Uchaguzi 2020 Barua ya Wazi kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhusu Mwenendo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu (2020) za Mheshimiwa Tundu Lissu

Kuna kitu Umesahau sijui nikukumbushe anyway , Umesahau hujaacha namba zako za simu
Amesema Kama ataibiwa kura ataitisha maandamano ya amani.sasa haraka za kuja huku umevaa soksi juu ya viatu kunatoka wapi.eti nakala kwa igp wa polisi ama kweli akili Ni nywele.
 
Ni yeye, wamewashika pabaya
 
Mkuu shida ni kuwabtunataka amani na unoja wetu udumu na kuwa hatutamvumiliaa yeyote anauetaka kupoka vitu hivyo
 
Na cha kushangaza hata mpira wa miguu watu wanakata rufaa lakini si matokeo ya Uchaguzi wa Urais!

Hakuna njia za kisheria za kupinga matokeo ya Urais acha kuandika uongo.
 
Ndio na kwa hakika hilo wanalijua vizuri tu! Huu mwingine ni ubishi kama wa Magu.
Hilo la kura za vijijini umelisema wewe, mimi nilikuletea na kuongezea Hilo la kura za bure ukidhani vijijini hawajielewi. So usinilishe maneno. Baki mwenyewe na dhambi yako ya ubaguzi
 
Barabaranibtutaingia kwaajili ya Usafiri, mazoezi na kutembea lakini so kwaajili ya vurugu.
 
Haya ni Maadili ya Uchaguzi wa Urais, Wabunge na Madiwani, 2020. Msisitizo kwa kinachofanyika kanda ya Ziwa.

Hiyo ni aya 2.1 (k) ikieleza wajibu wa Chama cha Siasa. Kwenda kinyume na maadili haya ni kosa linaloweza kufikishwa katika kamati ya Maadili na kutolewa uamuzi ikiwa ni pamoja na Chama kilichokosea kuzuiwa kufanya kampeni.


ADHABU ZINAZOWEZA KUTOLEWA NA KAMATI ZA MAADILI




Uwezo wa mlalamikaji au mlalamikiwa kufungua kesi mahakamani ikiwa hajaridhika na uamuzi wa Kamati ya Maadili (hii ni pamoja na nafasi ya Urais)



Uamuzi wa Jumla kuhusu chama kutotekeleza maadili ya Uchaguzi
 
Wakuu, Hivi Jukwaa la Siasa limeondolewa? Maana silioni kila napolitafuta
 
Hapana hapana hapana Mara tatu
 
Hapana hapana hapana Mara tatu

Nilichokuambia sujakuambia kwa bahati mbaya, nimekuambia nikiwa na akili zangu timamu. Ndio maana huna maelezo kwanini mbali ya kudhihirika marais wetu kuwa sio waadilifu, waendelee kuwa wachaguzi na wasimamizi wa tume ya uchaguzi? Kinachofanya tume isibadilishwe muundo wake, ni kwasababu ya marais wetu wasio waadilifu. Huu ukondoo uitwao amani, ndio pekee unafanya hiyo tume kuendelea kuundwa kwa utashi wa marais wahuni, na wenye uchu wa madaraka.
 
Sema yote lakini uadilifu wa Rais Magufuli sio wa kutiliwa shaka hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…