Barua ya wazi kwa ndugu Tundu Lissu

Barua ya wazi kwa ndugu Tundu Lissu

Status
Not open for further replies.
Mmeshapata kiwewe,tuliza mpira,Lissu amekuwa mbunge kule awamu mbili,kama wananchi wangeona hafai asingechaguliwa awamu inayofuata,Inaelekea wewe unafikiri tunadanganyika kirahisi kama unavyodanganya sasa kwa maboya wenzio.

Rai yangu Mheshimiwa sana Tundu Lisu apite
Shinyanga
Tabora
Simiyu
Singida
Mikoa hii asiiache kabisa yaani alikopita salum mwalimu nayeye akanyage tena . Yaani full kuteketeza alimokanyaga mzee baba.
Asisahau kuzungumzia
Bima ya afya
P.A.Y.E kwa wafanyakazi
Kikokotoo
HESBL KWA MIKOPO YA WANAFUNZI
PEMBEJEO KWA WAKULIMA
 
Kwa bahati mbaya Mh. Tundu Antiphas Lissu hana urafiki na viongozi wakatili, wasio na upendo, wezi, wasio na busara, wakurupukaji, wanaovunja Katiba, wasiotaka ushauri, wabinafsi, wasio na utu wala huruma kama huyu hapa chini...

View attachment 1581023
Akikujibu unitag mkuu
Maana na mimi niko chatto huku.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom