Barua ya Rais Mobutu kwenda kwa Rais wa Ufaransa Jacques Chirac

Barua ya Rais Mobutu kwenda kwa Rais wa Ufaransa Jacques Chirac

Candidat na biso mobutu
Huu wimbo aliimba Franco(1984 kama sijakosea)

Dhumuni la wimbo huu ilikua ni kumsifia Mobutu baada ya kumtoa jela.

katika mashairi yake anasema "wanaume kwa wanawake wa kizaire, tuingie barabarani na tupige kelele, mgombea wetu si mwingine bali ni mobutu"

Kisa cha franco kwenda jela naskia alikua anatembea na mke(demu) wa mobutu(wakongo wana uthubutu sana kutag ubavu na maprezidaa ref babu seya na Msogaman)

So baada ya kupata msamaha ikabidi aimbe ule wimbo kama kujisafisha kwa kuwa mobutu alikua mpenda sifa.

Najaribu ku apload hapa
 

Attachments

mkuu katika vita ile mobutu alikuwa mpatanishi tu hadi aliitisha mazungumzo ya amani yaliyopelekea kuwa na GBADOLITE DECLARATION lakini walipoanza kupigana tena Mobutu kama kawaida yake alikuwa na tabia moja katika karibu kila jambo analofanya lazima afaidike kwa kupata pesa
alichokifanya alicheza mchezo wa upigaji yani vifaa vya kivita vilitumwa kwa savimbi kupitMossadia uwanja wa ndege wa Mobutu pale gbadolite so alipata mamilioni ya dollar za kimarekani, huyu mzee alikuwa mjanja yeye anahimiza amani lakini akiona fursa za pesa haachi hata wakati anawasaidia wanyarwanda kuzima mauaji ya wenyewe kwa wenyewe alifanya vile sababu ya rafiki yake
kwenye migodi ya almasi ya Zaire wale ma boss waliowekwa kusimamia walikuwa kila wakienda wanampelekea zawadi briefcase nzima imejaa almasi
Bado alikuwa ni msaliti tu, kitendo cha, Kupokea Almasi, na kupitishia kwako silaha zikaue ndugu zako wa Damu, ni kibaya sana. hata hao wanao kupa hizo Mali wanakudharau kupita maelezo, siku mambo yakiwa- Mafu wana kuua,

Wanakukejeli, wanakubeza bila chembe ya huruma! wana akili sana wanajua km umegeuka ndg zako wao je? siri ya ubaya wao je? wkt Zimwi la Ukoloni, Utumwa bado linawaandama kila iitwapo leo! wanachofanya ni kuwachomeka nyie kwa nyie! ili mgawane madhambi!

Ni kama ma- Rais wote wa Africa waliosoma shule za Mkoloni, kupitia Mission za RC, SDA, Lutheran nk, walipambana kwa dhati kumkomboa Mwafrica na Africa yote! kwa huruma, upendo wa kweli! hawakuweka mbele ulaji! Vi-Rais Vika rume kenge ambavyo havikusoma hizo shule vilitamani Mali kwa Usaliti! na vingi vimekulia Africa, tumevifundisha weusi wenyewe humuhumu!

Some times nadiriki kufikiri hata hao wanao kutumia kufanya vitendo viovu, wana utu zaidi, ila imebidi waishi kwa kufanya hivo, na miili yao inawasisimuka kwa matendo ya Rais Msaliti, ni km walikujaribu ukakubali wakutumie! ni sawa na enzi watumwa waliuzwa hivivhivi! kwa kioo! au chupa 1 kubwa ya pombe tu!.

Biashara km hii Nyerere alikataa kuwauza wa -Libya kwa Mafuta! akapata sifa sana. Idd baadaye alijitambua kinacho mjia mbele! na akatamka wazi OAU! njama za wayahudi, wazungu upande wa Israel wakachukia zaidi!

Wa-zebanga! alikuwa kibaraka mtiifu lkn wapi! hakusikilizwa alipo kuwa maji mafu! ali-dead like Dog! sijui hawa viongozi wa Al-sha-abab, Boko Haram hawajifunzii?

Rais yeyote ukitaka amani Duniani, tetea wanyonge direct, usigeuke, geuke, yaani uwe km km Nyerere!, Ayatollah Khomein, Yasser Arafat, Anwar Sadat nk, ukiwa kibaraka tu lazima uwe na mwisho mbaya, km huyu, kina Hisen Habre, Bokasank! Gaddafi!

Idd Amin alisaidiwa na Mossad AL-A belt kutwaa Madaraka, hata mafunzo ya kijeshi alipata kwao, lengo watumie ardhi ya Uganda kuidhoofisha Sudan, Sudan iliunga mkono waarabu/ Palestine, hapo Idd Amin akagoma !

Tena akawa mwiba zaidi kwao alipo unga mkono juhudi za waarabu dhidi ya Israel, JEWS wakanuna ! hawajakaa sawa ktk hilo akakubali Magaidi wa kiarabu kutumia ardhi ya Uganda dhidi ya Israel!

Hapo Nyerere akaona fursa mdebwedo, na kumpa kichapo cha mbwa mwizi! Idd akabaki kukimbia kimbia tuu! mara Libya! mara SaudiaI, Mara zaire, Jews hawakumthamini kwamba huyu jamaa tuliwahi mtumia, hakukanyaga tena Tel avivi.mpaka kifo! wakashangilia sana! na kulaani kimyakimya!
 
Mobutu na Chirac walikuwa ni personal friends, katika barua hii Mobutu anamfahamisha Chirac kusudio la kutoa siri za wamarekani Africa hasa Angola na kuachia madaraka ya nchi

Hii ni moja ya barua za mwisho alizoandika Mobutu akiwa rais

Sent using Jamii Forums mobile app

By the time he was writing this letter, things were out of his hands. It was too late. Let him RIP. I
 
By the time he was writing this letter, things were out of his hands. It was too late. Let him RIP. I
kweli kabisa japo hakutaka kukubali, amekuja kukubali kushindwa masaa machache kabla ya kutoroshwa, walinzi wake wanamuambia tukimbie hatuna silaha za kupambana ndio akakubali vita imeisha
 
Kuhusu picha na video za Idd Amin, huwa napata shida kujua ni kweli au zinatokana na ile video maarufu aliyoigiza yule jamaa anafanana saaana na Idd Amin
mkuu idd amin wa kweli ni rais kumtofautisha na wanaomuigiza, idd amin wa kweli ngoja nikuwekee picha yake umuone akiwa UN, yani kwa kifupi alikuwa na mwili wa maziezi kutokana na kwamba alikuwa bondia
 
Huyo Mobutu seseseko ni viongozi wa hovyo na wa kulaani waliowahi kupata madaraka hapa Afrika

Haiwezekani unatawala nchi ambayo watu wake ni masikini wa kutupwa wanaohangaikia tonge nchi inakuwa kama mnyama ambae hana akili unakaa kufuja na kuchezea kodi na mali za umma
 
Afande mobuttu
Jamaa alijenga jumba la starehe kijijini kwao akaliita motel nzekele
Akanunua meli ya kulia bata ikiitwa MV kamanyola
Akajenga kanisa kubwa na airport yenye uwezo wa kutua ndege aina ya concord yote aliyafanya kinijini kwao gbadorite
Ila ubaya haudumi.. Alianguka na kila Kitu chake
images%20(31).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karumekenge [emoji23][emoji23][emoji23]
Viongozi wa enzi zile walipata elimu ya mkoloni.
Kwame Nkurumah alikuwa mwanafunzi wa PhD London School of Economics kabla hajaanza harakati za ukombozi

Kamuzu Banda alikuwa MD

Nyerere alikuwa na Masters ya Edinburgh

Patrice Lumumba usipime

Amin na Mobutu walionekana karumekenge kwenye club hivyo walielewana wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu wimbo aliimba Franco(1984 kama sijakosea)

Dhumuni la wimbo huu ilikua ni kumsifia Mobutu baada ya kumtoa jela.

katika mashairi yake anasema "wanaume kwa wanawake wa kizaire, tuingie barabarani na tupige kelele, mgombea wetu si mwingine bali ni mobutu"

Kisa cha franco kwenda jela naskia alikua anatembea na mke(demu) wa mobutu(wakongo wana uthubutu sana kutag ubavu na maprezidaa ref babu seya na Msogaman)

So baada ya kupata msamaha ikabidi aimbe ule wimbo kama kujisafisha kwa kuwa mobutu alikua mpenda sifa.

Najaribu ku apload hapa
YABISO CANDIDA ULIIMBWA MWAKA 1976 .ILIKUWA UCHAGUZI WA ZAIRE. FRANCO ANAIMBA HIVI.YABISO CANDIDA MOBOTU SESE .YAANI MGOMBEA NI MOBUTU. NZAMBE ATINA YO YAAN MUNGU AMEKUTUMA WEWE MOBUTU UWE RAIS. BELELA BELA NA KOMBO YA MOBUTU .TANGAZENI TANGAZENI JINA LA MBOUTU..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bana, jamaa balikua bana vala pamba muzuri!!!!!, Haki dunia ni mapito tu jama!

njo vile alikuwa na mu suti muwili ba dhahabu na mu kitanda mwa umeme iko ukiboyeza mu rimoti iko kitanda inatoka mu sakafu na ukibonyeza bu rimoti bu kitanda bakuwa mu bwawa ba kuogelea ila alikua na mu roho muzuri ukimuomba mukitu yeyote anakupala


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom