mkuu katika vita ile mobutu alikuwa mpatanishi tu hadi aliitisha mazungumzo ya amani yaliyopelekea kuwa na GBADOLITE DECLARATION lakini walipoanza kupigana tena Mobutu kama kawaida yake alikuwa na tabia moja katika karibu kila jambo analofanya lazima afaidike kwa kupata pesa
alichokifanya alicheza mchezo wa upigaji yani vifaa vya kivita vilitumwa kwa savimbi kupitMossadia uwanja wa ndege wa Mobutu pale gbadolite so alipata mamilioni ya dollar za kimarekani, huyu mzee alikuwa mjanja yeye anahimiza amani lakini akiona fursa za pesa haachi hata wakati anawasaidia wanyarwanda kuzima mauaji ya wenyewe kwa wenyewe alifanya vile sababu ya rafiki yake
kwenye migodi ya almasi ya Zaire wale ma boss waliowekwa kusimamia walikuwa kila wakienda wanampelekea zawadi briefcase nzima imejaa almasi
Bado alikuwa ni msaliti tu, kitendo cha, Kupokea Almasi, na kupitishia kwako silaha zikaue ndugu zako wa Damu, ni kibaya sana. hata hao wanao kupa hizo Mali wanakudharau kupita maelezo, siku mambo yakiwa- Mafu wana kuua,
Wanakukejeli, wanakubeza bila chembe ya huruma! wana akili sana wanajua km umegeuka ndg zako wao je? siri ya ubaya wao je? wkt Zimwi la Ukoloni, Utumwa bado linawaandama kila iitwapo leo! wanachofanya ni kuwachomeka nyie kwa nyie! ili mgawane madhambi!
Ni kama ma- Rais wote wa Africa waliosoma shule za Mkoloni, kupitia Mission za RC, SDA, Lutheran nk, walipambana kwa dhati kumkomboa Mwafrica na Africa yote! kwa huruma, upendo wa kweli! hawakuweka mbele ulaji! Vi-Rais Vika rume kenge ambavyo havikusoma hizo shule vilitamani Mali kwa Usaliti! na vingi vimekulia Africa, tumevifundisha weusi wenyewe humuhumu!
Some times nadiriki kufikiri hata hao wanao kutumia kufanya vitendo viovu, wana utu zaidi, ila imebidi waishi kwa kufanya hivo, na miili yao inawasisimuka kwa matendo ya Rais Msaliti, ni km walikujaribu ukakubali wakutumie! ni sawa na enzi watumwa waliuzwa hivivhivi! kwa kioo! au chupa 1 kubwa ya pombe tu!.
Biashara km hii Nyerere alikataa kuwauza wa -Libya kwa Mafuta! akapata sifa sana. Idd baadaye alijitambua kinacho mjia mbele! na akatamka wazi OAU! njama za wayahudi, wazungu upande wa Israel wakachukia zaidi!
Wa-zebanga! alikuwa kibaraka mtiifu lkn wapi! hakusikilizwa alipo kuwa maji mafu! ali-dead like Dog! sijui hawa viongozi wa Al-sha-abab, Boko Haram hawajifunzii?
Rais yeyote ukitaka amani Duniani, tetea wanyonge direct, usigeuke, geuke, yaani uwe km km Nyerere!, Ayatollah Khomein, Yasser Arafat, Anwar Sadat nk, ukiwa kibaraka tu lazima uwe na mwisho mbaya, km huyu, kina Hisen Habre, Bokasank! Gaddafi!
Idd Amin alisaidiwa na Mossad AL-A belt kutwaa Madaraka, hata mafunzo ya kijeshi alipata kwao, lengo watumie ardhi ya Uganda kuidhoofisha Sudan, Sudan iliunga mkono waarabu/ Palestine, hapo Idd Amin akagoma !
Tena akawa mwiba zaidi kwao alipo unga mkono juhudi za waarabu dhidi ya Israel, JEWS wakanuna ! hawajakaa sawa ktk hilo akakubali Magaidi wa kiarabu kutumia ardhi ya Uganda dhidi ya Israel!
Hapo Nyerere akaona fursa mdebwedo, na kumpa kichapo cha mbwa mwizi! Idd akabaki kukimbia kimbia tuu! mara Libya! mara SaudiaI, Mara zaire, Jews hawakumthamini kwamba huyu jamaa tuliwahi mtumia, hakukanyaga tena Tel avivi.mpaka kifo! wakashangilia sana! na kulaani kimyakimya!