Barua ya Ole Sabaya akiomba hela kampuni binafsi kusaidia CCM - 2019

Kilichobaki huyu mtu ni kupelekwa mahakamani tu, sababu kama ni ushahidi wa kumtia hatiani upo wa kila aina, though I doubt adhabu aliyopewa itakuwa ile ile "kusimamishwa kazi kupisha uchunguzi" baada ya hapo atateuliwa mwingine kuziba nafasi yake na mchezo unaishia hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…