Barua ya majibu ya Msekwa kuwajibu Kinana na Makamba hii hapa

Barua ya majibu ya Msekwa kuwajibu Kinana na Makamba hii hapa

Masijala na mihuri ya received wewe inakuhusu nini?

In other words, mihuri inayogongwa kwenye barua yako ndani kwa ndani ya taasisi wakati wewe umeshaikabidhi umeondoka, inakuhusu nini?

Unataka barua yako ishughulikiwe na taasisi. Kwa nini usii address kwa taasisi au, at the very least, kwa Mwenyekiti ambae ndie muwakilishi mkuu wa taasisi?
Barua hata usipo address mtu katibu ataifungua na kuipekeka kunakohusika.Ingeweza hata kuwa addressed kwa Baraza la wazee bila kutaja katibu Wala mwenyekiti treatment Ni same katibu atafungua na kupeleka kunakohusika .Issue Sio Nani addressed Ni content ya ndani inatakiwa kwenda wapi
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Msekwa nadhani ndio kiongozi Mstaafu muoga kuliko wote , hana ujasiri wowote ule na wala hawezi kutenda haki kwenye sakata hili , hii ni kwa sababu hajawahi kujitegemea na hajawahi kuhangaikia maisha yake nje ya ccm , anaiabudu ccm kuliko Mungu , kwake " mwenye bia nyingi mezani " ndiye wake , hata mke aliyenaye alimpata kwenye jumuiya za chama .
Wachawi utawaona wewe ukiwa mmojawapo
 
Barua hata usipo address mtu katibu ataifungua na kuipekeka kunakohusika.Ingeweza hata kuwa addressed kwa Baraza la wazee bila kutaja katibu Wala mwenyekiti treatment Ni same katibu atafungua na kupeleka kunakohusika .Issue Sio Nani addressed Ni content ya ndani inatakiwa kwenda wapi

Katibu sio anaefungua barua.

Mabarua ya ofisi hayaachwi yarundikane mlangoni kwa Katibu yanamsubiri Katibu ayafungue.

Majisala wanafungua barua na kuipeleka inakohusika.

Which means sio kila barua inasomwa na Katibu wa taasisi. Kazi yake ingegeuka kufungua na kusoma na ku forward ma barua siku nzima.

Barua ya Mwalimu wa Shule ya Msingi Maneromango, Kisarawe Vijijini, kudai mafao yake ya likizo ya uzazi usidhani itafunguliwa na kusomwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Dodoma.
 
Kwanini hiyo barua hawakuipeleka/tuma kwemye Baraza?
Katibu anajibuje barua bila Baraza kukaaa? Kazi ya katibu ni kuandika minutes za kikao Cha Baraza na kuandika kilichosemwa na Baraza anajibuje yeye kama yeye? Msemaji wa Baraza Ni mwenyekiti Sio katibu .Msekwa kakiuka taratibu za Baraza hakutakiwa kujibu yeye Kama yeye bila kushirikisha Baraza. Naona kajisahau anajiona Kama mtendaji mkuu wa Baraza!!!!! Kachemka Tena sana
 
Ameoa kwenye Jumuiya za Chama.... Ahahahaaaaaa..... Mimi nimeoa chuo kikuu. Naheshimu sana university.
Msekwa nadhani ndio kiongozi Mstaafu muoga kuliko wote , hana ujasiri wowote ule na wala hawezi kutenda haki kwenye sakata hili , hii ni kwa sababu hajawahi kujitegemea na hajawahi kuhangaikia maisha yake nje ya ccm , anaiabudu ccm kuliko Mungu , kwake " mwenye bia nyingi mezani " ndiye wake , hata mke aliyenaye alimpata kwenye jumuiya za chama .
 
Truth be told, hivi unaujua vizuri muundo wa chama cha mapinduzi? Ule unaoonekana na usioonekana? Msekwa amekaa kwenye siasa na mifumo ya uongozi ya ncho hii muda mrefu kujua hatari ya kujaribu kufanya baadhi ya mambo.

Tatizo letu kubwa ni kukosa ubunifu na kupenda kujisomea...hatuwezi kukiondoa cha dola kwa mbinu ambazo toka zianze hazibadiliki na hazijatoa tija yoyote.

Unamshauri Mzee nini sasa? Ajifunge Kamba shingoni akajining'inize kama yeye naye ni shujaa wa kihehe anayeona fahari kufa kisa kamfumania mkewe, bila kujua anahalalisha ndoa ya wawili hao yeye akishaenda chini futi sita?
Yeah, asante!
 
Msekwa nadhani ndio kiongozi Mstaafu muoga kuliko wote , hana ujasiri wowote ule na wala hawezi kutenda haki kwenye sakata hili , hii ni kwa sababu hajawahi kujitegemea na hajawahi kuhangaikia maisha yake nje ya ccm , anaiabudu ccm kuliko Mungu , kwake " mwenye bia nyingi mezani " ndiye wake , hata mke aliyenaye alimpata kwenye jumuiya za chama .
Hahahahahahaha..,...
Duh!!
Utakua nape wewe!!!!!
 
Kwa hiyo unawatetea Kinana na Makamba? Siyo nyie mlikuwa mnasema Kinana ni msomali anayemaliza tembo wetu kwa kuwa kigogo wa biashara Haram ya pembe za ndovu?

Kiukweli hamuleweki!
Mzazi wako mache watu wa mke wamseme, wamtukane hadharani lakini siyo wewe mtoto wake. Akikosea Luna njia ya kukosoana siyo kumdhalilisha.
Ukumbuke hao ni wanadamu wanamapungufu yao
 
Hongera Makamba na Kinana. Zama za uoga zimepitwa. A new era has begun. Kama Jiwe anamtuma Musiba kutukana watu na aambiwe... That is the crux of the matter. Hayo mengine ni kelele tu.
Truth be told, hivi unaujua vizuri muundo wa chama cha mapinduzi? Ule unaoonekana na usioonekana? Msekwa amekaa kwenye siasa na mifumo ya uongozi ya ncho hii muda mrefu kujua hatari ya kujaribu kufanya baadhi ya mambo.

Tatizo letu kubwa ni kukosa ubunifu na kupenda kujisomea...hatuwezi kukiondoa cha dola kwa mbinu ambazo toka zianze hazibadiliki na hazijatoa tija yoyote.

Unamshauri Mzee nini sasa? Ajifunge Kamba shingoni akajining'inize kama yeye naye ni shujaa wa kihehe anayeona fahari kufa kisa kamfumania mkewe, bila kujua anahalalisha ndoa ya wawili hao yeye akishaenda chini futi sita?
 
Wakati wa JK kulikuwa na mtu akijiita: "Mwandishi wa Rais Msaidizi" badala ya "Mwandishi Msaidizi wa Rais"
Maajabu! Barua ya Msekwa imevuja kabla hata hajai-sign! Au wazee wa baraza la wazee huwa hawasign documents zao?

Hata hivyo nimeona tatizo la kisarufi ambayo si rahisi ifanywe na Mzee Msekwa ambaye amewahi kuandika hata vitabu:

'Ndugu Abdurahaman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM mstaafu' badala ya .......Kinana, Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM. Hali kadhalika kwa mzee Makamba. Hii kitu inaitwa 'CCM mstaafu' sijui nini.....maana ni kuwa CCM ilishastaafu. Nachelea kusema hii barua si genuine kwa sababu haina sahihi ya mwandishi lakini pia tatizo la sarufi inaonesha imeandikwa na Bashite classic.
 
Unafahamu maana ya nyoka? Acheni uoga wenu. Watu wameamua kujitoa muhanga kwa ajili ya utawala bora, nyie mnawaita nyoka! Watanzania hamna shukurani. Bila shaka wakati Nyerere anapigania uhuru wa Tanganyika babu zenu walimwita nyoka.
Tatizo ni Nape. Nape ni nyoka kumbe ndo aliepeleka barua tena kwa mkono. Aibu zake.
 
Unafahamu maana ya nyoka? Acheni uoga wenu. Watu wameamua kujitoa muhanga kwa ajili ya utawala bora, nyie mnawaita nyoka! Watanzania hamna shukurani. Bila shaka wakati Nyerere anapigania uhuru wa Tanganyika babu zenu walimwita nyoka.
Kujitoa mhanga kinafki? Ukijitoa mhanga unamface mtu ana kwa ana unampa makavu yake. Hii ya kusemea nyuma ya pazia na ukikutana na mhusika unamchekea tabasamu kama lote kumbe moyoni unachuki kama yote. Nape ni nyoka kabisa.
 
Kuzikwa kwani wamekwambia kuwa wanatafuta vyeo? Wametumikia taifa kwa muda wao, wakastaafu. Nyie mnaotumikia matumbo yenu mnafikiri watu wote duniani wanapaswa kutumikia matumbo yao. Loh!
Mzee msekwa kiboko, jamaa wametumia mihemuko, imekula kwao, sasa ndio wanaenda kuzikwa kabisa...
 
Angekuwa mnafiki angepeleka barua kwa mkono? Ama kwenye lugha yenu hii ina maana gani? Au ulitaka aipeleke kwa Musiba? Ameipeleka kwa Katibu wa Baraza kwa mkono. Sasa hapo unafiki uko wapi? Huyo unayetaka am-face una uhakika gani kuwa hajawahi kum-face. Ama ulitaka afanye hivyo kwenye TV? Acheni kukatisha moyo mashujaa wa nchi hii. Wekeni uoga wenu kwenye makabati huko kwenye vyumba vyenu.
Kujitoa mhanga kinafki? Ukijitoa mhanga unamface mtu ana kwa ana unampa makavu yake. Hii ya kusemea nyuma ya pazia na ukikutana na mhusika unamchekea tabasamu kama lote kumbe moyoni unachuki kama yote. Nape ni nyoka kabisa.
 
Back
Top Bottom