Uchaguzi 2020 Barua ya Wazi kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhusu Mwenendo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu (2020) za Mheshimiwa Tundu Lissu

Kwanza nakukanusha. Kama huna uvyama ungemuelewa lissu. Lissu halalamiki bali ni political technique ya kumattack mpinzani wako. Lazima lissu aseme mabaya ya magu ili watu wajue maana wanadanganywa sana. Kila anakopita lissu anaongekea ilani ya chama chake.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Sasa hivi ni kipindi cha kampeni, haivumiliki kuongea uongo ambao unaweza kuleta madhara makubwa kwenye umoja, amani na mshikamano wetu Kama taifa.

Tindu Antipas Lissu akataliweeeeeee
Ni uingo upi lissu kasema? Ishu ya zanzibar katoa reference kwa kuwaambia wakasome kitabu kinachoitwa "kwaheri ukoloni, kwaheri uhuru". Nawe kitafute usome afu uje useme wapi lissu kadanganya

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 

This time around ndo utajua kuwa wenye akili hawawezi vumilia upam.bavu sababu ya sheria za kibumbavu. Stay tuned!
 
Ana makando kando kibao including kuwa mshukiww wa kwanz wa wasiojilikana. Ni mtu wa kutilia shaka ktk kila angle ya uhalifu tangu ashike madaraka.
"Everyone is innocent against allegations on him//her until proven guilty beyond reasonable doubt" by Amani on Jamii forum 2020
 
Amesema ataingiza watu barabarani ilihali akijua fika njia hiyo ni njia mbaya. Akiona ameonewa, zipo njia za kufuata. Kama vipi anione, nitamshauri bureee email

Awali nilijua una shida ila sio kubwa kama nilivyofikiri. Wewe una ubavu wa kushauri nini matokeo ya urais yakishatangazwa wakati katiba yenyewe inasema hata mahakama haiwezi kutengua matokeo ya urais?
 
Ni uingo upi lissu kasema? Ishu ya zanzibar katoa reference kwa kuwaambia wakasome kitabu kinachoitwa "kwaheri ukoloni, kwaheri uhuru". Nawe kitafute usome afu uje useme wapi lissu kadanganya

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
HAKUNAGA HIYO BROU

Huwezi kutumia uovu kutetea uovu
 
Kama wamemchoka wamchukulie hatua za kisheria. Nyie uvccm cjui akili zeny mnaweka wapi

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Ni uingo upi lissu kasema? Ishu ya zanzibar katoa reference kwa kuwaambia wakasome kitabu kinachoitwa "kwaheri ukoloni, kwaheri uhuru". Nawe kitafute usome afu uje useme wapi lissu kadanganya

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Hata shetani alimjaribu Yesu kwa kutumia maandiko.
Shetani: Kama kweli wewe ni mwana wa Mungu, jitupe katika mwamba huu maana imeandikwa atakuagizia malaika wake wakuchukue mikononi mwao".

Yesu: "imeandikwa, usimjaribu bwana Mungu wako".
 
Kwa kweli kampeni zake zinapandikiza chuki,woga na kuchochea vita.ni bahati mbaya kuwa na mgombea wa namna hii.sijui taifa litafanyeje kuunganisha wananchi ambao amewatawanya kwa kiwajaza chuki zisizo na msingi.
Lissu anawapa somo watu. Mfano pale zanzibar alikuwa anapiga pindi la history kuhusu muungano. Sasa nyie na ushamba wenu mshaona hawa watu wakielimika watajawa na chuki dhidi ya mfumo huo kandamizi. Hizo sio chuki bali ni kufunguliwa ufahamu.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Nchi imeharibiwa sana hakuna utawala wa haki na sheria. Tusiwe washabiki wa dhulma; ni makosa makubwa, ni sawa kuanza kula nyama ya Binadamu, haitaishia hapo! Ukimaliza wapinzani utaanza kudhulumu ccm wenzio, kwani hatujashuhudia haya?
Nape Nauye aliwahi kunyooshewa bastola mchana kweupeee na maccm wenzake.
 
Acha uongo basi.
Jimbo la Tanga mjini, Arusha mjini, Kibamba, Ubungo, Mbeya mjini n.k yalikuja chini ya upinzani na yamepelekewa Maendeleo. So piga kimya mzee baba.

Tukusikilize wewe au mwenyekiti wa chama anaetoa vitisho kwa wapiga kura kwenye kampeni ikiwa hawatachagua ccm watajuta na maendeleo watayasikia tu? Unataka ushahidi gani tena?
 
Kamwe siwezi kutetea uovu na dhulma, nitavipinga daima.
 
Maneno anayotamka yako wazi. Huyu jamaa amejipanga kumwaga damu

Unataarifa kwamba damu yake nyingi ilimwagwa kihuni tu na wapumbavu wachache ambao bila aibu hadi leo wanasema hawajui kitu gani kilitokea? Mbaya zaidi mmoja tena mwenye dhamana ya usalama wa raia anasema wanamtafuta TAL.
 
Hakuna njia za kisheria za kupinga matokeo ya Urais acha kuandika uongo.
walokataza kuhoji matokeo mahakamani ndio watakaotuletea shida, maana wametuachia option moja tu ya lissu
 
Reactions: BAK
Point hapo ni " Uchaguzi wa huru a haki". Ikitokea umeona hujatendewa haki basi Kuna njia za kisheria za kufuata na sio kumwaga damu ya wananchi
Hiyo haki MAALIM SEIF alipewa lini tofauti na kufuta uchaguzi
 
Nani kakwambia??? Lissu anashinda kihalali uchaguzi huu kwa sababu watanzania tumemuelewa kweli na Sera zake!
Sio kuwa atashinda, hata sasa anashinda sana na njaa. Hilo sio jema kwa afya yake. Ushindi wa kura huo atasubiri Sana. Watanzania wanamrudisha, jembe na mzalendo #1 Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ili aendeleze mambo makubwa aliyoyafanya na akamilishe ndoto za watangulizi wake.
 
CCM Wamefanya kampeni miaka 5 hakuna aliyewazuia..
Acha kuwapangia wenzio cha kuongea.. Mlipotaka kumtoa uhai hamkumwaga damu?
Waliozamishwa ziwani na kuchomewa nyavu zao sio damu hiyo?
Waliotekwa, kupotezwa na kuokotwa wamekufa sio damu ni mkojo wako sio?
 
Hapa
Tundu Lissu shikilia hapo hapo baba...... imeisha hiyo!
Hapati kitu tanzania hapa, na atakae enda barabarani ajipange kuishi mapolini kama nyumbu na sio mapoli ya tanzaia kwa sababu nyumbu wetu wa Serengeti ni wastaarabu, sema ahawatumii akiri wanapo vuka MTO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…