Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Watu wa legasi ni wa hovyo sana !Duuuh! Kibaya zaid ikawa furaha mnoo kwa walinda legacy na wazalendo uchwara!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa legasi ni wa hovyo sana !Duuuh! Kibaya zaid ikawa furaha mnoo kwa walinda legacy na wazalendo uchwara!!!
Acha ukuda. Ni ban yangu ya pili hii. I was found guilty of calling a MOFO, MOFO.Mwamba hongera kwa kutika Segerea
Unanitangazia kuwekwa sero wakati raia hawajui eroo huoni ni ukuda. 🤣🤣Sasa kamanda naonyesha kuumizwa kwa tatizo lako..unaniita mkuda tena?
Hiyo itakuwa kazi ya uviccmWakuu kumekua na barua inayosambaa ikisemekana inapongeza juhudi za Samia na pia kukosoa Chadema kupokea ruzuku takribani million 800!!
Kwenye kutafuta ukweli wa mambo, ACT wenyewe wamekanusha kuwa barua kuhusu Chadema kuchukua ruzuku ni feki. Hata katika kurasa rasmi za chama hakuna hiyo barua. Vile vile Salim bimanii anayesemakana kuandaa barua hiyo nayo hajaiweka popote kama press release.
Leo kada wao maarufu Petro ndolezi amekanusha kwamba barua hiyo sio ya ACT.
Nachojiuliza inakuaje Jamiiforums waache uzushi utamalaki ilihali Wana platform ya jamii check!! Huu uzembe unazidi kuonyesha weakness za media zetu kwenye kutoa habari za kuaminika.
View attachment 2537867
Sasa hujui tulijichanga ukatolewa?Unanitangazia kuwekwa sero wakati raia hawajui eroo huoni ni ukuda. 🤣🤣
Punda hana shukrani arif.Sasa hujui tulijichanga ukatolewa?
Na wapi umeambiwa imekanushwa?Nionyeshe nje ya JF hiyo barua imepostiwa wapi. Msiigeuze JF kuwa Facebook
Si uone hiyo screenshot nimeweka. Na pia barua haipo kwenye platform yoyote ya ACT ikiwemo ya Salim Bimani.Na wapi umeambiwa imekanushwa?
Walitaka ila sio kweli Sasa.... Ni Moja ya ajenda kwenye vikao vya maridhianoIla hapa hawa waliotengeneza hii habari fake wanadhumuni ambalo walitaka kufikisha
Hii ya Ruzuku nahisi ndio lilikuwa lengo lao kuu.
Bablai sijawahi ona ukimletea mtu daz ila huwa naona ban shente.🤣🤣🤣🤣🤣 Wangese tu hawa ma admin. Mtu akizingua wanataka sijui umchekee mtu anakula chaf tatu tu!
Madelu, alisema alikuwa ananukia perfume, sasa kama alijiteka unaamini vipi hio PDF hapo, au kwa vile inaihusu CDM?Wewe unaamini alitekwa?
Hawa nao badala waungane wadai katiba na tume huru ya uchaguzi, wao wanagombania ruzuku duh Tanzania yangu, nimeamini Chongolo hakukosea kusema vileWakuu kumekua na barua inayosambaa ikisemekana inapongeza juhudi za Samia na pia kukosoa Chadema kupokea ruzuku takribani million 800!!
Kwenye kutafuta ukweli wa mambo, ACT wenyewe wamekanusha kuwa barua kuhusu Chadema kuchukua ruzuku ni feki. Hata katika kurasa rasmi za chama hakuna hiyo barua. Vile vile Salim bimanii anayesemakana kuandaa barua hiyo nayo hajaiweka popote kama press release.
Leo kada wao maarufu Petro ndolezi amekanusha kwamba barua hiyo sio ya ACT.
Nachojiuliza inakuaje Jamiiforums waache uzushi utamalaki ilihali Wana platform ya jamii check!! Huu uzembe unazidi kuonyesha weakness za media zetu kwenye kutoa habari za kuaminika.
View attachment 2537867
Atakuwa amekuelewaHuko twitani iko tangia jana kama hujui!
Kuna tetesi za pesa hiyo ya ruzuku kuingizwa kwenye akaunti ya uchochoroni. Pesa weka mbali na mangi.😂😂😂 message sent!
Unajua simaindishagi mavanga chalyangu ila nawachanaga mapimbi waachege mambo za kichoko mtu akileta faru unakutaga mara pah admin kantia nyundo.Bablai sijawahi ona ukimletea mtu daz ila huwa naona ban shente.
Platinum member unaendekeza uongo? Ni lini Chadema wamepokea ruzuku? Pia unadai account ya uchochoroni .... Ni ripoti Gani ya CAG inakiri Kuna unadhirifu wa ruzuku? Au wewe ndio unajua financial control na forensic Auditing kuliko Kicheere?Kuna tetesi za pesa hiyo ya ruzuku kuingizwa kwenye akaunti ya uchochoroni. Pesa weka mbali na mangi.
Kuna tetesi za pesa hiyo ya ruzuku kuingizwa kwenye akaunti ya uchochoroni. Pesa weka mbali na mangi.