But huez jua , jamaa pia waga ana ego flani hivi huko ndani itakua ndio balaa huoni pia case ya Ne-Yo?Wanaume sisi hata kama demu alitaka kukuua hatuendagi mahakamani tunakaa pembeni lakn wenzetu mpaka wakukomeshe hata kama ni jambo gan
Ila wao sasa mguse vyombo vya sheria vitakuandama na utaonekana mkatili sana. Huyu mwanamke ni mgawanyo wa mali atakua anataka.Wanaume sisi hata kama demu alitaka kukuua hatuendagi mahakamani tunakaa pembeni lakn wenzetu mpaka wakukomeshe hata kama ni jambo gan
Alves ndani ana ego π umejuajeBut huez jua , jamaa pia waga ana ego flani hivi huko ndani itakua ndio balaa huoni pia case ya Ne-Yo?
But jamaa waga ni misifa mingi ukute ndo inamponza ila sijuwish awe anapitia hii situation ,Ni mkewe na wana watoto, hapo naona mke anataka mali.
Aah cover la kitabu husadifu yaliyomo ndaniAlves ndani ana ego π umejuaje
Ana clip nyingi sanq za misifa mno sinunaelewa maana ya misifa??Alves ndani ana ego π umejuaje
Sina uzoefu na mambo ya kisheria ila nadhan mpaka uchunguzi ukamilikeHivi jamaa atakaa nyuma ya nondo kwa muda gani?
Wanakusetia mchongo tu jamaa anadai kuwa alifanya mapenzi lakini hakubaka walikubaliana.Visca Barca, chama langu dah....! Alikuwa dependable player wetu kwa muda mrefu.
Kesi za sexual abuse, sexual harassment, rape na nyinginezo za aina hiyo huwa zinagubikwa na utata mwingi hata ushahidi wake huwa una utata. Mnaweza kukubaliana ile umekojoa tu demu anatoka na ushahidi wake(sperms) anenda kukugeuza dili.
Daah basi apewe hizo mali, hivi mtu once mlikua mnashea chumba na kitanda kimoja howcome unapata guts za kumfanya afungwe tena jela ila kuna watu wakatili sana mmhIla wao sasa mguse vyombo vya sheria vitakuandama na utaonekana mkatili sana. Huyu mwanamke ni mgawanyo wa mali atakua anataka.
Wala hana misifa na ni mtu poa sanaBut jamaa waga ni misifa mingi ukute ndo inamponza ila sijuwish awe anapitia hii situation ,
Kugawana mali au kuachia kabisa huwa sio issue kwa wapambanaji, msala ni ile hali ya ndani inavyouma wengine wanaishiaga misingo ya mawazo to kifoNi mkewe kumbe?? Maskini afu atataka apewe talaka wagawane maliπ’π’π’
Misifa wakati alitupiwa ndizi akaitafuna wengine wanatokaga uwanjani wanalia πAna clip nyingi sanq za misifa mno sinunaelewa maana ya misifa??
Kwamba anakesi ya iumbaka mkewe au ππππSina uzoefu na mambo ya kisheria ila nadhan mpaka uchunguzi ukamilike
Wanakusetia mchongo tu jamaa anadai kuwa alifanya mapenzi lakini hakubaka walikubaliana.
Mwamba anapitia magumu alafu na mke nae anazidi kumuongezea ugumu wakati alipaswa awe faraja yake.Hakuna kitu Duniani Cha kipumbavu kama kuinvest feeling zako kwa mtu mwingine
Aaah mkuu wangu umeshinda fanya mpango tumtoe huko jerrraa ππMisifa wakati alitupiwa ndizi akaitafuna wengine wanatokaga uwanjani wanalia π
Sana alafu hizi kashfa zinawakumba sana mastaa sijui kwa nini?duh inasikitisha
Sana alafu hizi kashfa zinawakumba sana mastaa sijui kwa nini?