake. Nauli ya kwenda na kurudi home wanapewa na msosi wanapewa.

Walevi wakishalewa huwa wana kautaratibu ka kukeep chenchi sana na kusahau masalia ya pesa. Kwakuwa yeye yupo strategic unakuta hela anayokusanya kwa mwezi ni nyingi kuliko wewe mwajiriwa wa Halmashauri idara ya kilimo na uhandisi wako wa hovyo.

Ana gheto safi. Mtoto anaenda shule na anavaa na kula vizuri bila mawazo ya buku 7.

Mabar mad ambao wako strategic na wako vijiwe vizuri wanapiga sana hela. Siyo lazima awe malaya.

Fuatilia mabar mad mijini wanaishi maisha gani. Hamna ambaye ni fala.
Umesahau na pesa anayopata kwa kuuza mbunye!!
 
Ajira za kuajiliwa za hovyo sana wakati mwingine. Serikali mishahara midogo sana.

Unaenda benki mara 1 umeshakatika kabla hata ya tarehe 30.

Moshi mjini kuna kijiwe kinaitwa 'Red Stone'.Kipo njia ya Arusha mkabala na ukumbi mmoja maarufu sana uitwao Kuringe social hall.

Mdada analipwa mshahara wake safi wa kawaida halafu kila units za vinywaji anazohudumia kuna commission yake. Nauli ya kwenda na kurudi home wanapewa na msosi wanapewa.

Walevi wakishalewa huwa wana kautaratibu ka kukeep chenchi sana na kusahau masalia ya pesa. Kwakuwa yeye yupo strategic unakuta hela anayokusanya kwa mwezi ni nyingi kuliko wewe mwajiriwa wa Halmashauri idara ya kilimo na uhandisi wako wa hovyo.

Ana gheto safi. Mtoto anaenda shule na anavaa na kula vizuri bila mawazo ya buku 7.

Mabar mad ambao wako strategic na wako vijiwe vizuri wanapiga sana hela. Siyo lazima awe malaya.

Fuatilia mabar mad mijini wanaishi maisha gani. Hamna ambaye ni fala.
baada ya kumla aliendelea kukwambia siri yake
 
Back
Top Bottom