Barmaid amenisimulia 'take home' yake kwa mwezi na maisha anayoishi mpaka nimejiona fala na degree yangu Halmashauri

Barmaid amenisimulia 'take home' yake kwa mwezi na maisha anayoishi mpaka nimejiona fala na degree yangu Halmashauri

Ukitaka kujua vipato vya watu vitakuhangaisha mkuu mie nna mchepuko wangu una biashara juzi kaniambia anamiliki sio chini ya milion 50 ambazo mie kuzifikia naona kama ndoto, nlisomaga nae akaishia la saba mie nkapiga mpaka mlimani yaani natamani kukimbia kazi
Hahahahah
 
Ajira za kuajiliwa za hovyo sana wakati mwingine. Serikali mishahara midogo sana.

Unaenda benki mara 1 umeshakatika kabla hata ya tarehe 30.

Moshi mjini kuna kijiwe kinaitwa 'Red Stone'.Kipo njia ya Arusha mkabala na ukumbi mmoja maarufu sana uitwao Kuringe social hall.

Mdada analipwa mshahara wake safi wa kawaida halafu kila units za vinywaji anazohudumia kuna commission yake. Nauli ya kwenda na kurudi home wanapewa na msosi wanapewa.

Walevi wakishalewa huwa wana kautaratibu ka kukeep chenchi sana na kusahau masalia ya pesa. Kwakuwa yeye yupo strategic unakuta hela anayokusanya kwa mwezi ni nyingi kuliko wewe mwajiriwa wa Halmashauri idara ya kilimo na uhandisi wako wa hovyo.

Ana gheto safi. Mtoto anaenda shule na anavaa na kula vizuri bila mawazo ya buku 7.

Mabar mad ambao wako strategic na wako vijiwe vizuri wanapiga sana hela. Siyo lazima awe malaya.

Fuatilia mabar mad mijini wanaishi maisha gani. Hamna ambaye ni fala.

Acha uvivu wa kufikiri
Wanauza k hizo zingine mbwembwe tu anakushika masikio
 
We endelea kufuatilia ya wenzio mpk yako yakushinde...
 
Kumbuka kuwa
1.hakopesheki na taasisi kubwa
2.hana Bima ya afya
3.hana CV
4.anadanga
5.akiumwa hapati pesa
6.hana Mfuko wa jamii
Point 1. Haina mantiki...kama ana asset anbazo anaweza tumia kama collateral? Bado atakua hakopesheki?
Point 2. Bima za afya zipo za had elfu 50 kwa mwaka
Point 3. CV haikufikish popote
 
Kuwa na degree haku determine kiwango cha pesa ambayo utai make katika maisha yako.
Achieving financially had nothing to do with what you from schools.Fungua bongo mkuu
 
Stori tu hizo, mimi kuna mjasiria mali wabkachori na line za simu pamoja na mama lishe, aliniambia kwa siku anapata sh 300,000.basi ikaja tokea ana saka nyumba nikampa namba ya dalali,
Si kuililia 10,000 kwani dalali alimpeleka nyumba ambazo hajazipenda,
 
Kumbuka kuwa
1.hakopesheki na taasisi kubwa
2.hana Bima ya afya
3.hana CV
4.anadanga
5.akiumwa hapati pesa
6.hana Mfuko wa jamii
Haya uliyoyataja ndio yafanyao wafanyakazi wengi kufa masikin. Wakiwa na nahivyo akili zinaganda
 
Ati nan?
We unaongea nn?
Keep change usawa huu!!!!
Hapo ukiona manyoya jua kaliwa.
Yaani akikuambia ame keep change ya mtu jiongeze acha utoto.
 
Back
Top Bottom