Barmaid amenisimulia 'take home' yake kwa mwezi na maisha anayoishi mpaka nimejiona fala na degree yangu Halmashauri

Barmaid amenisimulia 'take home' yake kwa mwezi na maisha anayoishi mpaka nimejiona fala na degree yangu Halmashauri

Ukitaka kujua vipato vya watu vitakuhangaisha mkuu mie nna mchepuko wangu una biashara juzi kaniambia anamiliki sio chini ya milion 50 ambazo mie kuzifikia naona kama ndoto, nlisomaga nae akaishia la saba mie nkapiga mpaka mlimani yaani natamani kukimbia kazi
😛
 
We dizaini uutaishia kuajiriwa hadi kiama,
Me nimejiajili na Nna bima ya afya million na 5k per year,,,,Nna house 4 kodi zake kwa mwezi tu zinatosha kunilisha ht nikiumwa,,,,watoto wanapiga kitabu, ,,we endelea kuajiriwa kwaiyo laki sita kwa mwezi, ,maisha mazuri utayaona kwa wengine tu,,,
Nani alokuuliza hayo yote.
 
Security over freedom. ukielewa itapendeza.
Afu wewe bwana,Pm hujibu ila comments zangu unaziona.
Kuajiriwa ni stage moja wapo tunayopitia wengi.Mtumishi ni muajiriwa na barmaid kaajiriwa,tofauti yao ni work 'assurance'.
 
Siku ukikutana na Malaya anayejiuza akakupa story yake I hope utagawa sifuri saba moja tatu.
 
Afu wewe bwana,Pm hujibu ila comments zangu unaziona.
Kuajiriwa ni stage moja wapo tunayopitia wengi.Mtumishi ni muajiriwa na barmaid kaajiriwa,tofauti yao ni work 'assurance'.
Mbona nimekujibu mtoto mzuri. Hebu njoo sasa hivi maana nipo free tujadili mada uliyoianzisha.
 
Ajira za kuajiliwa za hovyo sana wakati mwingine. Serikali mishahara midogo sana.

Unaenda benki mara 1 umeshakatika kabla hata ya tarehe 30.

Moshi mjini kuna kijiwe kinaitwa 'Red Stone'.Kipo njia ya Arusha mkabala na ukumbi mmoja maarufu sana uitwao Kuringe social hall.

Mdada analipwa mshahara wake safi wa kawaida halafu kila units za vinywaji anazohudumia kuna commission yake. Nauli ya kwenda na kurudi home wanapewa na msosi wanapewa.

Walevi wakishalewa huwa wana kautaratibu ka kukeep chenchi sana na kusahau masalia ya pesa. Kwakuwa yeye yupo strategic unakuta hela anayokusanya kwa mwezi ni nyingi kuliko wewe mwajiriwa wa Halmashauri idara ya kilimo na uhandisi wako wa hovyo.

Ana gheto safi. Mtoto anaenda shule na anavaa na kula vizuri bila mawazo ya buku 7.

Mabar mad ambao wako strategic na wako vijiwe vizuri wanapiga sana hela. Siyo lazima awe malaya.

Fuatilia mabar mad mijini wanaishi maisha gani. Hamna ambaye ni fala.
Ulijuaje ghetto lake?
 
Ajira za kuajiliwa za hovyo sana wakati mwingine. Serikali mishahara midogo sana.

Unaenda benki mara 1 umeshakatika kabla hata ya tarehe 30.

Moshi mjini kuna kijiwe kinaitwa 'Red Stone'.Kipo njia ya Arusha mkabala na ukumbi mmoja maarufu sana uitwao Kuringe social hall.

Mdada analipwa mshahara wake safi wa kawaida halafu kila units za vinywaji anazohudumia kuna commission yake. Nauli ya kwenda na kurudi home wanapewa na msosi wanapewa.

Walevi wakishalewa huwa wana kautaratibu ka kukeep chenchi sana na kusahau masalia ya pesa. Kwakuwa yeye yupo strategic unakuta hela anayokusanya kwa mwezi ni nyingi kuliko wewe mwajiriwa wa Halmashauri idara ya kilimo na uhandisi wako wa hovyo.

Ana gheto safi. Mtoto anaenda shule na anavaa na kula vizuri bila mawazo ya buku 7.

Mabar mad ambao wako strategic na wako vijiwe vizuri wanapiga sana hela. Siyo lazima awe malaya.

Fuatilia mabar mad mijini wanaishi maisha gani. Hamna ambaye ni fala.
barmaid asikutishe pia ana pesa nyingi sio za halali pia aez kukwambia kua anadanga bila kumuona...ww muone tu mtaan anapeta behind the scene anajua mpig picha
 
Mkuu umenena vema kabisa. Ukifuatilia kipato cha mtu unaweza kufa kabla ya muda wako. Mimi mwenyewe pamoja na MSc yangu laikini wapo jamaa zangu wengi tu niliowaacha darasa la saba wameniacha mbali tu lakini sikati tamaa naendelea kukomaa.
Mbaya zaidi Msc imeongeza CV tu
 
Run your own race, alafu kila kitu ni malengo ukiishi kwa kujiringanisha na kila mtu utashindwa kutimiza yakwako
 
Mkuu ukitaka pia ujione fara na maandazi nenda stend yoyote ya daladala Dar jamaa huwa wana chukua 200 kila gari akipakia sasa jiulize kwa siku ana toka na shilingi ngapi?
Siku hizi gari ikijaa mia tano mkuu wanapeana zamu kuchukua kila mtu anasiku yake
 
Pole mkuu njoo nikupe connection kuna bar mpya imefunguliwa inaitwa sansiro ina wateja wengi sana unaweza ukawin maisha fasta san@!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom