Uchaguzi 2020 Barua ya Wazi kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhusu Mwenendo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu (2020) za Mheshimiwa Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Barua ya Wazi kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhusu Mwenendo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu (2020) za Mheshimiwa Tundu Lissu

Ndugu mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),

Ninachukua fursa hii kukupongeza wewe na timu yako kwa kazi ngumu mnayoifanya. Mnafanya kazi zenu kwa weledi na kwa mujibu wa sheria. Hongereni sana.

Kama inavyofahamika, nchi yetu hufanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kila baada ya Miaka mitano. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambayo ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.

Ndugu mwenyekiti, mwaka huu, 2020 Tanzania itafanya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Tayari kampeni za uchaguzi zimeanza kote nchini huku vyama mbalimbali vikizunguka kunadi ilani zao za uchaguzi.

Itakumbukwa kuwa lengo la kampeni hizo Ni kunadi sera za chama husika ili wananchi waweze kufanya maamuzi sahihi siku ya kupiga kura. Kampeni hizi zinatawaliwa na kanuni, sheria na taratibu pamoja na utamaduni wetu Kama watanzania. Hivyo, haitarajiwi kampeni hizi kutumika Kama sehemu ya kuwagawa Watanzania.

Hivi karibuni tumeshuhudia vitendo kadhaa vya uvunjifu wa amani ambavyo mara zote hufanywa na chama kimoja tuu, CHADEMA. Kabla ya kuanza kampeni, tulimsikia Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CHADEMA akiweka wazi kuwa atawaingiza watanzania barabarani Kama hatatangazwa mshindi. Tuliahihudia waandishi wa TBC wakifukuzwa kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA pale mbagala kwenye viwanja vya zakhiem.

Tundu Lissu akiwa jijini Mbeya aliendeleza mashambulizi kwa viongozi wa nchi kuwa itawaka Moto usiozimika. Huku akijua kabisa analengo gani, anaweza hoja za kuwa atadhuriwa huku akijenga hoja "kijanja" na kuwatumbukiza viongozi wa nchi ili wananchi wakoae imani na viongozi hao.

Kubwa kuliko Ni kauli yake aliyoyafanya Zanzibar akisema Hayati mzee Karume alilazimishwa kusaini makubaliano ya Muungano kinyume na mapenzi yake. Aliunda mbali zaidi kuwaambia ndugu zetu wazanzibar wanachaguliwa viongozi wao na Tanganyika huku akijua fika kuwa vikao hufanyika Dodoma kwasababu ndio makao makuu ya chama cha Mapinduzi.

Kauli hizi anazitoa sio kwa bahati mbaya kwani Mheshimiwa Lissu ni wakili msomi mwenye weledi mkubwa wa masuala ya kisheria. Anafanya hivi kwa makusudi akitumia utaalamu wake wa kisheria kuwashawishi watanzania kuamini uongo ambao unaweza kupelekea uvunjifu wa amani.

Ninaomba nikiwa Kama mtanzania mzalendo ninayeipenda nchi yangu kuwa Mheshimiwa Lissu aonywe na aelekezwe kujikita kwenye kueneza sera za chama chake. Ni muhimu Mheshimiwa Lissu akumbushwe kuwa Kuna maisha baada ya Uchaguzi. Mimi na yeye tunaweza tusiwepo, Ila watanzania amvao Ni ndugu, rafiki na watoto wetu wayendelea kuwepo. Hawa wanastahili kesho bora zaidi.

Ni vema Mheshimiwa Lissu akakumbushwa kuwa viongozi wa kisiasa Kama yeye ni watu wenye ushawishi kwa wafuasi wao na kuwa maneno yao yanaweza kuleta Faraja au huzuni, kilio au furaha, upendo au chuki, umoja au utengano zaidi sana kifo au maisha.

Amani Msumari
Tanga

Nakala:
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania
Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania
Katibu Mkuu - CHADEMA
Katibu Mkuu - CCM
Ccm hamkubaliki mnatawala kimabavu tu ona kila mtu anawakataa kwanini mnalazimisha mambo?
 
Ingefaa angeanza kuonywa yule mbaguzi na wale wote waliobambikia wenzao kesi nk huku wenye dhamana wakiwa kimya
Kodi tutoe wote eti tunyimwe maendeleo kisa tumetumia haki yetu ya kikatiba,huu ubaguzi na ufulishi mbona haujauandikia barua ya wazi?
Lisu kabainisha kile wazanzibari wanataka ambacho ni muungano wa hiari waendeleze nchi yao
Tatizo mkienda bungeni hamjengi hoja Bali mnaenda kupinga kila kitu na kususia hata vikao vya bajeti. Maendeleo yanapatikana email kwa mtindo huo?

Mnawaambia nchi wahisani wasitoe mkopo achilia mbali misaada. Magufuli amewaombea kura wagombea wa chama chake ili afanye nao kazi vizuri.
 
Nyie ndo nmeambiwa Na bashiru mje kujibu hoja?
 
Ccm hamkubaliki mnatawala kimabavu tu ona kila mtu anawakataa kwanini mnalazimisha mambo?
Nani anayetukataa? Unaishi nchi gani jombii? We huoni nchi ilivyotqmalaki? Nchi yote ni ya kijani
 
Maneno anayotamka yako wazi. Huyu jamaa amejipanga kumwaga damu
Wewe ni takataka. Wenye vyombo vyote na kila nyenzo na uwezo wa kuchambua mambo wapo kimya,ila wewe "mchambuzi wa usalama" feki ndio umeyaona hayo.
Damu pekee itakayomwagika ni yako unayoimwaga kila mwezi kwa kwenda anga za juu kama NASA.
 
Sasa hali mkijua hilo, mlitakiwa aidha kulishughulikia kablanya kuingia kwenye uchaguzi au kukubaliana nalo.
Hatahivyo, Kama tume sio huru, hao wabunge wa upinzani na kura 6M zilitoka wapi?

Kura milioni sita zilikuwa kabla ya Magufuli, na hata hizo zilipatikana kwa kuuza roho. Hakuna anayekubaliana na hilo, ila kulikuwa na katiba mpya ambayo ilitaka matokeo vya urais yahojiwe mahakamani, na rais huyu aliigomea katiba mpya ili aweze kuchezea chaguzi za nchi hii. Hivyo likitokea la kutokea rais huyu ndio muhusika namba moja.
 
Nani anayetukataa? Unaishi nchi gani jombii? We huoni nchi ilivyotqmalaki? Nchi yote ni ya kijani
Huu ujinga wa kusapoti ushenzi wa CCM kwa miaka 60 ni wasiokuwa na akili tu wanaweza kusapoti mambo haya.
 
Ndugu mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),

Ninachukua fursa hii kukupongeza wewe na timu yako kwa kazi ngumu mnayoifanya. Mnafanya kazi zenu kwa weledi na kwa mujibu wa sheria. Hongereni sana.

Kama inavyofahamika, nchi yetu hufanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kila baada ya Miaka mitano. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambayo ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.

Ndugu mwenyekiti, mwaka huu, 2020 Tanzania itafanya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Tayari kampeni za uchaguzi zimeanza kote nchini huku vyama mbalimbali vikizunguka kunadi ilani zao za uchaguzi.

Itakumbukwa kuwa lengo la kampeni hizo Ni kunadi sera za chama husika ili wananchi waweze kufanya maamuzi sahihi siku ya kupiga kura. Kampeni hizi zinatawaliwa na kanuni, sheria na taratibu pamoja na utamaduni wetu Kama watanzania. Hivyo, haitarajiwi kampeni hizi kutumika Kama sehemu ya kuwagawa Watanzania.

Hivi karibuni tumeshuhudia vitendo kadhaa vya uvunjifu wa amani ambavyo mara zote hufanywa na chama kimoja tuu, CHADEMA. Kabla ya kuanza kampeni, tulimsikia Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CHADEMA akiweka wazi kuwa atawaingiza watanzania barabarani Kama hatatangazwa mshindi. Tuliahihudia waandishi wa TBC wakifukuzwa kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA pale mbagala kwenye viwanja vya zakhiem.

Tundu Lissu akiwa jijini Mbeya aliendeleza mashambulizi kwa viongozi wa nchi kuwa itawaka Moto usiozimika. Huku akijua kabisa analengo gani, anaweza hoja za kuwa atadhuriwa huku akijenga hoja "kijanja" na kuwatumbukiza viongozi wa nchi ili wananchi wakoae imani na viongozi hao.

Kubwa kuliko Ni kauli yake aliyoyafanya Zanzibar akisema Hayati mzee Karume alilazimishwa kusaini makubaliano ya Muungano kinyume na mapenzi yake. Aliunda mbali zaidi kuwaambia ndugu zetu wazanzibar wanachaguliwa viongozi wao na Tanganyika huku akijua fika kuwa vikao hufanyika Dodoma kwasababu ndio makao makuu ya chama cha Mapinduzi.

Kauli hizi anazitoa sio kwa bahati mbaya kwani Mheshimiwa Lissu ni wakili msomi mwenye weledi mkubwa wa masuala ya kisheria. Anafanya hivi kwa makusudi akitumia utaalamu wake wa kisheria kuwashawishi watanzania kuamini uongo ambao unaweza kupelekea uvunjifu wa amani.

Ninaomba nikiwa Kama mtanzania mzalendo ninayeipenda nchi yangu kuwa Mheshimiwa Lissu aonywe na aelekezwe kujikita kwenye kueneza sera za chama chake. Ni muhimu Mheshimiwa Lissu akumbushwe kuwa Kuna maisha baada ya Uchaguzi. Mimi na yeye tunaweza tusiwepo, Ila watanzania amvao Ni ndugu, rafiki na watoto wetu wayendelea kuwepo. Hawa wanastahili kesho bora zaidi.

Ni vema Mheshimiwa Lissu akakumbushwa kuwa viongozi wa kisiasa Kama yeye ni watu wenye ushawishi kwa wafuasi wao na kuwa maneno yao yanaweza kuleta Faraja au huzuni, kilio au furaha, upendo au chuki, umoja au utengano zaidi sana kifo au maisha.

Amani Msumari
Tanga

Nakala:
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania
Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania
Katibu Mkuu - CHADEMA
Katibu Mkuu - CCM

Unajua nini?

Wewe ni "MJINGA" kama "WAJINGA" wengine wote hapo Tanga....

Unachotakiwa ni kuelimishwa ili kuuondoa "UJINGA" wako huo...

Unaweza kudhani nimekutukana, HAPANA, sijakutukana bali nimekupachika sifa (attribute) unayostahili....

Hebu msikilize "MJINGA" mwingine huyu hapa 👇 👇👇


Sasa kwa kuwa mna kiongozi kama huyu anayedhani watu wote ni "WAJINGA" mithili ya yeye alivyo, wewe utawezaje kuwa mwerevu?

Kwanini usiandike kukosoa mambo kama haya ndugu badala yake unageuza geuza maneno ya Tundu Lissu ili mradi uridhishe "UJINGA" wako ili uandike?

Msikilize mwenyekiti wako asivyotambua hata nafasi yake ya kiuongozi....

Hebu kama una akili kweli, sema kwa sauti kubwa kabisa kama hivi ndivyo kweli John Pombe Magufuli alivyopaswa kumjibu mwananchi huyu?...

Maana ya jibu la huyu mzee wenu kilaza wa uongozi ni moja tu....

Kwamba, wananchi wa eneo hili kuanzia siku hiyo, kodi zao zote waanze kulipa kwa Bwege ili apate fedha za kujengea stendi, au siyo?

Ulivyo mjinga unaweza kutia neno kutetea UJINGA huu wa kiongozi wenu....

Pole zako, Kwa heri...
 
Kura milioni sita zilikuwa kabla ya Magufuli, na hata hizo zilipatikana kwa kuuza roho. Hakuna anayekubaliana na hilo, ila kulikuwa na katiba mpya ambayo ilitaka matokeo vya urais yahojiwe mahakamani, na rais huyu aliigomea katiba mpya ili aweze kuchezea chaguzi za nchi hii. Hivyo likitokea la kutokea rais huyu ndio muhusika namba moja.
Tindo unaniangusha kamanda wangu. Rais Magufuli alikuwa bado hajawa Rais kipindi cha mchakato wa katiba mpya.

