Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndugu mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),
Ninachukua fursa hii kukupongeza wewe na timu yako kwa kazi ngumu mnayoifanya. Mnafanya kazi zenu kwa weledi na kwa mujibu wa sheria. Hongereni sana.
Kama inavyofahamika, nchi yetu hufanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kila baada ya Miaka mitano. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambayo ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.
Ndugu mwenyekiti, mwaka huu, 2020 Tanzania itafanya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Tayari kampeni za uchaguzi zimeanza kote nchini huku vyama mbalimbali vikizunguka kunadi ilani zao za uchaguzi.
Itakumbukwa kuwa lengo la kampeni hizo Ni kunadi sera za chama husika ili wananchi waweze kufanya maamuzi sahihi siku ya kupiga kura. Kampeni hizi zinatawaliwa na kanuni, sheria na taratibu pamoja na utamaduni wetu Kama watanzania. Hivyo, haitarajiwi kampeni hizi kutumika Kama sehemu ya kuwagawa Watanzania.
Hivi karibuni tumeshuhudia vitendo kadhaa vya uvunjifu wa amani ambavyo mara zote hufanywa na chama kimoja tuu, CHADEMA. Kabla ya kuanza kampeni, tulimsikia Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CHADEMA akiweka wazi kuwa atawaingiza watanzania barabarani Kama hatatangazwa mshindi. Tulishuhudia waandishi wa TBC wakifukuzwa kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA pale mbagala kwenye viwanja vya zakhiem.
Tundu Lissu akiwa jijini Mbeya aliendeleza mashambulizi kwa viongozi wa nchi kuwa nchi itawaka Moto usiozimika. Huku akijua kabisa analengo gani, anajenga hoja za kijanja kuwa atadhuriwa na kuwatumbukiza viongozi wa nchi ili wananchi wakose imani na viongozi hao.
Kubwa kuliko ni kauli yake aliyoitoa akiwa Zanzibar akisema Hayati mzee Karume alilazimishwa kusaini makubaliano ya Muungano kinyume na mapenzi yake. Aliunda mbali zaidi kuwaambia ndugu zetu wazanzibar wanachaguliwa viongozi wao na Tanganyika huku akijua fika kuwa vikao hufanyika Dodoma kwasababu ndio makao makuu ya chama cha Mapinduzi.
Kauli hizi anazitoa sio kwa bahati mbaya kwani Mheshimiwa Lissu ni wakili msomi mwenye weledi mkubwa wa masuala ya kisheria. Anafanya hivi kwa makusudi akitumia utaalamu wake wa kisheria kuwashawishi watanzania kuamini uongo ambao unaweza kupelekea uvunjifu wa amani.
Ninaomba nikiwa Kama mtanzania mzalendo ninayeipenda nchi yangu kuwa Mheshimiwa Lissu aonywe na aelekezwe kujikita kwenye kueneza sera za chama chake. Ni muhimu Mheshimiwa Lissu akumbushwe kuwa Kuna maisha baada ya Uchaguzi. Mimi na yeye tunaweza tusiwepo, Ila watanzania ambao ni ndugu, rafiki na watoto wetu wataendelea kuwepo. Hawa wanastahili kesho bora zaidi.
Ni vema Mheshimiwa Lissu akakumbushwa kuwa viongozi wa kisiasa Kama yeye ni watu wenye ushawishi kwa wafuasi wao na kuwa maneno yao yanaweza kuleta Faraja au huzuni, kilio au furaha, upendo au chuki, umoja au utengano zaidi sana kifo au maisha.
Amani Msumari
Tanga
Nakala:
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania
Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania
Katibu Mkuu - CHADEMA
Katibu Mkuu - CCM
Changanya na ndizi toke mkuu, yan utapata msosi amazingUtumbo mtupu mpk najuta kufungua huu uzi
Ugonjwa wangu hautibiki milembe bali kwenye sanduku la kura hapo 28.10.2020Katibiwe milembe
Ameitwa kwenda nyumbani kwako.Unaweza kuwa sahihi ila Mheshimiwa ndio ameshaitwa kwa kilekile nilichokilalamikia
Barua ya NEC nakala unapeleka kwa katibu wa CCM. Mkiambiwa nyie ni wehu mnaanza kubwabwajaNdugu mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),
Ninachukua fursa hii kukupongeza wewe na timu yako kwa kazi ngumu mnayoifanya. Mnafanya kazi zenu kwa weledi na kwa mujibu wa sheria. Hongereni sana.
Kama inavyofahamika, nchi yetu hufanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kila baada ya Miaka mitano. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambayo ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.
Ndugu mwenyekiti, mwaka huu, 2020 Tanzania itafanya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Tayari kampeni za uchaguzi zimeanza kote nchini huku vyama mbalimbali vikizunguka kunadi ilani zao za uchaguzi.
Itakumbukwa kuwa lengo la kampeni hizo Ni kunadi sera za chama husika ili wananchi waweze kufanya maamuzi sahihi siku ya kupiga kura. Kampeni hizi zinatawaliwa na kanuni, sheria na taratibu pamoja na utamaduni wetu Kama watanzania. Hivyo, haitarajiwi kampeni hizi kutumika Kama sehemu ya kuwagawa Watanzania.
Hivi karibuni tumeshuhudia vitendo kadhaa vya uvunjifu wa amani ambavyo mara zote hufanywa na chama kimoja tuu, CHADEMA. Kabla ya kuanza kampeni, tulimsikia Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CHADEMA akiweka wazi kuwa atawaingiza watanzania barabarani Kama hatatangazwa mshindi. Tulishuhudia waandishi wa TBC wakifukuzwa kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA pale mbagala kwenye viwanja vya zakhiem.
Tundu Lissu akiwa jijini Mbeya aliendeleza mashambulizi kwa viongozi wa nchi kuwa nchi itawaka Moto usiozimika. Huku akijua kabisa analengo gani, anajenga hoja za kijanja kuwa atadhuriwa na kuwatumbukiza viongozi wa nchi ili wananchi wakose imani na viongozi hao.
Kubwa kuliko ni kauli yake aliyoitoa akiwa Zanzibar akisema Hayati mzee Karume alilazimishwa kusaini makubaliano ya Muungano kinyume na mapenzi yake. Aliunda mbali zaidi kuwaambia ndugu zetu wazanzibar wanachaguliwa viongozi wao na Tanganyika huku akijua fika kuwa vikao hufanyika Dodoma kwasababu ndio makao makuu ya chama cha Mapinduzi.
Kauli hizi anazitoa sio kwa bahati mbaya kwani Mheshimiwa Lissu ni wakili msomi mwenye weledi mkubwa wa masuala ya kisheria. Anafanya hivi kwa makusudi akitumia utaalamu wake wa kisheria kuwashawishi watanzania kuamini uongo ambao unaweza kupelekea uvunjifu wa amani.
Ninaomba nikiwa Kama mtanzania mzalendo ninayeipenda nchi yangu kuwa Mheshimiwa Lissu aonywe na aelekezwe kujikita kwenye kueneza sera za chama chake. Ni muhimu Mheshimiwa Lissu akumbushwe kuwa Kuna maisha baada ya Uchaguzi. Mimi na yeye tunaweza tusiwepo, Ila watanzania ambao ni ndugu, rafiki na watoto wetu wataendelea kuwepo. Hawa wanastahili kesho bora zaidi.
Ni vema Mheshimiwa Lissu akakumbushwa kuwa viongozi wa kisiasa Kama yeye ni watu wenye ushawishi kwa wafuasi wao na kuwa maneno yao yanaweza kuleta Faraja au huzuni, kilio au furaha, upendo au chuki, umoja au utengano zaidi sana kifo au maisha.
Amani Msumari
Tanga
Nakala:
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania
Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania
Katibu Mkuu - CHADEMA
Katibu Mkuu - CCM
Wewe unaongelea vitu ambavyo hata havipo. Wenzio barua waliyoandika, wameikunja na kuitupa jalalani. Wakaishia kupeleka barua isemayo wawanadi wagombea wa CHADEMA tu na siyo wa ACT, eti wanawachamganya wapiga kura.Hii itajulikana huko kwenye kamati ya maadili
Na tutaendelea kuwashambulia kwa maana ukimya wetu umewafanya mkajiona mnaakili sana kuliko watanzania wote
Nisamehe bure mkuu Ila naona Kama vyote ulivyoandika kuwa ndio sifa zako au nakosea?Wewe ni mshenzi na mjinga sana, pumbavu kweli hujui unachoongea, unakotoka inaonekana hawana uwezo wa kufikiri.
TeteteteteChanganya na ndizi toke mkuu, yan utapata msosi amazing
Kuna kitu kinadhaniwa na viongozi wetu kuwa ukishakuwa Rais, usisemwe,useme wewe tuu. Hiyo unaionaje? Tunatengeneza kizazi cha aina gani?I am not biased buddy. Tundu has been so provocative and he does this intentionally
Mkuu CCM n chama tawala na ndio imepewa dhamana ya kutekeleza ilani. Anapotokea mgombea akasema kitu flani hakipo au hakijafanywa, sio dhambi kuthibitishaKuna kitu kinadhaniwa na viongozi wetu kuwa ukishakuwa Rais, usisemwe,useme wewe tuu. Hiyo unaionaje? Tunatengeneza kizazi cha aina gani?
Lissu anatakiwa ajibiwe kwenye campaign rallies za political opposers wake na siyo organs za Kiserikali.
Ili uweze kutekeleza ilani,lazima ukusanye kodi kwa wananchi wote , je ni dhambi wakihoji matumizi ya kodi yao wanayolipa? Au, tukiachie tuu chama hicho kuelezea hata yanayoonekana wazi kuwa siyo matumizi sahihi ya kodi?Mkuu CCM n chama tawala na ndio imepewa dhamana ya kutekeleza ilani. Anapotokea mgombea akasema kitu flani hakipo au hakijafanywa, sio dhambi kuthibitisha
Kuhoji ni muhimu ila inategemea wewe unatafsirije matumizi mabaya ya kodiIli uweze kutekeleza ilani,lazima ukusanye kodi kwa wananchi wote , je ni dhambi wakihoji matumizi ya kodi yao wanayolipa? Au, tukiachie tuu chama hicho kuelezea hata yanayoonekana wazi kuwa siyo matumizi sahihi ya kodi?
Tangu tujipatie Uhuru nchi hii Kikatiba tumekuwa tukichagua viongozi wetu wa Serikali za Mitaa vitongoji na vijiji kwa njia ya kuwapigia Kura. Sasa niambie kwa nini Serikaliha JPM iliendesha uchafuzi badala ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Ni nini Matokeo ya Semini Elekezi kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa JPM alipokutana na watendaji wa Mitaa, vijiji, na Kata Ikulu? Kwa mara ya kwanza katika historia ya chaguzi za nchi yetu wagombea wa vyama vya Upinzani ambavyo vipo hapa nchini Kikatiba walienguliwa wasiweze kugombea kwa hila! Je ndugu Msumari wewe ni mumini wa hila? Pia kwenye Uchaguzi huu ambao umeuandikia andiko hili wasimamizi wa uchaguzi wamendeleza Ubabe wa engua engua ya hila! Je ndugu Msumari unapenda sana hila na Ubabe? Wimbo maarufu wa Lisu ni "Uchaguzi Ulio Huru na Haki" Je ndugu Msumari wewe unafikiri Uchaguzi huru na haki ndo huondoa amani ya nchi? Mkuki kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu! Kwa Katiba hii tuliyonayo, Tume inayo mamlaka ya kumtangaza Lisu kuwa mshindi wa Urais kwa kupata kura mbili dhidi ya JPM ambaye amepata kura milioni 18 njia halali ya kupinga maamzi hayo ya Tume ya Uchaguzi ingekuwa kwenda Mahakamani, lakini Katiba yetu haziruhusu kupinga maamuzi ya Tume ya Uchaguzi Mahakamani! Je MaCCM mungekuwa tayari kuyapokea matokeo hayo ili kutunza amani ya nchi? Ndugu Msumari wambie MaCCM wenzako Uchaguzi wa kweli ni Uchaguzi Ulio Huru na Haki. Ndugu Msumari na MaCCM wenzako nawashauri kwamba amani haiwezi kudumishwa iwapo upande mwingine unaendekeza ghiliba na hila! Na nyinyi mkitaka kuitawala Tanzania milele kama ambavyo mmekuwa mkijinasibu, futeni mfumo wa vyama vingi. Kwani Uhuru na Haki unaotakiwa kuzingatiwa katika mfumo wa vyama vingi kwenu MaCCM mnaona ni kuvunja amani ya nchi.Ndugu mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),
Ninachukua fursa hii kukupongeza wewe na timu yako kwa kazi ngumu mnayoifanya. Mnafanya kazi zenu kwa weledi na kwa mujibu wa sheria. Hongereni sana.
Kama inavyofahamika, nchi yetu hufanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kila baada ya Miaka mitano. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambayo ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.
Ndugu mwenyekiti, mwaka huu, 2020 Tanzania itafanya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Tayari kampeni za uchaguzi zimeanza kote nchini huku vyama mbalimbali vikizunguka kunadi ilani zao za uchaguzi.
Itakumbukwa kuwa lengo la kampeni hizo Ni kunadi sera za chama husika ili wananchi waweze kufanya maamuzi sahihi siku ya kupiga kura. Kampeni hizi zinatawaliwa na kanuni, sheria na taratibu pamoja na utamaduni wetu Kama watanzania. Hivyo, haitarajiwi kampeni hizi kutumika Kama sehemu ya kuwagawa Watanzania.
Hivi karibuni tumeshuhudia vitendo kadhaa vya uvunjifu wa amani ambavyo mara zote hufanywa na chama kimoja tuu, CHADEMA. Kabla ya kuanza kampeni, tulimsikia Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CHADEMA akiweka wazi kuwa atawaingiza watanzania barabarani Kama hatatangazwa mshindi. Tulishuhudia waandishi wa TBC wakifukuzwa kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA pale mbagala kwenye viwanja vya zakhiem.
Tundu Lissu akiwa jijini Mbeya aliendeleza mashambulizi kwa viongozi wa nchi kuwa nchi itawaka Moto usiozimika. Huku akijua kabisa analengo gani, anajenga hoja za kijanja kuwa atadhuriwa na kuwatumbukiza viongozi wa nchi ili wananchi wakose imani na viongozi hao.
Kubwa kuliko ni kauli yake aliyoitoa akiwa Zanzibar akisema Hayati mzee Karume alilazimishwa kusaini makubaliano ya Muungano kinyume na mapenzi yake. Aliunda mbali zaidi kuwaambia ndugu zetu wazanzibar wanachaguliwa viongozi wao na Tanganyika huku akijua fika kuwa vikao hufanyika Dodoma kwasababu ndio makao makuu ya chama cha Mapinduzi.
Kauli hizi anazitoa sio kwa bahati mbaya kwani Mheshimiwa Lissu ni wakili msomi mwenye weledi mkubwa wa masuala ya kisheria. Anafanya hivi kwa makusudi akitumia utaalamu wake wa kisheria kuwashawishi watanzania kuamini uongo ambao unaweza kupelekea uvunjifu wa amani.
Ninaomba nikiwa Kama mtanzania mzalendo ninayeipenda nchi yangu kuwa Mheshimiwa Lissu aonywe na aelekezwe kujikita kwenye kueneza sera za chama chake. Ni muhimu Mheshimiwa Lissu akumbushwe kuwa Kuna maisha baada ya Uchaguzi. Mimi na yeye tunaweza tusiwepo, Ila watanzania ambao ni ndugu, rafiki na watoto wetu wataendelea kuwepo. Hawa wanastahili kesho bora zaidi.
Ni vema Mheshimiwa Lissu akakumbushwa kuwa viongozi wa kisiasa Kama yeye ni watu wenye ushawishi kwa wafuasi wao na kuwa maneno yao yanaweza kuleta Faraja au huzuni, kilio au furaha, upendo au chuki, umoja au utengano zaidi sana kifo au maisha.
Amani Msumari
Tanga
Nakala:
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania
Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania
Katibu Mkuu - CHADEMA
Katibu Mkuu - CCM
Tangu tujipatie Uhuru nchi hii Kikatiba tumekuwa tukichagua viongozi wetu wa Serikali za Mitaa vitongoji na vijiji kwa njia ya kuwapigia Kura. Sasa niambie kwa nini Serikaliha JPM iliendesha uchafuzi badala ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Ni nini Matokeo ya Semini Elekezi kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa JPM alipokutana na watendaji wa Mitaa, vijiji, na Kata Ikulu? Kwa mara ya kwanza katika historia ya chaguzi za nchi yetu wagombea wa vyama vya Upinzani ambavyo vipo hapa nchini Kikatiba walienguliwa wasiweze kugombea kwa hila! Je ndugu Msumari wewe ni mumini wa hila? Pia kwenye Uchaguzi huu ambao umeuandikia andiko hili wasimamizi wa uchaguzi wamendeleza Ubabe wa engua engua ya hila! Je ndugu Msumari unapenda sana hila na Ubabe? Wimbo maarufu wa Lisu ni "Uchaguzi Ulio Huru na Haki" Je ndugu Msumari wewe unafikiri Uchaguzi huru na haki ndo huondoa amani ya nchi? Mkuki kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu! Kwa Katiba hii tuliyonayo, Tume inayo mamlaka ya kumtangaza Lisu kuwa mshindi wa Urais kwa kupata kura mbili dhidi ya JPM ambaye amepata kura milioni 18 njia halali ya kupinga maamzi hayo ya Tume ya Uchaguzi ingekuwa kwenda Mahakamani, lakini Katiba yetu haziruhusu kupinga maamuzi ya Tume ya Uchaguzi Mahakamani! Je MaCCM mungekuwa tayari kuyapokea matokeo hayo ili kutunza amani ya nchi? Ndugu Msumari wambie MaCCM wenzako Uchaguzi wa kweli ni Uchaguzi Ulio Huru na Haki. Ndugu Msumari na MaCCM wenzako nawashauri kwamba amani haiwezi kudumishwa iwapo upande mwingine unaendekeza ghiliba na hila! Na nyinyi mkitaka kuitawala Tanzania milele kama ambavyo mmekuwa mkijinasibu, futeni mfumo wa vyama vingi. Kwani Uhuru na Haki unaotakiwa kuzingatiwa katika mfumo wa vyama vingi kwenu MaCCM mnaona ni kuvunja amani ya nchi.Ndugu mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),
Ninachukua fursa hii kukupongeza wewe na timu yako kwa kazi ngumu mnayoifanya. Mnafanya kazi zenu kwa weledi na kwa mujibu wa sheria. Hongereni sana.
Kama inavyofahamika, nchi yetu hufanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kila baada ya Miaka mitano. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambayo ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.
Ndugu mwenyekiti, mwaka huu, 2020 Tanzania itafanya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Tayari kampeni za uchaguzi zimeanza kote nchini huku vyama mbalimbali vikizunguka kunadi ilani zao za uchaguzi.
Itakumbukwa kuwa lengo la kampeni hizo Ni kunadi sera za chama husika ili wananchi waweze kufanya maamuzi sahihi siku ya kupiga kura. Kampeni hizi zinatawaliwa na kanuni, sheria na taratibu pamoja na utamaduni wetu Kama watanzania. Hivyo, haitarajiwi kampeni hizi kutumika Kama sehemu ya kuwagawa Watanzania.
Hivi karibuni tumeshuhudia vitendo kadhaa vya uvunjifu wa amani ambavyo mara zote hufanywa na chama kimoja tuu, CHADEMA. Kabla ya kuanza kampeni, tulimsikia Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CHADEMA akiweka wazi kuwa atawaingiza watanzania barabarani Kama hatatangazwa mshindi. Tulishuhudia waandishi wa TBC wakifukuzwa kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA pale mbagala kwenye viwanja vya zakhiem.
Tundu Lissu akiwa jijini Mbeya aliendeleza mashambulizi kwa viongozi wa nchi kuwa nchi itawaka Moto usiozimika. Huku akijua kabisa analengo gani, anajenga hoja za kijanja kuwa atadhuriwa na kuwatumbukiza viongozi wa nchi ili wananchi wakose imani na viongozi hao.
Kubwa kuliko ni kauli yake aliyoitoa akiwa Zanzibar akisema Hayati mzee Karume alilazimishwa kusaini makubaliano ya Muungano kinyume na mapenzi yake. Aliunda mbali zaidi kuwaambia ndugu zetu wazanzibar wanachaguliwa viongozi wao na Tanganyika huku akijua fika kuwa vikao hufanyika Dodoma kwasababu ndio makao makuu ya chama cha Mapinduzi.
Kauli hizi anazitoa sio kwa bahati mbaya kwani Mheshimiwa Lissu ni wakili msomi mwenye weledi mkubwa wa masuala ya kisheria. Anafanya hivi kwa makusudi akitumia utaalamu wake wa kisheria kuwashawishi watanzania kuamini uongo ambao unaweza kupelekea uvunjifu wa amani.
Ninaomba nikiwa Kama mtanzania mzalendo ninayeipenda nchi yangu kuwa Mheshimiwa Lissu aonywe na aelekezwe kujikita kwenye kueneza sera za chama chake. Ni muhimu Mheshimiwa Lissu akumbushwe kuwa Kuna maisha baada ya Uchaguzi. Mimi na yeye tunaweza tusiwepo, Ila watanzania ambao ni ndugu, rafiki na watoto wetu wataendelea kuwepo. Hawa wanastahili kesho bora zaidi.
Ni vema Mheshimiwa Lissu akakumbushwa kuwa viongozi wa kisiasa Kama yeye ni watu wenye ushawishi kwa wafuasi wao na kuwa maneno yao yanaweza kuleta Faraja au huzuni, kilio au furaha, upendo au chuki, umoja au utengano zaidi sana kifo au maisha.
Amani Msumari
Tanga
Nakala:
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania
Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania
Katibu Mkuu - CHADEMA
Katibu Mkuu - CCM
Huna ujualo,labda ww ndio mkiti wa hiyo kamati ya maadili.mda wa kutishana ulishapita.Kamati haiendi kumhoji Lissu bali inaenda kuhojiwa na Lissu.Haya mambo Yana majibu ya kisheria na siyo huu ugoro wako na ushabiki maandazi.Hii itajulikana huko kwenye kamati ya maadili