Barua kwako Rais Samia Suluhu Hassan

Barua kwako Rais Samia Suluhu Hassan

The big show usingeanzisha uzi wenye maudhui haya ningeshangaa sana. Bado kuna yule bibi aitwaye Faiza fox naye lazima aanzishe wa hivi. Mimi ni mkristo, ila alichokuwa anafanya yule muovu jiwe cha kupendelea wakristo hasa wa kanda ya ziwa, kilikuwa wazi mno. Hata wakristo hali ile waliona, na kwenye huu uzi hawana nguvu ya kubisha ukweli ule. Jiwe alikuwa ni chukizo mbele ya Mungu.

Mkuu tindo,nakushuuru Sana.

Tupo pomoja.
 
The big show usingeanzisha uzi wenye maudhui haya ningeshangaa sana. Bado kuna yule bibi aitwaye Faiza fox naye lazima aanzishe wa hivi. Mimi ni mkristo, ila alichokuwa anafanya yule muovu jiwe cha kupendelea wakristo hasa wa kanda ya ziwa, kilikuwa wazi mno. Hata wakristo hali ile waliona, na kwenye huu uzi hawana nguvu ya kubisha ukweli ule. Jiwe alikuwa ni chukizo mbele ya Mungu.

Magufuli alikua na uafadhali kuliko NYERERE

Na Mama samia ni bora kuliko maraisi wote waliopita, labda Mwinyi atleast.

All in All wakristo wko wengi mno wizarani kuliko waislamu na bado wakristo hawamridhiki. Je akifanya 50/50 si ndio watatukana sana au sio! 😀
 
Mkuu, Big show umeongea point, big up. Hawa viumbe siku mbilli zizopita kama ulivyoelezea, Mh Raisi ameteuwa wakristo wa4 kati yao hakuna muislamu hata mmoja alakini waislamu hatulalamiki na wao huwaoni wakijitokeza mitandaoni....
Shukran for compliments,

Nashangaa,hata kwenye huu uzi,badala ya kuangalia hoja ambayo ipo mezani,wameegemea kwenye kutushambulia watoaji wa hii hoja kuwa ni wadini,Mimi najua hiki tunachowaeleza wanakiona Sana,ila sasa hawana uwezo wa kukijibu that's why wameegemea kwenye kutushambulia moja KWA moja
 
Mkuu, Big show umeongea point, big up. Hawa viumbe siku mbilli zizopita kama ulivyoelezea, Mh Raisi ameteuwa wakristo wa4 kati yao hakuna muislamu hata mmoja alakini waislamu hatulalamiki na wao huwaoni wakijitokeza mitandaoni. Naamini mpaka sasa wakristo ni wengi sana kuliko waislamu kama sio 80%, ebu fanya research uone, pamoja na yote hayo lakini bado hawaridhiki,,, wakiona mama anateuwa muislamu mmoja ama wawili kati ya wa4 ama wa5 utasikia UDINI UDINI, yani hata 50% still imekua shida kwao, so wanataka wao tu!!!!! Hatari sana, tunapigwa vita every where, na Qur'an haijaacha kitu.
Chokochoko za kibaguzi zinaletwa na wakristo, ndiyo historia yao siku zote angali teuzi hizo hapo juuu
 
Chokochoko za kibaguzi zinaletwa na wakristo, ndiyo historia yao siku zote angali teuzi hizo hapo juuu

Ahsante KWA attachment,

Tunapoliadress hili,wanadhan kwamba tunaelekea kupandikiza chuki,la hasha,

Tunakumbusha kuwa kinachofanyika na watawala,hakifanyiki behind closed doors,kipo was,zama hiz huwez kuficha kitu chochote,ukipendelea kitaonekana na ukitenda haki kitaonekana,muda wa malalamiko umeshaishaa
 
