Barua ya Rais Mobutu kwenda kwa Rais wa Ufaransa Jacques Chirac


hahahaha[emoji23][emoji23] kile kichwa bana alafu alikua na tabia kama za jiwe mfano kuna video anahojiwa akajisahau akasema “tactics i use in sports i apply in politics also,for example i knock out political opponents” mwandishi akauliza “how do you knock out political opponents ?” akajibu “but you know europeans used to think that African leaders cannot think for themselves...” hapo amebadili mada [emoji23] na huwezi kumkosoa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na walikua ni karumekenge kweli.
 
Ninadhani nilichelewa kidogo kuzaliwa au Mobutu aliwahi kidogo. We could have made a perfect couple maana Nina test ya vitu quality [emoji23]

[emoji23]mbona ulimfaa kabisa alipenda vitoto vidogo hasa vi bikra
lakini usihofu yeye hayupo nasi lakini mimi nipo hapa nimefanana nae tabia zote


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afrika tuna vitu vingi vya kujivunia sema tuna vurugwa na wazungu tu

Sent using Jamii Forums mobile app

na kama kuna kosa kubwa alilofanya mobutu ni kujiweka karibu na wazungu hii ilimsaidia kupewa mikopo na misaada maana kila alichotaka walimpa lakini mwishowe ilisababisha nchi ianguke
nyerere tabia yake ya kujiweka mbali na wazungu na kuwa karibu na wachina ilimsaidia akadumu madarakani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri wa JF ni mwalimu tosha.Nimejifunza kitu kikubwa sana,dunia ni ya Mungu,mali,madaraka,na kila aina ya utajiri tulionao ni vitu vya kupita,cha msingi ni kuishi kwa utashi na kumweka mwenyezi mbele.
 
Uzuri wa JF ni mwalimu tosha.Nimejifunza kitu kikubwa sana,dunia ni ya Mungu,mali,madaraka,na kila aina ya utajiri tulionao ni vitu vya kupita,cha msingi ni kuishi kwa utashi na kumweka mwenyezi mbele.

mkuu JF kuna nondo nyingi sana,ukufukua nyuzi za miaka ya zamani kuna mambo mengi ya maana yamejadiliwa humu hiyo ndio hunifanya na mimi nijitahidi kutoa michango ya maana ambayo siku moja mtu atatafuta kitu google akipatie majibu yake humu tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mobutu aliwekeza mkwanja mlefu sana kwenye kampuni ya magari ya Mitsubishi.alikua na 60% ya hisa kwenye kampuni ile

kumbe, nimewahi kusikia hadi kwenye BENZ lakini huyo mzee alikuwa na taste ya magari mazuri, kuna JEEP ameendesha mwanzoni mwa miaka ya 90 ukiwa nayo saivi watu wanakuheshimu mtaani maana sijawahi kumuona mtu anaendesha hapa kwetu ile gari


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichompendea Idd amin alibebwa na Wazungu kwenye Machela sijui ni kweli au walimpakazia!
 
alimjibu kisiasa siasa haina jibu la moja kwa moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…