Barmaid amenisimulia 'take home' yake kwa mwezi na maisha anayoishi mpaka nimejiona fala na degree yangu Halmashauri

Barmaid amenisimulia 'take home' yake kwa mwezi na maisha anayoishi mpaka nimejiona fala na degree yangu Halmashauri

Asa mtu karibia kila siku anatoa mbwa tu sasa anakuumizaje kichwa??
 
Sucha a crap argument.
Acheni kazi za serikalini hizo watu wanazitaka.
Yani upo serikalini afu unategemea mshahara tu?
 
Isikuume sana,mimi namwongelea huyo Bar maid.
Nina uhakika Tanzania nzima hakuna bar maid mwenye Bima.Alafu siwazi mikopo mikopo!!
Kila kitu kina uzuri wake na ubaya wake.
sasa na wewe si ukawe barmaid?
 
Ma bar maid wengi wanadanga. Tena siku hizi ndio wamegeuka machangudoa mahiri. Usiulize nimejuaje.
 
Kila mtu humuona mwenzake ana nafuu mwelezee na kazi yako ilivyo utashangaa mwisho wa sikuu anaitamani ya kwako pamoja na changamoto unazoziona ww
Kila mtu hutamani asichokuwa nacho
 
Hakuna Zaidi ya kuuza K, hizo nyingine mbwembwe tu.
kaka niliwahi kumuliza konda analaza bei gani hapa dar akaniambia round 35000 to 45000 kwa siku ukizidisha mara 30 utapata jibu na pia angalia hapo anakuwa ameshakula na hahitaji usafiri.Zile mia tano tano wanazochukua mabar maid ni nyingi zidisha kwa wateja kumi tu utapata jibu.usidharau kazi ya mtu muhimu ni discline ya hela.
 
Kumbuka kuwa
1.hakopesheki na taasisi kubwa
2.hana Bima ya afya
3.hana CV
4.anadanga
5.akiumwa hapati pesa
6.hana Mfuko wa jamii


unajua maana ya cv?
nyie mnaokopesheka mna nini
bima ya afya Green/gold/plantinum? tena wafanyakazi wa serikali zinafutwa zote mnabaki kwenye line moja ya Panadol za India/Tanzania cjui uko kitengo gani hujajaza form mpya I doubt utakuwa daraja la chini ndo maana hujajaza shortly waulize maboss wako
Ivi kuna mtu asiyemdangaji tena nyie wa mwisho wa mwezi na mikopo ndo mnapewaga lunch tu mashughulikiwa

mfanyakazi gani wa serikalini akiumwa huwa anapata pesa? au unamaanisha huo mshahara wenye madeni

ngoja sheria mpya ije uone raha yake cjui una umri gani hadi unaanza kuwaza mfuko wa jamii asubuh hii
NB hakuna mfanyakazi wa serikalini milionea zaidi ya wezi na mafisadi na wenye acces iyo ni wachache
endelea kuenjoy nyongeza ya 7000
 
Ajira za kuajiliwa za hovyo sana wakati mwingine. Serikali mishahara midogo sana.

Unaenda benki mara 1 umeshakatika kabla hata ya tarehe 30.

Moshi mjini kuna kijiwe kinaitwa 'Red Stone'.Kipo njia ya Arusha mkabala na ukumbi mmoja maarufu sana uitwao Kuringe social hall.

Mdada analipwa mshahara wake safi wa kawaida halafu kila units za vinywaji anazohudumia kuna commission yake. Nauli ya kwenda na kurudi home wanapewa na msosi wanapewa.

Walevi wakishalewa huwa wana kautaratibu ka kukeep chenchi sana na kusahau masalia ya pesa. Kwakuwa yeye yupo strategic unakuta hela anayokusanya kwa mwezi ni nyingi kuliko wewe mwajiriwa wa Halmashauri idara ya kilimo na uhandisi wako wa hovyo.