The big show usingeanzisha uzi wenye maudhui haya ningeshangaa sana. Bado kuna yule bibi aitwaye Faiza fox naye lazima aanzishe wa hivi. Mimi ni mkristo, ila alichokuwa anafanya yule muovu jiwe cha kupendelea wakristo hasa wa kanda ya ziwa, kilikuwa wazi mno. Hata wakristo hali ile waliona, na kwenye huu uzi hawana nguvu ya kubisha ukweli ule. Jiwe alikuwa ni chukizo mbele ya Mungu.
Wakristo wengi tena wa hapa Jukwaani Mimi mwenyewe nikiwepo tulimpinga jiwe kwa Udini,ukanda na ukabila wake bila kificho chochote kile.
 
Magufuli alikua na uafadhali kuliko NYERERE

Na Mama samia ni bora kuliko maraisi wote waliopita, labda Mwinyi atleast

All in All wakristo wko wengi mno wizarani kuliko waislamu na bado wakristo hawamridhiki. Je akifanya 50/50 si ndio watatukana sana au sio! [emoji3]
Duh Mataga leo hii mnasema Mama ni bora kuliko Marais wote,vipi kuhusu Shujaa wenu fake wa Africa?
 
Umeongea point, utaweza kumtambua Muislam au mkristo kwanza KWA JINA lake, baada ya hapo ndipo utaujua uhakika wake kuwa ni muumin kweli wa hiyo dini au la, that's why hawa ndug zetu walipoona majina tuh yenye muelekeo wa arabic kwenye huo uteuzi wakaconclude kuwa ni Waislam wameanza kupendelewa.
Jibu lako limenichekesha na kudhirisha kwamba hujui kwamba hujii kwamba hujui!

Sio kila john ni Mkristo na sio kila juma ni muislamu!

Nakujibu kwa mujib wa fikra zako kwamba ukae ukifahamu!; Wanao Tesa ni Waislamu, Wakristo, na wapagani na Wanaoteseka ni Waislamu, Wakristo, na wapagani!

ww upo kundi gani? Kati ya wanao tesa na wanao teseka??
 
Wakristo wengi tena wa hapa Jukwaani Mimi mwenyewe nikiwepo tulimpinga jiwe kwa Udini,ukanda na ukabila wake bila kificho chochote kile.

Point of additional,

Hatusemi eti KWA kuwa mama SAMIA ni muislam basi ndiyo apendelee waislam kwenye serikali yake,la hasha..

Ila pia,ikitokea amewaona waislam kadhaa wenye sifa na kuamua kuwapa nafasi basi asitazamwe KWA jicho la udini kama vile ambavyo Magufuli na wengine hawakutazamwa na kusakamwa na sisi waislam,

Wamuache mama awe free na fair kupanga team yake,wasimzongezonge
 
Ajira zitapatikana za kutosha ikiwa sekta binafsi itafanya vizuri na ili sekta binafsi ishamiri kunahitajika mabadiliko makubwa ya kisheria na kisera na hapo ndipo umuhimu wa katiba mpya unapokuja.

Uwezo wa serikali kuajiri ni mdogo sana, sawa na kuchota maji kwa ndoo baharini ukifikri utayamaliza.
Naunga mkono hoja asisahau kutoa na ajira kwa watoto wa maskini walioteseka kusoma na wamefaulu vizuri wanataka na wenyewe waonje cake ya taifa..Wana Hamu kweli kwenda kuwithdraw fedha ATM.
 
Jibu lako limenichekesha na kudhirisha kwamba hujui kwamba hujii kwamba hujui!
Sio kila john ni Mkristo na sio kila juma ni muislamu!
Nakujibu kwa mujib wa fikra zako kwamba ukae ukifahamu!; Wanao Tesa ni Waislamu, Wakristo, na wapagani na Wanaoteseka ni Waislamu, Wakristo, na wapagani!
ww upo kundi gani? Kati ya wanao tesa na wanao teseka??

Mkuu ngeni,

I understand your point,very well...