Kama haitoshi, wapinzani ndio waliokataa rasimu ya katiba mpya. Kwaulize wao.
 
Mgombea wa CCM anapotishia kuwanyima wananchi maendeleo warakapochagua wapinzani unaona ni siasa safi!!

Mgombea wa CCM anapokatisha masomo wanafunzi ili wakasikilize wasichoweza kujibia mitihani unaona sahihi na hukisemi!

Mgombea wa CCM anapohutubia Kisukuma Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Geita unaona sawa na husemi!

Wewe ni mwanaCCM unatakiwa kuwaeleza wanaCCM wenzio kwenye platform yenu.
Hawezi kuona hili
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ndugu mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),

Ninachukua fursa hii kukupongeza wewe na timu yako kwa kazi ngumu mnayoifanya. Mnafanya kazi zenu kwa weledi na kwa mujibu wa sheria. Hongereni sana.

Kama inavyofahamika, nchi yetu hufanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kila baada ya Miaka mitano. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambayo ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.

Ndugu mwenyekiti, mwaka huu, 2020 Tanzania itafanya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Tayari kampeni za uchaguzi zimeanza kote nchini huku vyama mbalimbali vikizunguka kunadi ilani zao za uchaguzi.

Itakumbukwa kuwa lengo la kampeni hizo Ni kunadi sera za chama husika ili wananchi waweze kufanya maamuzi sahihi siku ya kupiga kura. Kampeni hizi zinatawaliwa na kanuni, sheria na taratibu pamoja na utamaduni wetu Kama watanzania. Hivyo, haitarajiwi kampeni hizi kutumika Kama sehemu ya kuwagawa Watanzania.

Hivi karibuni tumeshuhudia vitendo kadhaa vya uvunjifu wa amani ambavyo mara zote hufanywa na chama kimoja tuu, CHADEMA. Kabla ya kuanza kampeni, tulimsikia Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CHADEMA akiweka wazi kuwa atawaingiza watanzania barabarani Kama hatatangazwa mshindi. Tuliahihudia waandishi wa TBC wakifukuzwa kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA pale mbagala kwenye viwanja vya zakhiem.

Tundu Lissu akiwa jijini Mbeya aliendeleza mashambulizi kwa viongozi wa nchi kuwa itawaka Moto usiozimika. Huku akijua kabisa analengo gani, anaweza hoja za kuwa atadhuriwa huku akijenga hoja "kijanja" na kuwatumbukiza viongozi wa nchi ili wananchi wakoae imani na viongozi hao.

Kubwa kuliko Ni kauli yake aliyoyafanya Zanzibar akisema Hayati mzee Karume alilazimishwa kusaini makubaliano ya Muungano kinyume na mapenzi yake. Aliunda mbali zaidi kuwaambia ndugu zetu wazanzibar wanachaguliwa viongozi wao na Tanganyika huku akijua fika kuwa vikao hufanyika Dodoma kwasababu ndio makao makuu ya chama cha Mapinduzi.

Kauli hizi anazitoa sio kwa bahati mbaya kwani Mheshimiwa Lissu ni wakili msomi mwenye weledi mkubwa wa masuala ya kisheria. Anafanya hivi kwa makusudi akitumia utaalamu wake wa kisheria kuwashawishi watanzania kuamini uongo ambao unaweza kupelekea uvunjifu wa amani.

Ninaomba nikiwa Kama mtanzania mzalendo ninayeipenda nchi yangu kuwa Mheshimiwa Lissu aonywe na aelekezwe kujikita kwenye kueneza sera za chama chake. Ni muhimu Mheshimiwa Lissu akumbushwe kuwa Kuna maisha baada ya Uchaguzi. Mimi na yeye tunaweza tusiwepo, Ila watanzania amvao Ni ndugu, rafiki na watoto wetu wayendelea kuwepo. Hawa wanastahili kesho bora zaidi.

Ni vema Mheshimiwa Lissu akakumbushwa kuwa viongozi wa kisiasa Kama yeye ni watu wenye ushawishi kwa wafuasi wao na kuwa maneno yao yanaweza kuleta Faraja au huzuni, kilio au furaha, upendo au chuki, umoja au utengano zaidi sana kifo au maisha.

Amani Msumari
Tanga

Nakala:
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania
Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania
Katibu Mkuu - CHADEMA
Katibu Mkuu - CCM
we jamaa una lako jambo , mosi lissu alisema anataka uchaguzi huru na kama akishinda mkamtangaza mwingine bila haki ataingiza watu barabarani ,
mbili, tume ulioiandikia paia inatakiwa tenda haki , maana wana dhamana kubwa mfano wagombea wa upinzani wengi wameenguliwa na rufaa zipo kwao itakua busara kuruhusu wagombea wote bila masharti na hii itawaongezea heshima tukufu ,
tatu , mbona wakati jpm akimnanga lissu kwamba atampa kazi ndogo hukusema , au hukuona kama ni zalau kwa mgombea mwenza,
nne, kila mgombea ana maono yake pale atakpo chaguliwa nini akifanye kwa maslahi ya taifa so huwezi lazimisha mawazo ya mgomea mmoja yawe sawa na ya wengine,
mwisho kampeni ni vita kila mmoja anaangalia anatoka vipi na anapeleka ushawishi wake vipi so andiko lako lako ni jepesi , badala ya kulalamika tume toa mawazo lipi au ni hoja gani wamjibu but sio kutafuta uhuruma nyuma yakibodi , zipo hoja nyingi za kumjibu lissu za kuhusu muungano na vilele wenda pia naye zipo hoja nyingi za kujitetea kwa alicho kisema kuhusu muungano,
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Bora mbowe angempitisha tu nyalandu, tulimbeza tu bure mbowe wa watu
 
Unajua nini?

Wewe ni "MJINGA" kama "WAJINGA" wengine wote hapo Tanga....

Unachotakiwa ni kuelimishwa ili kuuondoa "UJINGA" wako huo...

Unaweza kudhani nimekutukana, HAPANA, sijakutukana bali nimekupachika sifa (attribute) unayostahili....

Hebu msikilize "MJINGA" mwingine huyu hapa 👇 👇👇
View attachment 1563427

Sasa kwa kuwa mna kiongozi kama huyu anayedhani watu wote ni "WAJINGA" mithili ya yeye alivyo, wewe utawezaje kuwa mwerevu?

Kwanini usiandike kukosoa mambo kama haya ndugu badala yake unageuza geuza maneno ya Tundu Lissu ili mradi uridhishe "UJINGA" wako ili uandike?

Msikilize mwenyekiti wako asivyotambua hata nafasi yake ya kiuongozi....

Hebu kama una akili kweli, sema kwa sauti kubwa kabisa kama hivi ndivyo kweli John Pombe Magufuli alivyopaswa kumjibu mwananchi huyu?...

Maana ya jibu la huyu mzee wenu kilaza wa uongozi ni moja tu....

Kwamba, wananchi wa eneo hili kuanzia siku hiyo, kodi zao zote waanze kulipa kwa Bwege ili apate fedha za kujengea stendi, au siyo?

Ulivyo mjinga unaweza kutia neno kutetea UJINGA huu wa kiongozi wenu....

Pole zako, Kwa heri...
Ndugu yangu Kituturu, pole Sana.

Unajua inawezekana kabisa kuujua uwezo wa mtu kupitia yale anayoandika. Kama ungekuwa unajitahidi, Basi usingetuma hiyo clip ukilalamika. Ni Kama umejivua nguo mwenyewe.

Hivi nikikuuliza ujimbe alioutoa Rais Magufuli hapo unashida gani?

Ngoja nikudadavulie kwa ufupi (in a nutshell)

Rais Magufuli kasema stand iko ndani ya uwezo wa mbunge na madiwani - Hapo kakosea wapi?
Rais Magufuli kasema mlikosea kuchagua, mngechagua mbunge ambaye nikimtuma anatekeleza, akikataa naweza hata kumfukuza kwenye chama - Hapo kakosea wapi?
Rais Magufuli kasema mwaka huu ninmwaka wa uchaguzi, msikosee tena kuchagua - Hapo kakosea wapi?

CCM hoyeeeeeeeeee!
 
Back
Top Bottom