Ana gheto safi. Mtoto anaenda shule na anavaa na kula vizuri bila mawazo ya buku 7.

Mabar mad ambao wako strategic na wako vijiwe vizuri wanapiga sana hela. Siyo lazima awe malaya.

Fuatilia mabar mad mijini wanaishi maisha gani. Hamna ambaye ni fala.


Unanikumbusha ule wimbo wa Vijana Jazz...."Bar Maid."
 
Ajira za kuajiliwa za hovyo sana wakati mwingine. Serikali mishahara midogo sana.

Unaenda benki mara 1 umeshakatika kabla hata ya tarehe 30.

Moshi mjini kuna kijiwe kinaitwa 'Red Stone'.Kipo njia ya Arusha mkabala na ukumbi mmoja maarufu sana uitwao Kuringe social hall.

Mdada analipwa mshahara wake safi wa kawaida halafu kila units za vinywaji anazohudumia kuna commission yake. Nauli ya kwenda na kurudi home wanapewa na msosi wanapewa.

Walevi wakishalewa huwa wana kautaratibu ka kukeep chenchi sana na kusahau masalia ya pesa. Kwakuwa yeye yupo strategic unakuta hela anayokusanya kwa mwezi ni nyingi kuliko wewe mwajiriwa wa Halmashauri idara ya kilimo na uhandisi wako wa hovyo.

Ana gheto safi. Mtoto anaenda shule na anavaa na kula vizuri bila mawazo ya buku 7.

Mabar mad ambao wako strategic na wako vijiwe vizuri wanapiga sana hela. Siyo lazima awe malaya.

Fuatilia mabar mad mijini wanaishi maisha gani. Hamna ambaye ni fala.
kumbe wafungua vizibo,vipozeo vya walevi.
 
Ukitaka kujua vipato vya watu vitakuhangaisha mkuu mie nna mchepuko wangu una biashara juzi kaniambia anamiliki sio chini ya milion 50 ambazo mie kuzifikia naona kama ndoto, nlisomaga nae akaishia la saba mie nkapiga mpaka mlimani yaani natamani kukimbia kazi
Watu wanaongeza sifuri, hakuna jipya. Mnatakiwa mjiongeze na Degree zenu.
 
Ajira za kuajiliwa za hovyo sana wakati mwingine. Serikali mishahara midogo sana.

Unaenda benki mara 1 umeshakatika kabla hata ya tarehe 30.

Moshi mjini kuna kijiwe kinaitwa 'Red Stone'.Kipo njia ya Arusha mkabala na ukumbi mmoja maarufu sana uitwao Kuringe social hall.

Mdada analipwa mshahara wake safi wa kawaida halafu kila units za vinywaji anazohudumia kuna commission yake. Nauli ya kwenda na kurudi home wanapewa na msosi wanapewa.

Walevi wakishalewa huwa wana kautaratibu ka kukeep chenchi sana na kusahau masalia ya pesa. Kwakuwa yeye yupo strategic unakuta hela anayokusanya kwa mwezi ni nyingi kuliko wewe mwajiriwa wa Halmashauri idara ya kilimo na uhandisi wako wa hovyo.

Ana gheto safi. Mtoto anaenda shule na anavaa na kula vizuri bila mawazo ya buku 7.

Mabar mad ambao wako strategic na wako vijiwe vizuri wanapiga sana hela. Siyo lazima awe malaya.

Fuatilia mabar mad mijini wanaishi maisha gani. Hamna ambaye ni fala.
Post ya kimburula kuliko zote hapa JF, graduate una mawazo mafupi hivo
 
Jambazi anayetumia silaha
akikusimulia wa kwake utajiona fala mara mbili.
bac mkuu kuna umenikumbusha kitaa kwetu kuna mzee wa izo kazi...alikua fala tu....lakini kaz izo znamfanya kanunua mtaa mzima
 
Back
Top Bottom