Barmaid amenisimulia 'take home' yake kwa mwezi na maisha anayoishi mpaka nimejiona fala na degree yangu Halmashauri

Barmaid amenisimulia 'take home' yake kwa mwezi na maisha anayoishi mpaka nimejiona fala na degree yangu Halmashauri

Huna akili wwe unafananisha mtu aliesoma na asiesoma huo ni utaahila unaponda hadi uhandisi wwe una elimu gan? usidanganywe na nadharia angalia vitendo amesahau kukwambia anauza k na kuibia watu wakilewa hayo ni maisha ssa? ana likizo huyo akiumwa pesa analipwa na nani, matibabu? acha kaz na wwe ukawe baamedi nyie ndio wale akili zipo makalioni!
 
Back
Top Bottom