Barua ya wazi kwa ndugu Tundu Lissu

Barua ya wazi kwa ndugu Tundu Lissu

Status
Not open for further replies.

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,085
Nimekua nikikusikia kwenye kampeni zako ukiongea maneno mengi sana ya kuwadanganya na kuwalaghai watanzania kwamba utawaletea mabadiriko na maneno yako kamwe hayawezi kuwa na vitendo.

Sote tunajua kwamba kazi yako ya uwakili na uanasheria ndio iliyo kufunza kuongea maneno mengi ili usaidie watuhumiwa kushinda kesi mahakamani. Kwa hilo tunakupongeza ila tunajua kabisa maneno ya mawakili huwa ni kwaajili ya kuwadanganya watu mahakamani na kumdanganya hakimu.

Sisi watanzania tunao ielewa Tanzania tunajua wewe huwezi kuwaletea watanzania mabadriko. Kabla ya kuwambia watanzania kwamba utawaletea mabadriko tunaomba uwaeleze watanzania tangu umeanza kuwa mbunge jimboni kwako Singida ni mabadriko gani uliyo walepelekea wanasingida ambayo yanafanya wakukumbuke wewe. Tunajua wazi umeanza kuwa mbunge wa singida tangia zamani.

Sote tunajua kwamba umeingiwa na Roho ya uchu wa madaraka ili uweze kuipoteza Tanzania yetu yenye amani na upendo. Na ndio sababu umekuwa ukifanya kampeni zilizo jaa jazba na maneno yenye chuki ndani yake bila furaha. Kamwe hatuwezi kukupa kura zetu eti kwasababu unachuki na mtu fulani. Hiyo huruma sahau.

Sote watanzania tunajua umeanza kuwa na chuki binafsi na viongozi wetu waliopo madarakani na waliokuwepo tangu unaanza kuwa mbunge.

Sasa sisi watanzania tunasema pamoja na kwamba unaongea maneno mengi yaliyo jaa ulaghai kura zetu hatuwezi kukupatia.

Sisi tunachojua Tanzania kwasasa ilisha anza kubadirika. Tunaye kiongozi pekee anayeweza kuiletea Tanzania mabadiriko ya kweli. Naye ni Dkt John Magufuli. Huyu ndiye kiongozi anayefanya mambo kwa vitendo.

Hatuwezi kumchagua kiongozi mwenye urafiki na mabeberu. Hivyo usitegemee kuzipata kura zetu.

Usidhani kwamba sisi watanzania sio werevu. Watanzania tunao jielewa wenye akili timamu tunao jua kumbanua mambo na kutafakari kwa kina kamwe hatuwezi kukupatia kura zetu siku ya tarehe 28 Octobar. Sote tunajua mambo makubwa yaliyofanywa na Dkt Magufuli katika awamu ya tano. Hivyo mtanzania mwenye akili timamu hawezi kukupigia kura wala kukushabikia. Tunajua wapo watanzania wachache wenye akili ndogo zisizoweza kutafakari wala kupambanua

Hivyo tunakuomba tu uwe mpole subiri tu hiyo nafasi yako ya uteuzi uliyo ahidiwa na Rais tunayempenda, Rais Mcha Mungu. Mpenda Maendeleo ya vitendo. Asiyetaka mchezo katika kazi.
 
Mmeshapata kiwewe,tuliza mpira,Lissu amekuwa mbunge kule awamu mbili,kama wananchi wangeona hafai asingechaguliwa awamu inayofuata,Inaelekea wewe unafikiri tunadanganyika kirahisi kama unavyodanganya sasa kwa maboya wenzio.
 
Tunahitaji kujikomboa ki fikra, tuwe na mifumo bora na imara, Katiba bora na sio kutegemea hisani za mtawala.Lissu ndio kiongozi sahihi kutuongoza kwa uhuru kamili wa fikra kwa taifa letu. Eti hivi sasa huduma miradi maendeleo afya,maji barabara ni hisani ya Mtawala ili hali raia wanapaswa kuhoji na kudai kadiri pato la taifa,michango nchi rafiki na jumuia za Kimataifa.
 
Huyu ni Lumumba. Mwandiko wake na mawazo yake yana muonekano wa uduvi
 
mmmh Kama wewe sio pole pole basi itakua mtu wakaribu nae au mh bashiru roho unasema hivyo, mkuu tulia kwa Sasa lisuu si wakujibiwa hoja nyepesi,mfano mzee makamba Kuna mda alizungumza kwa akili nyingi ila angalau Kuna kitu kiliwafikia jamii ,so ccm mnao watu wa kuwatumia ila hamuwatumii ,kisa mwajihita ccm mpya ,nani kakwambia wewe wapo watu wanajua mapambano na wanaijua ccm nje na ndani
 
mmmh Kama wewe sio pole pole basi itakua mtu wakaribu nae au mh bashiru roho unasema hivyo, mkuu tulia kwa Sasa lisuu si wakujibiwa hoja nyepesi,mfano mzee makamba Kuna mda alizungumza kwa akili nyingi ila angalau Kuna kitu kiliwafikia jamii ,so ccm mnao watu wa kuwatumia ila hamuwatumii ,kisa mwajihita ccm mpya ,nani kakwambia wewe wapo watu wanajua mapambano na wanaijua ccm nje na ndani
Mimi ni mtanzania wa kawaida kabisa chief. Wala hao wakina polepole unaohangaika nao sina urafiki nao. Ni mtanzania mwerevu ninaye elewa na kupambanua mambo
 
Chadema ni Saccos, chama cha mtu mmoja na genge lake unafikiri watafanya nini zaidi ya kuuza nchi . Yote Lissu asemayo, pamoja na wagombea ubunge wake ni porojo tupu.Watanzania sio wajinga aisee, mwisho wengu umefika.
 
Ngonjera nyinhiii.... Uzwazwa tu........
Tundu Lissu tunasema wapige spana baba wameshalegea kuanzia mwenyekiti mpaka mjumbe
 
Mimi ni mtanzania wa kawaida kabisa chief. Wala hao wakina polepole unaohangaika nao sina urafiki nao. Ni mtanzania mwerevu ninaye elewa na kupambanua mambo
Ok nakushukuru mkuu kwamba wajitambua so nakuomba fanya mahamuzi sahii Kura yako ni muhim kwa taifa hili ,mungu akubariki
 
Nimekua nikikusikia kwenye kampeni zako ukiongea maneno mengi sana ya kuwadanganya na kuwalaghai watanzania kwamba utawaletea mabadiriko na maneno yako kamwe hayawezi kuwa na vitendo.

Sote tunajua kwamba kazi yako ya uwakili na uwanasheria ndio iliyo kufunza kuongea maneno mengi ili usaidie watuhumiwa kushinda kesi mahakamani. Kwa hilo tunakupongeza ila tunajua kabisa maneno ya mawakili huwa ni kwaajili ya kuwadanganya watu mahakamani na kumdanganya hakimu.

Sisi watanzania tunao ielewa Tanzania vilivyo tunajua wewe huwezi kuwaletea watanzania mabadriko kama tu umeshindwa kuwapelekea wanasingida mabadiriko. Kabla ya kuwambia watanzania kwamba utawaletea mabadriko tunaomba uwaeleze watanzania tangu umeanza kuwa mbunge jimboni kwako Singida ni mabadriko gani uliyo walepelekea wanasingida ambayo yanafanya wakukumbuke. Tunajua wazi umeanza kuwa mbunge wa singida tangia zamani.

Sote tunajua kwamba umeingiwa na Roho ya uchu wa madaraka ili uweze kuipoteza Tanzania yetu yenye amani na upendo. Na ndio sababu umekuwa ukifanya kampeni zilizo jaa jazba na maneno yenye chuki ndani yake bila furaha. Kamwe hatuwezi kukupa kura zetu eti kwasababu unachuki na mtu fulani. Hiyo huruma sahau.

Sote watanzania tunajua umeanza kuwa na chuki binafsi na viongozi wetu waliopo madarakani na waliokuwepo tangu unaanza kuwa mbunge.

Sasa sisi watanzania tunasema pamoja na kwamba unaongea maneno mengi yaliyo jaa ulaghai kura zetu hatuwezi kukupatia.

Sisi tunachojua Tanzania kwasasa ilisha anza kubadirika. Tunaye kiongozi pekee anayeweza kuiletea Tanzania mabadiriko ya kweli. Naye ni Dkt John Magufuli. Huyu ndiye kiongozi anayefanya mambo kwa vitendo.

