Francis thinker
Member
- Sep 2, 2017
- 24
- 25
this is we call fear of life ndio vikwazo vinavozuia hata watu kujiajiriKumbuka kuwa
1.hakopesheki na taasisi kubwa
2.hana Bima ya afya
3.hana CV
4.anadanga
5.akiumwa hapati pesa
6.hana Mfuko wa jamii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
this is we call fear of life ndio vikwazo vinavozuia hata watu kujiajiriKumbuka kuwa
1.hakopesheki na taasisi kubwa
2.hana Bima ya afya
3.hana CV
4.anadanga
5.akiumwa hapati pesa
6.hana Mfuko wa jamii
😛Ukitaka kujua vipato vya watu vitakuhangaisha mkuu mie nna mchepuko wangu una biashara juzi kaniambia anamiliki sio chini ya milion 50 ambazo mie kuzifikia naona kama ndoto, nlisomaga nae akaishia la saba mie nkapiga mpaka mlimani yaani natamani kukimbia kazi
Umemaliza kazi.Kumbuka kuwa
1.hakopesheki na taasisi kubwa
2.hana Bima ya afya
3.hana CV
4.anadanga
5.akiumwa hapati pesa
6.hana Mfuko wa jamii
Na mawazo yako yamekaa. Kiteja teja.Hakopesheki, lakini anaweza akakukopesha.
Anaweza Kulipia cash. Au akanunua bima.
CV ndio nini.
Anadanga coz she's financially free
Tukijiajiri wote nani ataajiriwa??this is we call fear of life ndio vikwazo vinavozuia hata watu kujiajiri
Nani alokuuliza hayo yote.We dizaini uutaishia kuajiriwa hadi kiama,
Me nimejiajili na Nna bima ya afya million na 5k per year,,,,Nna house 4 kodi zake kwa mwezi tu zinatosha kunilisha ht nikiumwa,,,,watoto wanapiga kitabu, ,,we endelea kuajiriwa kwaiyo laki sita kwa mwezi, ,maisha mazuri utayaona kwa wengine tu,,,
Afu wewe bwana,Pm hujibu ila comments zangu unaziona.Security over freedom. ukielewa itapendeza.
Mbona nimekujibu mtoto mzuri. Hebu njoo sasa hivi maana nipo free tujadili mada uliyoianzisha.Afu wewe bwana,Pm hujibu ila comments zangu unaziona.
Kuajiriwa ni stage moja wapo tunayopitia wengi.Mtumishi ni muajiriwa na barmaid kaajiriwa,tofauti yao ni work 'assurance'.
Ulijuaje ghetto lake?Ajira za kuajiliwa za hovyo sana wakati mwingine. Serikali mishahara midogo sana.
Unaenda benki mara 1 umeshakatika kabla hata ya tarehe 30.
Moshi mjini kuna kijiwe kinaitwa 'Red Stone'.Kipo njia ya Arusha mkabala na ukumbi mmoja maarufu sana uitwao Kuringe social hall.
Mdada analipwa mshahara wake safi wa kawaida halafu kila units za vinywaji anazohudumia kuna commission yake. Nauli ya kwenda na kurudi home wanapewa na msosi wanapewa.
Walevi wakishalewa huwa wana kautaratibu ka kukeep chenchi sana na kusahau masalia ya pesa. Kwakuwa yeye yupo strategic unakuta hela anayokusanya kwa mwezi ni nyingi kuliko wewe mwajiriwa wa Halmashauri idara ya kilimo na uhandisi wako wa hovyo.
Ana gheto safi. Mtoto anaenda shule na anavaa na kula vizuri bila mawazo ya buku 7.
Mabar mad ambao wako strategic na wako vijiwe vizuri wanapiga sana hela. Siyo lazima awe malaya.
Fuatilia mabar mad mijini wanaishi maisha gani. Hamna ambaye ni fala.
barmaid asikutishe pia ana pesa nyingi sio za halali pia aez kukwambia kua anadanga bila kumuona...ww muone tu mtaan anapeta behind the scene anajua mpig pichaAjira za kuajiliwa za hovyo sana wakati mwingine. Serikali mishahara midogo sana.
Unaenda benki mara 1 umeshakatika kabla hata ya tarehe 30.
Moshi mjini kuna kijiwe kinaitwa 'Red Stone'.Kipo njia ya Arusha mkabala na ukumbi mmoja maarufu sana uitwao Kuringe social hall.
Mdada analipwa mshahara wake safi wa kawaida halafu kila units za vinywaji anazohudumia kuna commission yake. Nauli ya kwenda na kurudi home wanapewa na msosi wanapewa.
Walevi wakishalewa huwa wana kautaratibu ka kukeep chenchi sana na kusahau masalia ya pesa. Kwakuwa yeye yupo strategic unakuta hela anayokusanya kwa mwezi ni nyingi kuliko wewe mwajiriwa wa Halmashauri idara ya kilimo na uhandisi wako wa hovyo.
Ana gheto safi. Mtoto anaenda shule na anavaa na kula vizuri bila mawazo ya buku 7.
Mabar mad ambao wako strategic na wako vijiwe vizuri wanapiga sana hela. Siyo lazima awe malaya.
Fuatilia mabar mad mijini wanaishi maisha gani. Hamna ambaye ni fala.
Mbaya zaidi Msc imeongeza CV tuMkuu umenena vema kabisa. Ukifuatilia kipato cha mtu unaweza kufa kabla ya muda wako. Mimi mwenyewe pamoja na MSc yangu laikini wapo jamaa zangu wengi tu niliowaacha darasa la saba wameniacha mbali tu lakini sikati tamaa naendelea kukomaa.
Mbaya zaidi Msc imeongeza CV tu
Siku hizi gari ikijaa mia tano mkuu wanapeana zamu kuchukua kila mtu anasiku yakeMkuu ukitaka pia ujione fara na maandazi nenda stend yoyote ya daladala Dar jamaa huwa wana chukua 200 kila gari akipakia sasa jiulize kwa siku ana toka na shilingi ngapi?