Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Halafu wanamtaja sana Yesu na Mungu sijui wanapata wapi ujasiri huo?TASK FORCE kama bashite kupora fedha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wanamtaja sana Yesu na Mungu sijui wanapata wapi ujasiri huo?TASK FORCE kama bashite kupora fedha
Wasanii wapo wa aina nyingi sanaKutwa wako kwenye media sijui kaenda kukamata bidhaa magendo,mara sjui kumrudishia bibi gani aliporwa shamba,mara katatatua mgogoro ...
Ila yote ile ni geresha
Hawakumzunguka , alijua walichofanya na alifurahiaHawa wilipewa dhamana na waliaminiwa na jpm
Lakini kumbe nyuma huko wanamzunguka
Kutwa wako kwenye media sijui kaenda kukamata bidhaa magendo,mara sjui kumrudishia bibi gani aliporwa shamba,mara katatatua mgogoro ...
Ila yote ile ni geresha
Ova
Ogopa sana mtu ambaye kutwa kmtajataja yes sjui mtume mohmd mara kachomekea vifungu vya biblia na quran akizingmzaHalafu wanamtaja sana Yesu na Mungu sijui wanapata wapi ujasiri huo?
Hawakuwahi kumzunguka, alijua kila kitu na akaendelea kumbebaHawa wilipewa dhamana na waliaminiwa na jpm
Lakini kumbe nyuma huko wanamzunguka
Kutwa wako kwenye media sijui kaenda kukamata bidhaa magendo,mara sjui kumrudishia bibi gani aliporwa shamba,mara katatatua mgogoro ...
Ila yote ile ni geresha
Ova
Ni kweliHawakuwahi kumzunguka, alijua kila kitu na akaendelea kumbeba
Kosa kubwa ni waliomteua wakashindwa kumsimamia.Hawa wilipewa dhamana na waliaminiwa na jpm
Lakini kumbe nyuma huko wanamzunguka
Kutwa wako kwenye media sijui kaenda kukamata bidhaa magendo,mara sjui kumrudishia bibi gani aliporwa shamba,mara katatatua mgogoro ...
Ila yote ile ni geresha
Ova
Huu ni ujambaziWakuu huu ndio ushahidi wa uovu uliokuwa ukifanywa na huyu kijana
View attachment 1795272
Vinavyoliwa gizani hitapikwa hadharaniWakuu huu ndio ushahidi wa uovu uliokuwa ukifanywa na huyu kijana
View attachment 1795272
Wameshaelewa na nashukuru wametimiza haki. Tunapaswa tujadiliane kwa lugha ya staha.Kiongozi, unataka moderetaz nao wajumuike kumchakata jamaa au?
Wameshatoa msaada. Nenda kaangalie kilichotokea kwa jamaa mwenye lugha chafu.Msaada wa vipi Sasa hapo
Kwaiyo we umefaidika na nini???! Washamba mna Taabu sanaWameshatoa msaada. Nenda kaangalie kilichotokea kwa jamaa mwenye lugha chafu.
Jambazi kama jambazi yaani
Walijifichia kwenye ukali kumbe ni wapigaji.Niliwaambia watu ukiona mtu ni mkali jua kuna Siri anafichahuu upumbavu ulipata baraka za marehemu