Mshughulishaji
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 1,351
- 1,875
Kama ambavyo wafia dini ya kikristo wanadhani JF inawajinga tu kwamba hakuna wanaoweza kung'amuaWafia dini ya uislamu wanadhani JF inawajinga tuu kwamba hakuna wanaoweza kung'amua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ambavyo wafia dini ya kikristo wanadhani JF inawajinga tu kwamba hakuna wanaoweza kung'amuaWafia dini ya uislamu wanadhani JF inawajinga tuu kwamba hakuna wanaoweza kung'amua
Wafia dini ya uislamu wanadhani JF inawajinga tuu kwamba hakuna wanaoweza kung'amua
Kama ambavyo wafia dini ya kikristo wanadhani JF inawajinga tuu kwamba hakuna wanaoweza kung'amua
Huyu Mdini sana by natureUlichoandika nacho pia ni udini.
Na wewe Mdini sana kwa asiliHuyu Mdini sana by nature
Udini mtupu atakuja jamaa yake mwingine ku support anaitwa Kahtan na dada yao faizaUlichoandika nacho pia ni udini.
Kwanini mnahofu sana shida ni ipi hapo? Kosoa kwa hizo hoja zake labda unaweza kuzipa namba au herufi yaani ukamjibu moja baada ya nyingine.Udini mtupu atakuja jamaa yake mwingine ku support anaitwa Kahtan na dada yao faiza
Naunga mkono hoja. Kipindi cha Magufuli hakuba-balance kwa mfano baraza la mawaziri upande wa dini. Angekuwa ni rais muislam amefanya hivyo nchi ingewaka moto. Pamoja na kusema haya mimi siyo muumini wa kuangalia majina ya wateuliwa kwa muktadha wa dini zao hata siku moja. Huu ni utumwa ambao hauna faida yoyote.That's a nice shot
Huyu Mdini sana by nature
Wako wengi, wengine ni Ritz & THE BOSSUdini mtupu atakuja jamaa yake mwingine ku support anaitwa Kahtan na dada yao faiza
WEWE NDIO MDINI NAMBA MOJAMadam president, kuwa huru kumchagua team yako, hata kama wapo waislam wengi ambao unaona wako smart na competent kufanya nao kazi, usiache kuwapa nafas eti kwa kuhofia kuwa watapiga kelele za udini, hawa hawakuanza leo na hawatokuja kumaliza leo, ni muda SASA umefika kujifunza kuish nao kama walivyo na hiyo kasumba yao.
Wako wengi, wengine ni Ritz & THE BOSS
Raisi akiwa ni mwislamu huibuka (hufufuka) na kuwatukana wakristo, maaskofu
WEWE NDIO MDINI NAMBA MOJA
Ni chatto gang wanatengeneza propaganda ya kumchafua, walianza na uzanzibari ikashindikana sahivi wameibuka na udini hii nayo ikishindikana watakuja na propaganda nyingine ili mradi wamachafue mama aonekane hafai
BORA MTOA HOJA ANGESHAURIANA NA WEWE KABLA HAJATUMA THREAD YAKE YA UDININaunga mkono hoja asisahau kutoa na ajira kwa watoto wa maskini walioteseka kusoma na wamefaulu vizuri wanataka na wenyewe waonje cake ya taifa..Wana Hamu kweli kwenda kuwithdraw fedha ATM.
Hupo sahihi mkuu! kwa sababu;I thought ungesimama kujibu au kuattack hoja yangu na siyo kuni attack mtoa hoja,kuna maswali ambayo mnatakiwa kujibu,kama hatupo sahihi tuambie hatupo sahihi KWA namna gan
The big show usingeanzisha uzi wenye maudhui haya ningeshangaa sana. Bado kuna yule bibi aitwaye Faiza fox naye lazima aanzishe wa hivi. Mimi ni mkristo, ila alichokuwa anafanya yule muovu jiwe cha kupendelea wakristo hasa wa kanda ya ziwa, kilikuwa wazi mno. Hata wakristo hali ile waliona, na kwenye huu uzi hawana nguvu ya kubisha ukweli ule. Jiwe alikuwa ni chukizo mbele ya Mungu.Thanks,jibu zuri Mkuu.
Katika kitu Hayati Magufuli alifanikiwa sana ni kuua hisia za udini kipindi chake na kuwaleta pamoja waislamu na wakrisitu mufti/masheikh na mapadre wachungaji na maaskofu walikula pamoja na kujenga hoja zao pamoja bila kuangalia udini.Naunga mkono hoja. Kipindi cha Magufuli hakuba-balance kwa mfano baraza la mawaziri upande wa dini. Angekuwa ni rais muislam amefanya hivyo nchi ingewaka moto. Pamoja na kusema haya mimi siyo muumini wa kuangalia majina ya wateuliwa kwa muktadha wa dini zao hata siku moja...