Issue ni Je, Samia haendi katika kongamano na Chadema haijapokea hiyo ruzuku?Wajinga walikuja mbio kushangilia, mimi nikawa nawatazama tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Issue ni Je, Samia haendi katika kongamano na Chadema haijapokea hiyo ruzuku?Wajinga walikuja mbio kushangilia, mimi nikawa nawatazama tu.
Wewe Mpuuziiiiiii content si ipo sahihi?Sasa why barua ya ACT na wakati wao hawajaiandaa? Ndio misinformation yenyewe.
Barua haijaandikwa na ACT na wamekanusha Sasa upuuzi wangu ni upi? Kwa hiyo Kwa kuwa Mama Samia atahudhuria BAWACHA basi nikiandika barua feki kwamba "ZANU PF yapongeza Samia kuhudhuria BAWACHA" ni halali kisa tu content ni kweli? Chadema haipokei 800 million kimahesabu kura za ubunge ni kma 15% ya kura zote so ruzuku ni kama 20 million pekee Sasa kwa miezi 28 tokea uchaguzi ni million 880??Wewe Mpuuziiiiiii content si ipo sahihi?
Barua sio ya ACT na kikubwa hapo ni hiyo 880 Million. Yaani unatengeneza mazingira ya kuaminika Ili ukiongea uongo watu waamini. Ruzuku ya 20 m ingefika 880 m ndani ya miaka 2?Issue ni Je, Samia haendi katika kongamano na Chadema haijapokea hiyo ruzuku?
Huruma nitie ya Nini wakati tunajinafasi na uhuru wa kisiasa. Mnaotia huruma ni sukuma gang mnaumia sana kuona harmony kati ya CCM na Chadema. Poleni mnoo na hiyo 2025 mtasaga meno kabisa tukiwatoa madarakani[emoji23][emoji23][emoji23]Hadi unatia huruma!
Hii ndio ccm bwashee
Ngoja tusubiri hiyo 2025 tuone, kama tutakuwa bado hai.Mnaotia huruma ni sukuma gang mnaumia sana kuona harmony kati ya CCM na Chadema. Poleni mnoo na hiyo 2025 mtasaga meno kabisa tukiwatoa madarakani
Sukuma gang tutaungana na machadema kumpitisha Samia kwa kishindo si unaona mwenyewe jinsi sisi machadema tunavyomkubali mama?Huruma nitie ya Nini wakati tunajinafasi na uhuru wa kisiasa. Mnaotia huruma ni sukuma gang mnaumia sana kuona harmony kati ya CCM na Chadema. Poleni mnoo na hiyo 2025 mtasaga meno kabisa tukiwatoa madarakani
Samia is not weak ila hataki uhasama kwenye siasa. Why iwe zero-sum game wakati siasa zinapaswa zitupe sera mbadala kuliko mauaji au kuchomeana Nyumba. Having said that hiyo 2025 msitegemee Kuna mbeleko ya kuiba kura au kubebwa itakua kma uchaguzi wa 2010 yaani ukikaa vibaya Jimbo linaenda. So sukuma gang ndio watakua biggest losers maana Chadema we have nothing to lose (Jimbo 1) but so much to gain in 2025.Sukuma gang tutaungana na machadema kumpitisha Samia kwa kishindo si unaona mwenyewe jinsi sisi machadema tunavyomkubali mama?
Wakuu kumekua na barua inayosambaa ikisemekana inapongeza juhudi za Samia na pia kukosoa Chadema kupokea ruzuku takribani million 800!!
Kwenye kutafuta ukweli wa mambo, ACT wenyewe wamekanusha kuwa barua kuhusu Chadema kuchukua ruzuku ni feki. Hata katika kurasa rasmi za chama hakuna hiyo barua. Vile vile Salim bimanii anayesemakana kuandaa barua hiyo nayo hajaiweka popote kama press release.
Leo kada wao maarufu Petro ndolezi amekanusha kwamba barua hiyo sio ya ACT.
Nachojiuliza inakuaje Jamiiforums waache uzushi utamalaki ilihali Wana platform ya jamii check!! Huu uzembe unazidi kuonyesha weakness za media zetu kwenye kutoa habari za kuaminika.
View attachment 2537867
😆😆 kumbe ndiye bimani?!Ilisambazwa na johnthebaptist
Jamaa kika siku anakua surprised, huwa ninawaambia wanachadema muwe mnaacha kuwaamini viongozi wenu[emoji23][emoji23][emoji23]Hadi unatia huruma!
Hii ndio ccm bwashee
Hao ACT kwanini mwanzo wakigoma kwamba barua haikuwa yao? waliona aibu kusema mwanzo ili wasionekane viherehere wanafuatilia mambo ya Chadema, lakini naamini walikuwa na lengo la kutafuta umaarufu kwa kuitumia Chadema, ile barua lazima ilitoka kwa mtu wa chama chao.Haikuwa na ufake wowote!
Kuna Taarifa ACT Wazalendo walikuwa nazo kabla ya Chadema ikiwemo Rais kukubali mwaliko wa Bawacha
Nadhani Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla kilivujisha purposely!
Nakusangaa kama si kukushangaa! Content sie ndiyo ya muhimuBarua haijaandikwa na ACT na wamekanusha Sasa upuuzi wangu ni upi? Kwa hiyo Kwa kuwa Mama Samia atahudhuria BAWACHA basi nikiandika barua feki kwamba "ZANU PF yapongeza Samia kuhudhuria BAWACHA" ni halali kisa tu content ni kweli? Chadema haipokei 800 million kimahesabu kura za ubunge ni kma 15% ya kura zote so ruzuku ni kama 20 million pekee Sasa kwa miezi 28 tokea uchaguzi ni million 880??
Acheni fake news mtaigeuza JF kuwa Facebook.
Na huyo johnthebaptist nimegundua ni mtu wa hovyo sana kwa kupenda uzushi na uongo.Nionyeshe nje ya JF hiyo barua imepostiwa wapi. Msiigeuze JF kuwa Facebook
Acha kuifedhehesha Chadema.Sukuma gang tutaungana na machadema kumpitisha Samia kwa kishindo si unaona mwenyewe jinsi sisi machadema tunavyomkubali mama?
Hata mimi siwezi kuwa mfuasi wa chama cha kipumbavu kama hichoAcha kuifedhehesha Chadema.
Haijawahi kuwa na mfuasi mjinga wa kiasi chako.
Samahani kwa kukueleza ukweli mchungu. Pole sana