Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Ha ha ha haa kwa akili hii ndo matumbo amlinganishe huyo kapuku na waliokwenda shule??
hivi kwenye hiyo kampuni hakuna wasomi wakuiendesha mpaka wanafanya vituko vya namna hii???
Duuh nimecheka sana kama kitu very simple kama business letter inawashinda wataweza mengine?
Hivi JKT ndio JWTZ??
Ndio maaana domo ana mambo ya shombo sana coz akili na exposure yake ni very low!!!!!!
cc Matola
si mnajua elimu yake ni ndogo??? nini kinawashangaza? lengo la barua ni kuomba radhi, usahihi wa uandikaji wa barua mnaujua ninyi wasomi.
Last edited by a moderator: