Barua kwako Rais Samia Suluhu Hassan

Barua kwako Rais Samia Suluhu Hassan

Hasa huyo the boss wakati huu ndio tumeona rangi yake halisi.

Nimeaandika kuhusu maaskofu wakati wa Magufuli hukuona??.

Au nikupe links?

Siku zote tumewaponda Maaskofu humu wakati wa Magufuli ...

Ninayo thread ninam Address Kardinali Pengo kuhusu Magufuli kuongezewa muda hukuiona?
 
Madam President,naomba nikusalimie kwa salam ambayo umeipendelea Sana wewe mwenyewe kuwa NAKUSALIM KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,NA KAZ IENDELEE.

First and foremost,naomba nichukue nafas hii kukupa pole zangu nyingi sana KWA kifo cha aliekuwa RAIS wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Hayati John Joseph Magufuli, pole Sana Madam President, hakika hayakuwa haya maisha ya dunian, ila ni kitu Cha kupita tuh, na mbora miongon mwetu kwenye macho ya Mwenyezmungu ni yule ambae ni mchamungu.

Nakupa pole na kukuombea Sana,kwani umepokea kijiti Cha uongoz katika kipindi kigumu Sana, ambacho Taifa lilikuwa kwenye mtanziko, na mgawanyiko mkubwa Sana ambao kila mwananchi mwenye uelewa amekuwa anauona, siyo wafanyabiashara, wafanyakaz, wakulima na hata wajasariamali wakubwa na wadogo,bila kusahau wanasiasa na vyombo vya habari.

Pamoja na changamoto zilizopo mbele yako Wananchi wenye nia njema na Taifa hili tupo pamoja nawewe na siku zote tutakuombea KWA Mola akusimamie katika shughuli zako za kuliongoza Taifa.

Leo,nitaenda kwenye kipengele nyeti Sana,ambacho kinakuhusu wewe kuunda serikali yako madam president.

Nakupa pole Sana,katika mtihan mkubwa ambao utakutana nao ni jicho la waz waz la kuangaliwa KWA UDINI katika uteuzi wako,mama hii ni cancer ambayo sidhan kama utafanikiwa kuipata tiba yake zaid zaid ya kupiga moyo konde,kusimama kwenye haki,usawa na kuangalia weledi wa nani unamuhitaj katika kujenga serikali yako.

Kipindi ambacho Mh Jakaya Kikwete akiwa MADARAKANI,pamoja na kwamba kwenye serikali yake alikuwa fair kwenye teuzi zake na kuunda serikali yake,hakuachwa salama kuandamwa KWA waraka mbali mbali kumtuhum kuwa amekuwa akifanya teuzi zake KWA upendeleo wa kiiman,pamoja na ukweli kwamba katika teuzi hizo nafas nyingi alizitoa KWA haki na kuwapa nafasi nyingi ndug zetu hawa hawa christians bado ilionekana kuwa ana elements za udini.

Hali kama hiyo ya malalamiko hatukuiona Kabisa kutoka kwao katika utawala wa mkapa wala Magufuli pamoja na kwamba ukweli upo waz kuwa walipewa Sana wao nafas,hukuwahi kuwaskia waislam wakilalamika kuhusu teuzi hizo,na hata pale inapotokea baadhi wakihoji majibu yanayokuja ni kwamba waislam mtulie na hamna elimu,hiyo ni kasumba ambayo imejengeka kwa muda mrefu Sana, na haijengi kama Taifa.

Last week, ulifanya uteuzi ambao katika uteuzi huo yalionekana majina ya waislam kama wanne katika watu nane nadhan uliowateua ikazuka taharuki kwenye mitandao ya jamii, instagram, Twitter na hata huku JamiiForum kuwa eti awamu hii wavaa makubazi na barakashia ni awam yao, maneno ya chuki na kuudhi kabisa, na unaweza dhan huyo anaetoa mada kama hizo ni minority lakin amin kwamba anawakilisha views za wengi Sana ambao hawana tuh ujasir wa kusimama na kuongea chuki kama hizo.

Unafanya Tena uteuzi juz hapa,katika teuzi hizo hakuna jina hata moja la Muislam,wao wote wapo kimya Na hakuna taharuki yoyote iliyozuka na hujaskia malalamiko yoyote hata kutoka kwa waislam, siyo kama waislam hatuoni hilo,tunaona ila tunaingiwa na hali ya iman na kuchukulia kuwa kasumba ambayo hata tufanye nini hawa ndugu zetu hawawez kuiondoa fikran mwao,nadhan ni kasumba ambayo imegongwa muhuri ndani ya mioyo yao na wao nahis wanarithisha kizaz baada ya kizaz, it's sad.

Katika kukupa pole juu ya hilo rai yetu ni kukuomba,kwanza Simama kwenye haki,usiangalie udini,usiangalie ukanda wala ukabila,

Mkristo akiwa na qualifications na ukaridhika nae mpe nafas kwani huyo ni mtanzania, Muislam akiwa na qualifications na ukaridhika nae mpe nafas kwani huyo ni mtanzania pia.

Pamoja na kwamba ndan ya hii serikali wamejaa wao ila wakionekana waislam kadhaa tuh sehemu flan utaskia taasisi flan kuna udini, neno hilo udini limewekwa hapo Ili kukandamiza haki za watanzania hawa ambao ni Waislam wasionekane kwa namna yeyote katika hizo positions za uteuzi na utumishi hususan katika sekta ya umma.

Madam president, kuwa huru kumchagua team yako, hata kama wapo waislam wengi ambao unaona wako smart na competent kufanya nao kazi, usiache kuwapa nafas eti kwa kuhofia kuwa watapiga kelele za udini, hawa hawakuanza leo na hawatokuja kumaliza leo, ni muda SASA umefika kujifunza kuish nao kama walivyo na hiyo kasumba yao.

VYOVYOTE VILE IWAVYO MADAM PRESIDENT, WE SHALL STAND BEHIND YOU, KWA HILA NA CHUKI WATAZAOZIANZISHA KATIKA KUKUONDOA KWENYE MSTARI WA WEWE KUTENDA HAKI NA KUONGOZA TAIFA HILI.

RAMADHAAN KAREEM MADAM PRESIDENT.
Mmeanza maujingaujinga yenu...
 
Wako wengi, wengine ni Ritz & THE BOSS

Raisi akiwa ni mwislamu huibuka (hufufuka) na kuwatukana wakristo, maaskofu


Andika Kwa evidence?
Kwamba mtu akisema Magufuli alikuwa mdini
Ndo automatic anakuwa mdini?
Kama ndo hivyo basi wala sioni aibu kuitwa mdini...

Au kuwaponda Maaskofu hasa Kanisa katoliki
Kwa kumtetea Magufuli na kukaa kimya wakati Tundu Lissu anapigwa risasi
Wakati Ben Saanane anapotezwa
Wakati Roma anatekwa na nchi nzima
Inawaogopa 'watu wasiojulikana'..

Kulikuwa hakuna tamko wala waraka ..
Zaidi ya kumsifia na kumpamba Magufuli
Walikuwa 'enablers to the dictator'

Kama kuwaponda hao watu ndo kunanifanya
Niwe automatically mdini yes ..call me that..
 
Haaaaaahaaaaa...Ili muunde Jamuhuri ya kiislamu Tanzania? Kuna agenda zinafeli kabla hazijaanza. Ni mtu mpumbavu peke yake atakayejaribu kufanya hayo unayomshauri.
Usije kusahau, mlinzi wa Tanzania hajawahi kulala wa kusinzia. Hebu muupeleke upuuzi huu wa udini mbali kabisa na nchi yetu. Kama mnaona mnaonewa, mbona kuna nchi za dini moja nyingi tu. si muende huko!!!
Nini kibaya alichomshauri?
 
Andika Kwa evidence?
Kwamba mtu akisema Magufuli alikuwa mdini
Ndo automatic anakuwa mdini?
Kama ndo hivyo basi wala sioni aibu kuitwa mdini...

Au kuwaponda Maaskofu hasa Kanisa katoliki
Kwa kumtetea Magufuli na kukaa kimya wakati Tundu Lissu anapigwa risasi
Wakati Ben Saanane anapotezwa
Wakati Roma anatekwa na nchi nzima
Inawaogopa 'watu wasiojulikana'..

Kulikuwa hakuna tamko wala waraka ..
Zaidi ya kumsifia na kumpamba Magufuli
Walikuwa 'enablers to the dictator'

Kama kuwaponda hao watu ndo kunanifanya
Niwe automatically mdini yes ..call me that..

Mkuu the Boss,

With all of my due respect,nikupe pole tuh ndugu yangu,

Linapokuja suala la kusema ukweli na watu wanapokosa majibu muafaka siku zote hukimbilia kwenda kumshambulia mtoaji wa hiyo hoja either KWA kumpa majina mabaya,kumtukana au kumuita mdini kama hivyo wanavyosema,

Wanachoshindwa kuelewa ni kwamba hivi vitu vikikaliwa kimya bila kusemwa vinaota sugu mwishowe huonekana kama ni vitu vya kawaida kumbe siyo vitu vya kawaida,

Tupo pamoja mkuu
 
Wewe unadhan watakuwa ni kina nan KWA mfano,

Waislam waje jukwaani kulalamikiwa kuwa mama SAMIA anateua KWA kuwapendelea wao?

After all,tusitoke nje ya nada hii ni Letter to madam president,hakuna Tena kusikiliza kelele za malalamiko ya udini,

Aachwe afanye kazi
Pambana na hali yako bro!
Akiteuliwa muislamu hakupi pilau. au mwenzetu ndio tegemeo lako kupata wepesi?? Kama ndivyo utalala mlango wazi!
Wahenga walisema Tajiri na Mali yake...
Masikini na wanae...
Hii Serikali Imesha Jibainisha Hadharani haina deen[emoji106]
 
Madam President,naomba nikusalimie kwa salam ambayo umeipendelea Sana wewe mwenyewe kuwa NAKUSALIM KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,NA KAZ IENDELEE.

First and foremost,naomba nichukue nafas hii kukupa pole zangu nyingi sana KWA kifo cha aliekuwa RAIS wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Hayati John Joseph Magufuli, pole Sana Madam President, hakika hayakuwa haya maisha ya dunian, ila ni kitu Cha kupita tuh, na mbora miongon mwetu kwenye macho ya Mwenyezmungu ni yule ambae ni mchamungu.

Nakupa pole na kukuombea Sana,kwani umepokea kijiti Cha uongoz katika kipindi kigumu Sana, ambacho Taifa lilikuwa kwenye mtanziko, na mgawanyiko mkubwa Sana ambao kila mwananchi mwenye uelewa amekuwa anauona, siyo wafanyabiashara, wafanyakaz, wakulima na hata wajasariamali wakubwa na wadogo,bila kusahau wanasiasa na vyombo vya habari.

Pamoja na changamoto zilizopo mbele yako Wananchi wenye nia njema na Taifa hili tupo pamoja nawewe na siku zote tutakuombea KWA Mola akusimamie katika shughuli zako za kuliongoza Taifa.

Leo,nitaenda kwenye kipengele nyeti Sana,ambacho kinakuhusu wewe kuunda serikali yako madam president.

Nakupa pole Sana,katika mtihan mkubwa ambao utakutana nao ni jicho la waz waz la kuangaliwa KWA UDINI katika uteuzi wako,mama hii ni cancer ambayo sidhan kama utafanikiwa kuipata tiba yake zaid zaid ya kupiga moyo konde,kusimama kwenye haki,usawa na kuangalia weledi wa nani unamuhitaj katika kujenga serikali yako.

Kipindi ambacho Mh Jakaya Kikwete akiwa MADARAKANI,pamoja na kwamba kwenye serikali yake alikuwa fair kwenye teuzi zake na kuunda serikali yake,hakuachwa salama kuandamwa KWA waraka mbali mbali kumtuhum kuwa amekuwa akifanya teuzi zake KWA upendeleo wa kiiman,pamoja na ukweli kwamba katika teuzi hizo nafas nyingi alizitoa KWA haki na kuwapa nafasi nyingi ndug zetu hawa hawa christians bado ilionekana kuwa ana elements za udini.

Hali kama hiyo ya malalamiko hatukuiona Kabisa kutoka kwao katika utawala wa mkapa wala Magufuli pamoja na kwamba ukweli upo waz kuwa walipewa Sana wao nafas,hukuwahi kuwaskia waislam wakilalamika kuhusu teuzi hizo,na hata pale inapotokea baadhi wakihoji majibu yanayokuja ni kwamba waislam mtulie na hamna elimu,hiyo ni kasumba ambayo imejengeka kwa muda mrefu Sana, na haijengi kama Taifa.

Last week, ulifanya uteuzi ambao katika uteuzi huo yalionekana majina ya waislam kama wanne katika watu nane nadhan uliowateua ikazuka taharuki kwenye mitandao ya jamii, instagram, Twitter na hata huku JamiiForum kuwa eti awamu hii wavaa makubazi na barakashia ni awam yao, maneno ya chuki na kuudhi kabisa, na unaweza dhan huyo anaetoa mada kama hizo ni minority lakin amin kwamba anawakilisha views za wengi Sana ambao hawana tuh ujasir wa kusimama na kuongea chuki kama hizo.

Unafanya Tena uteuzi juz hapa,katika teuzi hizo hakuna jina hata moja la Muislam,wao wote wapo kimya Na hakuna taharuki yoyote iliyozuka na hujaskia malalamiko yoyote hata kutoka kwa waislam, siyo kama waislam hatuoni hilo,tunaona ila tunaingiwa na hali ya iman na kuchukulia kuwa kasumba ambayo hata tufanye nini hawa ndugu zetu hawawez kuiondoa fikran mwao,nadhan ni kasumba ambayo imegongwa muhuri ndani ya mioyo yao na wao nahis wanarithisha kizaz baada ya kizaz, it's sad.

Katika kukupa pole juu ya hilo rai yetu ni kukuomba,kwanza Simama kwenye haki,usiangalie udini,usiangalie ukanda wala ukabila,

Mkristo akiwa na qualifications na ukaridhika nae mpe nafas kwani huyo ni mtanzania, Muislam akiwa na qualifications na ukaridhika nae mpe nafas kwani huyo ni mtanzania pia.

Pamoja na kwamba ndan ya hii serikali wamejaa wao ila wakionekana waislam kadhaa tuh sehemu flan utaskia taasisi flan kuna udini, neno hilo udini limewekwa hapo Ili kukandamiza haki za watanzania hawa ambao ni Waislam wasionekane kwa namna yeyote katika hizo positions za uteuzi na utumishi hususan katika sekta ya umma.

Madam president, kuwa huru kumchagua team yako, hata kama wapo waislam wengi ambao unaona wako smart na competent kufanya nao kazi, usiache kuwapa nafas eti kwa kuhofia kuwa watapiga kelele za udini, hawa hawakuanza leo na hawatokuja kumaliza leo, ni muda SASA umefika kujifunza kuish nao kama walivyo na hiyo kasumba yao.

VYOVYOTE VILE IWAVYO MADAM PRESIDENT, WE SHALL STAND BEHIND YOU, KWA HILA NA CHUKI WATAZAOZIANZISHA KATIKA KUKUONDOA KWENYE MSTARI WA WEWE KUTENDA HAKI NA KUONGOZA TAIFA HILI.

RAMADHAAN KAREEM MADAM PRESIDENT.
Nina declare interest kuwa mimi ni Mkristu wa madhehebu ya RC. Na ninaunga mada mkono kwa 100%, ujumbe wako umeuweka vizuri sana.

Kwa karne hii na kwa nchi yetu tulivyo na mchanganyiko, ni upuuzi mtupu kuleta hoja za udini na ukabila. Tumekwishatoka huko, tuwaachie labda Warundi na Wanyarwanda au wale wa Myanmar.

Nimeona teuzi zote za Madam Prez SSH, ameteua watu kwa weledi wao kwenye maeneo husika. Na ninathubutu kusema kuwa ni kimlinganisha na Mwendazake, yeye SSH anateua excellent brains ili zimsaidie katika kazi na ushauri.

TUWA IGNORE wote wanaokuja na hoja za udini.
 
Watu wapumbavu siku zote hufurahi MTU Wa dini yake akipata uteuzi japo huwa hawapati tija yoyote ya binafsi katika maisha yao! Ni upumbavu tu!
 
Really??

Uislam chimbuko kabisa ni hapo Meccah,kama ni dini inayosimamia hayo unayonena,hizo fujo hapo si ndipo pangekuwa kitovu??

Vip kuhusu huko united arab emirates mnakoenda daily,indonesia,malaysia,just to mention but few,hebu kuwa open minded,

Jitahid upate exposure na kusoma,usiwe mjinga.
You see akili ndogo za vita, mpaka na tusi juu. Ningekuwa karibu ungenizamisha na kisu cha tumbo.
 
Nina declare interest kuwa mimi ni Mkristu wa madhehebu ya RC. Na ninaunga mada mkono kwa 100%, ujumbe wako umeuweka vizuri sana.

Kwa karne hii na kwa nchi yetu tulivyo na mchanganyiko, ni upuuzi mtupu kuleta hoja za udini na ukabila. Tumekwishatoka huko, tuwaachie labda Warundi na Wanyarwanda au wale wa Myanmar.

Nimeona teuzi zote za Madam Prez SSH, ameteua watu kwa weledi wao kwenye maeneo husika. Na ninathubutu kusema kuwa ni kimlinganisha na Mwendazake, yeye SSH anateua excellent brains ili zimsaidie katika kazi na ushauri.

TUWA IGNORE wote wanaokuja na hoja za udini.
Stuxnet,

Mkuu nimekusoma,great thinkers lazima wangekuja na reaction kama ya kwako,wengine wameona chuki kwenye hoja yangu,ila ww umeona uhalisia tupo pamoja
 
Point of additional,

Hatusemi eti KWA kuwa mama SAMIA ni muislam basi ndiyo apendelee waislam kwenye serikali yake,la hasha..

Ila pia,ikitokea amewaona waislam kadhaa wenye sifa na kuamua kuwapa nafasi basi asitazamwe KWA jicho la udini kama vile ambavyo Magufuli na wengine hawakutazamwa na kusakamwa na sisi waislam,

Wamuache mama awe free na fair kupanga team yake,wasimzongezonge

Kwa jinsi yule dhalimu alivyofanya natamani hata huyo mama ajaze waislamu tu ili akili ziwakae vizuri hao ccm, siku wakiona kiongozi anaanza mambo ya ajabu wamkanye.
 
Nina declare interest kuwa mimi ni Mkristu wa madhehebu ya RC. Na ninaunga mada mkono kwa 100%, ujumbe wako umeuweka vizuri sana.

Kwa karne hii na kwa nchi yetu tulivyo na mchanganyiko, ni upuuzi mtupu kuleta hoja za udini na ukabila. Tumekwishatoka huko, tuwaachie labda Warundi na Wanyarwanda au wale wa Myanmar.

Nimeona teuzi zote za Madam Prez SSH, ameteua watu kwa weledi wao kwenye maeneo husika. Na ninathubutu kusema kuwa ni kimlinganisha na Mwendazake, yeye SSH anateua excellent brains ili zimsaidie katika kazi na ushauri.

TUWA IGNORE wote wanaokuja na hoja za udini.

Naunga mkono hoja.
 
Back
Top Bottom