Barua ya wazi kwa dada Halima Mdee

Barua ya wazi kwa dada Halima Mdee

Majina yako tayari
Ila sasa changamoto iko kwa wabunge waliokosa majimbo ndio hawataki na wanashawishi majina yasipelekwe
N hivi hawaendi, badilisheni kanuni waende hao wanaume maana wao ndio hawaachagi kwenda. But as how it stands, hakuna atakayekwenda kushiriki bunge la wamwaga damu na wezi wa kura. Na ikitokea wabunge wa viti maalum wa CHADEMA kwenda, wajue ndio mwisho wetu kujitokeza kupiga tena kura.

Ni kipi wataenda kuongea huko bungeni wakati hotuba zao zote zinahaririwa au kuzuia kusomwa? Huyo Halima Mdee si ndio kila akiwa bungeni akitoa mawazo yake msiyopenda amekuwa akitolewa bungeni, ama mnadhani tumesahau ni mara ngapi mmemfukuza bungeni? Kama mnataka kuwatumia hao wabunge kupata mtakacho, kajipangeni upya.
 
Tunataka chama chetu kiende bungeni huyo askofu akawape sakrament watu wake
Na mwaka 2025 mtatuambia nn wanachama tukawaelewa....
Huu uchaguzi tangu mwanzo ni mizengewe tu....
 
Serikali za mitaa walilizwa nafasi zote na bado mwaka huu wakaingia kwenye uchaguzi kwa kuwa zilikuwa ni nafasi yao, wakaamini watapita. Ubinafsi wa viongozi unaponza chama. Wanapoona ni nafasi zao wanaingia uchaguzini, sasa ngoja nao wasikilizie joto ya jiwe!

Yeah kabisa
Hapo wanaweka ugumu kwa sababu wao hawapo kwenye hiyo fursa

Ni aibu sana kuwa na Chama chenye mfumo dume

Myika na yule mzee wa kufuga madevu please acheni hizo mambo za kuweka ugumu kwenye mambo hayo

Kama vipi basi mkifute kabisa chama ili tujue kweli mmesusa
 
N hivi hawaendi, badilisheni kanuni waende hao wanaume maana wao ndio hawaachagi kwenda. But as how it stands, hakuna atakayekwenda kushiriki bunge la wamwaga damu na wezi wa kura. Na ikitokea wabunge wa viti maalum wa cdm kwenda, wajue ndio mwisho wetu kujitokeza kupiga tena kura.

Ni kipi wataenda kuongea huko bungeni wakati hotuba zao zote zinahaririwa au kuzuia kusomwa? Huyo Halima Mdee si ndio kila akiwa bungeni akitoa mawazo yake msiyopenda amekuwa akitolewa bungeni, ama mnadhani tumesahau ni mara ngapi mmefukuza bungeni? Kama mnataka kuwatumia hao wabunge kupata mtakacho, kajipangeni upya.

Hayo mambo yalikuwepo tangu wakati wa Mzee Slaa
Kwani yameanza jana au juzi?

Mbona hamkugoma kipindi hiko?
 
Dada halima najua uko poa kabisa

Madhumuni ya barua hii ya wazi ni kutaka kukufikishia ujumbe ufuatao

Kuna taarifa nimezipata chini ya kapeti zikisema kuwa asilimia kubwa ya wabunge wanaume ambao wamekosa ubunge ndio wanapambana nyie wakina mama msiende viti maalum

Napenda kukwambia kuwa hao wabunge wanasema nyie msiende ni kwasababu ya ubinafsi wao tu... hii fulsa ingekuwa ya wao wanaume wasingewasikiliza nyie kabisa ingekuwa wameshaenda long time

Ww ndio kiongozi wa wanawake chadema please acha kusikiliza hao wabinafsi... peleka majina ya wakina mama wenzako ili mkateteee chama

Miaka yote chadema huwa hairidhiki na matokeo ila huwa wanaenda bungeni hiyo ni kwa sababu wanaume wengi walikuwa wanachaguliwa

Najua unachangamoto sana juu ya swala hili but be strong and peleka majina tume.... mwanaume ambae anakwambia umsiende bungeni then mwambie avae sket aende yeye
Chadema wanachelewesha maendeleo.
 
Atapelekaje majina kama chama chake hakijaridhia ? Wanaweza kufutwa uanachama, watasema wamesaliti msimamo wa chama...mara kwa hasira wakahamia CCM..[emoji848]
Kila kitu was okay
Ila ni hao wabunge wabinafsi ndio wanatia zengwe

Ni wivu tu unawasumbua tena wivu wa kike
 
Kwa hili bunge la Korea kaskazin hata warushe live watakuwa wanajisumbua tu , Leo nilikuwa naliangalia kwa mara ya mwisho nimemsikiliza KIM JUNG UN hakuna kipya
[emoji2][emoji2][emoji2] umenifurahisha dada, eti unaangalia mara ya mwisho. Acha uongo bana
 
Kila kitu was okay
Ila ni hao wabunge wabinafsi ndio wanatia zengwe

Ni wivu tu unawasumbua tena wivu wa kike
Waliwaambia wenzao wasusie uchaguzi serikali za mitaa, wenyewe hawakususa ubunge wakagombea. Sasa wameshindwa wanawazuia hata ambao wana uwezekano wa kuhudhuria. Inafikirisha.
 
Hayo mambo yalikuwepo tangu wakati wa mzee slaaa
Kwani yameanza jana au juzi?

Mbona hamkugoma kipindi hiko?

Tumeamua kuanza sasa. Na toka chaguzi zilivyoanza CDM ilikuwa inapanda, chaguzi za huko nyuma uliwahi kuona karibia nusu ya wagombea wa upinzani wakienguliwa kwa mizengwe? Uliwahi kuona mabegi ya kura za wizi, huku vyombo vya dola vikiwa sehemu au kutokuchukua hatua? Nasema hivi, haendi mtu, na wakilogwa wakaenda wasubiri ccm wawe wanawapa kura za hisani, lakini sio toka kwetu.
 
Dada halima najua uko poa kabisa

Madhumuni ya barua hii ya wazi ni kutaka kukufikishia ujumbe ufuatao

Kuna taarifa nimezipata chini ya kapeti zikisema kuwa asilimia kubwa ya wabunge wanaume ambao wamekosa ubunge ndio wanapambana nyie wakina mama msiende viti maalum

Napenda kukwambia kuwa hao wabunge wanasema nyie msiende ni kwasababu ya ubinafsi wao tu... hii fulsa ingekuwa ya wao wanaume wasingewasikiliza nyie kabisa ingekuwa wameshaenda long time

Ww ndio kiongozi wa wanawake chadema please acha kusikiliza hao wabinafsi... peleka majina ya wakina mama wenzako ili mkateteee chama

Miaka yote chadema huwa hairidhiki na matokeo ila huwa wanaenda bungeni hiyo ni kwa sababu wanaume wengi walikuwa wanachaguliwa

Najua unachangamoto sana juu ya swala hili but be strong and peleka majina tume.... mwanaume ambae anakwambia umsiende bungeni then mwambie avae sket aende yeye
Mtoa post natamani nikutukane lakini nitakuwa nimefanya kosa la jinai. Naishia kukwambia wewe nanihii.
 
Waliwaambia wenzao wasusie uchaguzi serikali za mitaa, wenyewe hawakususa ubunge wakagombea. Sasa wameshindwa wanawazuia hata ambao wana uwezekano wa kuhudhuria. Inafikirisha.

Ni ujinga sana
Hayo malalamiko yao yapo since mfumo wa vyama vingi umeanza na walikuwa wanaenda bungeni

Sasa sijui imekuwaje leo wanajifanya wanahasira sana
 
Tumeamua kuanza sasa. Na toka chaguzi zilivyoanza cdm ilikuwa inapanda, chaguzi za huko nyuma uliwahi kuona karibia nusu ya wagombea wa upinzani wakienguliwa kwa mizengwe? Uliwahi kuona mabeg ya kura za wizi, huku vyombo vya dola vikiwa sehemu au kutokuchukua hatua? Nasema hivi, haendi mtu, na wakilogwa wakaenda wasubiri ccm wawe wanawapa kura za hisani, lakini sio toka kwetu.

kura yako moja sio ishu
 
Tumeamua kuanza sasa. Na toka chaguzi zilivyoanza cdm ilikuwa inapanda, chaguzi za huko nyuma uliwahi kuona karibia nusu ya wagombea wa upinzani wakienguliwa kwa mizengwe? Uliwahi kuona mabeg ya kura za wizi, huku vyombo vya dola vikiwa sehemu au kutokuchukua hatua? Nasema hivi, haendi mtu, na wakilogwa wakaenda wasubiri ccm wawe wanawapa kura za hisani, lakini sio toka kwetu.
Hiyo kauli yako kuwa "haendi mtu" itunze vizuri mkuu. Unaongea as if wewe ni Mbowe, mara wameenda[emoji3][emoji3] aibu kwako sijui utasema nini.
 
Sasa basi jambo la msingi ni kufuta chama na kila mtu akafanye biashara yake

Chadema kuwa nje ya platform ya kuongea kwa miaka mitano ujui 2025 itakuwa ni kazi kubwa sana kishawishi watu?

But pia nikuulize swali je ni lini uchaguzi wa Tanzania ulikuwa huru na haki? Mbona hakuna chaguzi ambayo mligomea?

Tuache mfumo dume na ubinafsi wa kijinga
Wewe umechangia fedha yako CHADEMA hadi uumie ikikosa platform?
 
Back
Top Bottom