Ilienda uarabun wapo watu wanaitwa Abdallah,mustafa,ally,mohamed na kadhalika ila ni christians,na ukitenda ulaya kuna watu wanaitwa Erick, michael,paul labile pogba ila ni waislam,point yako nakuelewa.

Ninachozungumza hapa Mimi ni kuhusu mihemko inayotokea hapa kwetu Tanzania,hususan kila akiwapo RAIS musilam MADARAKANI na anapoteua watu ambao Wana majina yanayoshahabiana na uarabu na uislam anaitwa mdini,that's my concern.

Either,swali hilo unaweza wauliza hawa jamaa zako,kwann wamuite RAIS mdini KWA kuteua watu wenye majina ya kiislam,wamejuaje kuwa RAIS kawateua hao KWA kuangalia dini yao??

Nadhan umenielewa,au kama unataka malumbano yako ya dini,twende kwenye jukwaa husika, shukran
 
Shukran for compliments,

Nashangaa,hata kwenye huu uzi,badala ya kuangalia hoja ambayo ipo mezani,wameegemea kwenye kutushambulia watoaji wa hii hoja kuwa ni wadini,Mimi najua hiki tunachowaeleza wanakiona Sana,ila sasa hawana uwezo wa kukijibu that's why wameegemea kwenye kutushambulia moja KWA moja

Wanajua yote haya (Wakristo waliopo wizarani ni wengi kuliko waislamu) lakini pamoja na yote haya bado hawaridhiki/hawatosheki, hata hao waislamu wachache waliomo bado ni kikwazo kwao na malalamishi mengi, je! Ikitokea usawa wa 50/50!!!!! 😀

وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ

Na hawatoridhika nawe Mayahudi wala Manaswara mpaka ufuate mila zao. [Al-Baqarah (2: 120)
 
Point of additional,

Hatusemi eti KWA kuwa mama SAMIA ni muislam basi ndiyo apendelee waislam kwenye serikali yake,la hasha..

Ila pia,ikitokea amewaona waislam kadhaa wenye sifa na kuamua kuwapa nafasi basi asitazamwe KWA jicho la udini kama vile ambavyo Magufuli na wengine hawakutazamwa na kusakamwa na sisi waislam,

Wamuache mama awe free na fair kupanga team yake,wasimzongezonge
Kwani aliye mshika nani?
Mtaje ili wote tumzomee!
Ima una agenda yako mfukoni??
 
Madam President,naomba nikusalimie kwa salam ambayo umeipendelea Sana wewe mwenyewe kuwa NAKUSALIM KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,NA KAZ IENDELEE....
1. Allahu Akbar... Wabilah Tawfiq shehe!

2. Bwana Yesu asifiwe!

3. Tumsifu Yesu Kristo!

4. Tanzania moja!
 
Wanajua yote haya (Wakristo waliopo wizarani ni wengi kuliko waislamu) lakini pamoja na yote haya bado hawaridhiki/hawatosheki, hata hao waislamu wachache waliomo bado ni kikwazo kwao na malalamishi mengi, je! Ikitokea usawa wa 50/50!!!!! 😀

وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ

Na hawatoridhika nawe Mayahudi wala Manaswara mpaka ufuate mila zao. [Al-Baqarah (2: 120)

Aksante KWA ukumbusho,

Mfano,KWA sasa kwenye baraka la mawazir,kuna mawazir 24 waislam wako wanne tuh na pia katika manaibu wazir wapo 26 na waislam wapo 10 tuh,lakin bado wanalalamika kwamba kuna udini,na hapo hujaenda KWA makatibu na manaibu katibu wakuu,hujaenda kwenye wakurugenz wa taasisi mbali mbali,hujaenda KWA wakuu wa mikoa na wilaya,ndug zetu wanavuka mipaka Sana,na sisi tumejifunza Sana kuwavumilia
 
Back
Top Bottom