Hatuwezi kumchagua kiongozi mwenye urafiki na mabeberu. Hivyo usitegemee kuzipata kura zetu.

Usidhani kwamba sisi watanzania sio werevu. Watanzania tunao jielewa wenye akili timamu tunao jua kumbanua mambo na kutafakari kwa kina kamwe hatuwezi kukupatia kura zetu siku ya tarehe 28 Octobar. Sote tunajua mambo makubwa yaliyofanywa na Dkt Magufuli katika awamu ya tano. Hivyo mtanzania mwenye akili timamu hawezi kukupigia kura wala kukushabikia. Tunajua wapo watanzania wachache wenye akili ndogo zisizoweza kutafakari wala kupambanua

Hivyo tunakuomba tu uwe mpole subiri tu hiyo nafasi yako ya uteuzi uliyo ahidiwa na Rais tunayempenda, Rais Mcha Mungu. Mpenda Maendeleo ya vitendo. Asiyetaka mchezo katika kazi.
Labda tu uwe unalipwa au kufaidika na jiwe kwasababu una cheo au ni ndugu yako, hakuna mtu hatakiwi sasa hivi kama jiwe, amefanya maovu mengi nchi hii na damu nyingi zinalia juu yake.
 
Rudi shule ww zumbukuku
Nimekua nikikusikia kwenye kampeni zako ukiongea maneno mengi sana ya kuwadanganya na kuwalaghai watanzania kwamba utawaletea mabadiriko na maneno yako kamwe hayawezi kuwa na vitendo.

Sote tunajua kwamba kazi yako ya uwakili na uwanasheria ndio iliyo kufunza kuongea maneno mengi ili usaidie watuhumiwa kushinda kesi mahakamani. Kwa hilo tunakupongeza ila tunajua kabisa maneno ya mawakili huwa ni kwaajili ya kuwadanganya watu mahakamani na kumdanganya hakimu.

Sisi watanzania tunao ielewa Tanzania vilivyo tunajua wewe huwezi kuwaletea watanzania mabadriko kama tu umeshindwa kuwapelekea wanasingida mabadiriko. Kabla ya kuwambia watanzania kwamba utawaletea mabadriko tunaomba uwaeleze watanzania tangu umeanza kuwa mbunge jimboni kwako Singida ni mabadriko gani uliyo walepelekea wanasingida ambayo yanafanya wakukumbuke. Tunajua wazi umeanza kuwa mbunge wa singida tangia zamani.

Sote tunajua kwamba umeingiwa na Roho ya uchu wa madaraka ili uweze kuipoteza Tanzania yetu yenye amani na upendo. Na ndio sababu umekuwa ukifanya kampeni zilizo jaa jazba na maneno yenye chuki ndani yake bila furaha. Kamwe hatuwezi kukupa kura zetu eti kwasababu unachuki na mtu fulani. Hiyo huruma sahau.

Sote watanzania tunajua umeanza kuwa na chuki binafsi na viongozi wetu waliopo madarakani na waliokuwepo tangu unaanza kuwa mbunge.

Sasa sisi watanzania tunasema pamoja na kwamba unaongea maneno mengi yaliyo jaa ulaghai kura zetu hatuwezi kukupatia.

Sisi tunachojua Tanzania kwasasa ilisha anza kubadirika. Tunaye kiongozi pekee anayeweza kuiletea Tanzania mabadiriko ya kweli. Naye ni Dkt John Magufuli. Huyu ndiye kiongozi anayefanya mambo kwa vitendo.

Hatuwezi kumchagua kiongozi mwenye urafiki na mabeberu. Hivyo usitegemee kuzipata kura zetu.

Usidhani kwamba sisi watanzania sio werevu. Watanzania tunao jielewa wenye akili timamu tunao jua kumbanua mambo na kutafakari kwa kina kamwe hatuwezi kukupatia kura zetu siku ya tarehe 28 Octobar. Sote tunajua mambo makubwa yaliyofanywa na Dkt Magufuli katika awamu ya tano. Hivyo mtanzania mwenye akili timamu hawezi kukupigia kura wala kukushabikia. Tunajua wapo watanzania wachache wenye akili ndogo zisizoweza kutafakari wala kupambanua

Hivyo tunakuomba tu uwe mpole subiri tu hiyo nafasi yako ya uteuzi uliyo ahidiwa na Rais tunayempenda, Rais Mcha Mungu. Mpenda Maendeleo ya vitendo. Asiyetaka mchezo katika kazi.
 
Kwel ujinga na ushamba ni mzigo mzito
Mgombea urais kupitia chama cha demokrasia na maendeleo Tundu Lisu kwa muda mrefu amejipambanua kama mtetezi wa haki za binadamu wote bila kubagua.

Lisu amesema wazi serikali yake haitaingilia mambo yanayofanyika kitandani kwa mtu. Sasa kutokana na hukumu ya leo ya kuingilia mambo ya kitandani ya kina Delicious na Amber ruty ,Lisu jitokeze ukemee na uwatetee hao watu kwamba wameonewa na Serikali, kwa kufanya hivyo utapata kura nyingi sana za kukuwezesha kuwa rais wa Tanzania.
 
Nimekua nikikusikia kwenye kampeni zako ukiongea maneno mengi sana ya kuwadanganya na kuwalaghai watanzania kwamba utawaletea mabadiriko na maneno yako kamwe hayawezi kuwa na vitendo.

Sote tunajua kwamba kazi yako ya uwakili na uwanasheria ndio iliyo kufunza kuongea maneno mengi ili usaidie watuhumiwa kushinda kesi mahakamani. Kwa hilo tunakupongeza ila tunajua kabisa maneno ya mawakili huwa ni kwaajili ya kuwadanganya watu mahakamani na kumdanganya hakimu.

Sisi watanzania tunao ielewa Tanzania vilivyo tunajua wewe huwezi kuwaletea watanzania mabadriko kama tu umeshindwa kuwapelekea wanasingida mabadiriko. Kabla ya kuwambia watanzania kwamba utawaletea mabadriko tunaomba uwaeleze watanzania tangu umeanza kuwa mbunge jimboni kwako Singida ni mabadriko gani uliyo walepelekea wanasingida ambayo yanafanya wakukumbuke. Tunajua wazi umeanza kuwa mbunge wa singida tangia zamani.

Sote tunajua kwamba umeingiwa na Roho ya uchu wa madaraka ili uweze kuipoteza Tanzania yetu yenye amani na upendo. Na ndio sababu umekuwa ukifanya kampeni zilizo jaa jazba na maneno yenye chuki ndani yake bila furaha. Kamwe hatuwezi kukupa kura zetu eti kwasababu unachuki na mtu fulani. Hiyo huruma sahau.

Sote watanzania tunajua umeanza kuwa na chuki binafsi na viongozi wetu waliopo madarakani na waliokuwepo tangu unaanza kuwa mbunge.

Sasa sisi watanzania tunasema pamoja na kwamba unaongea maneno mengi yaliyo jaa ulaghai kura zetu hatuwezi kukupatia.

Sisi tunachojua Tanzania kwasasa ilisha anza kubadirika. Tunaye kiongozi pekee anayeweza kuiletea Tanzania mabadiriko ya kweli. Naye ni Dkt John Magufuli. Huyu ndiye kiongozi anayefanya mambo kwa vitendo.

Hatuwezi kumchagua kiongozi mwenye urafiki na mabeberu. Hivyo usitegemee kuzipata kura zetu.

Usidhani kwamba sisi watanzania sio werevu. Watanzania tunao jielewa wenye akili timamu tunao jua kumbanua mambo na kutafakari kwa kina kamwe hatuwezi kukupatia kura zetu siku ya tarehe 28 Octobar. Sote tunajua mambo makubwa yaliyofanywa na Dkt Magufuli katika awamu ya tano. Hivyo mtanzania mwenye akili timamu hawezi kukupigia kura wala kukushabikia. Tunajua wapo watanzania wachache wenye akili ndogo zisizoweza kutafakari wala kupambanua

Hivyo tunakuomba tu uwe mpole subiri tu hiyo nafasi yako ya uteuzi uliyo ahidiwa na Rais tunayempenda, Rais Mcha Mungu. Mpenda Maendeleo ya vitendo. Asiyetaka mchezo katika kazi.
Mimi sipo kwenye mipango yenu ya kitapeli
 
Jiwe amekua mbunge na waziri kwa miaka 20 ni mabadiliko yapi alileta huko kwao?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom