Barua ya Ole Sabaya akiomba hela kampuni binafsi kusaidia CCM - 2019

Barua ya Ole Sabaya akiomba hela kampuni binafsi kusaidia CCM - 2019

Tatizo ushamba ubabe wa kijinga anao
Yaani ukiwa Rc au dc kupiga hela haitaki
Utumie miguvu sjui uporaji
Akili tu nashanga dogo huyo ameshindwa
Zaidi ya kutumia njia za ajabu!

Ova
 
Umeongea jambo la point kama zote, tunaomjua wala hatushangai huu utapeli unaoufanya yaani hakuna jipya. Na ndio unajiuliza hawa watu wa kuwapatia wananchi viongozi hawajui kazi yao ya kuchuja na Kumfuatilia mtu
Kama chuo tu alikuwa mzushi, haya kapata nafasi tena kubwa, hapo lazima apige
Ila watu wanapiga kwa akili siyo kama style zake yeye

Ova
 
Huyu kijana napendekeza afi√we ndo iwe adhabu yake! Na arekodiwe wakati wa mtifuano wa tope, baada yake afuate kheri james na majangili mengine ya ccm
Ashakum sio matusi Mkuu kwanini umeichagua hii adhabu? Uliijuaje kama ni adhabu ambayo itakupa total satisfaction?

Natanguliza shukrani zangu Mkuu.
 
Umeongea jambo la point kama zote, tunaomjua wala hatushangai huu utapeli unaoufanya yaani hakuna jipya. Na ndio unajiuliza hawa watu wa kuwapatia wananchi viongozi hawajui kazi yao ya kuchuja na Kumfuatilia mtu
Haya mambo ya appointment aliyaweza Hayati Mwl. J K Nyerere, alikuwa anachunguza sana watu anaowapa nafasi za uongozi
 
Hawa wilipewa dhamana na waliaminiwa na jpm
Lakini kumbe nyuma huko wanamzunguka
Kutwa wako kwenye media sijui kaenda kukamata bidhaa magendo,mara sjui kumrudishia bibi gani aliporwa shamba,mara katatatua mgogoro ...
Ila yote ile ni geresha

Ova
 
Back
Top Bottom