mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Baada ya ban naona umerudiHasa ya akina mama viti maalumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya ban naona umerudiHasa ya akina mama viti maalumu
Navuta picha Sugu amevaa sketi haiji kabisamwanaume ambae anakwambia umsiende bungeni then mwambie avae sketi aende yeye
Wabunge watae
Wabunge wataenda, na wewe utaendelea kuwashabikia tu huna namna, huna maamuzi kwenye chama na ukichoka hama uende kwa dovutwa.
Pesa mnapewa za bando mnadhani zinatoka wapi kama sio ruzuku ya hao wabunge.?
Sio kwa Tanzania hii ambayo mnasusa kila siku
Mwenyewe namushauri halima apelrke majina na yeye mwenyewe aende bungeni wanaume ni wabinafsi Sana, ni bawacha tu imebaki na nguvu na udhubutu wanaume waoga wamebaki suruali tu
Majina yako tayari
Ila sasa changamoto iko kwa wabunge waliokosa majimbo ndio hawataki na wanashawishi majina yasipelekwe
Bora wangegoma kabisa kushiriki uchaguzi.Serikali za mitaa walilizwa nafasi zote na bado mwaka huu wakaingia kwenye uchaguzi kwa kuwa zilikuwa ni nafasi yao, wakaamini watapita. Ubinafsi wa viongozi unaponza chama. Wanapoona ni nafasi zao wanaingia uchaguzini, sasa ngoja nao wasikilizie joto ya jiwe!
Kakojoe ulale.Ww ndio mpumbavu
Hivyo viti maalum vingekuwa wanaume wanaenda basi chadema wangeenda wasingejali utopolo wako
Unajua gharama za kuongoza chama ww?
Au unaongea tu kwa vile una MB
Because of Election results which dispute, our special seats members should not be part of National assembly members. Very good decision.N hivi hawaendi, badilisheni kanuni waende hao wanaume maana wao ndio hawaachagi kwenda. But as how it stands, hakuna atakayekwenda kushiriki bunge la wamwaga damu na wezi wa kura. Na ikitokea wabunge wa viti maalum wa cdm kwenda, wajue ndio mwisho wetu kujitokeza kupiga tena kura.
Ni kipi wataenda kuongea huko bungeni wakati hotuba zao zote zinahaririwa au kuzuia kusomwa? Huyo Halima Mdee si ndio kila akiwa bungeni akitoa mawazo yake msiyopenda amekuwa akitolewa bungeni, ama mnadhani tumesahau ni mara ngapi mmefukuza bungeni? Kama mnataka kuwatumia hao wabunge kupata mtakacho, kajipangeni upya.
Hafasi moja cdm wamemteua huyo hapa kua mbunge wao viti maalumDada halima najua uko poa kabisa
Madhumuni ya barua hii ya wazi ni kutaka kukufikishia ujumbe ufuatao
Kuna taarifa nimezipata chini ya kapeti zikisema kuwa asilimia kubwa ya wabunge wanaume ambao wamekosa ubunge ndio wanapambana nyie wakina mama msiende viti maalum
Napenda kukwambia kuwa hao wabunge wanasema nyie msiende ni kwasababu ya ubinafsi wao tu... hii fulsa ingekuwa ya wao wanaume wasingewasikiliza nyie kabisa ingekuwa wameshaenda long time
Ww ndio kiongozi wa wanawake CHADEMA please acha kusikiliza hao wabinafsi... peleka majina ya wakina mama wenzako ili mkateteee chama
Miaka yote CHADEMA huwa hairidhiki na matokeo ila huwa wanaenda bungeni hiyo ni kwa sababu wanaume wengi walikuwa wanachaguliwa
Najua una changamoto sana juu ya suala hili but be strong and peleka majina tume.... mwanaume ambae anakwambia umsiende bungeni then mwambie avae sketi aende yeye
Because of Election results which dispute, our special seats members should not be part of National assembly members. Very good decision.
Our party cease to be a public political party ?. Chadema is a public political party hence must participate in all political life in our country though with protest.
Do we need to be part of political system in our country ?or we want to establish our own rules and ask every other political party to observe it?
We must ask relevant and serious questions surrounding our political life, our participation in Electoral processes before we arrive at a decision.
We need to think hard and heartily instead of jumping into finalities.
Sio kwa Tanzania
Inconsistent???,.....bunge ni moja eti lenye majukumu yaleyalekupitia wananchi, ila viti maalumu anafaa kabisa.
When you have a problem which needs solution, you should never rush to get the solution, sometimes give your mind a chance to pause in order to have a recollection of events to get positive review.Here I see a bunch of English words which has no any meaning to me. I sincerely ask you to go back in your drawing board, as I think you may come up with a better story than this one.