Uchaguzi 2020 Barua ya Wazi kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhusu Mwenendo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu (2020) za Mheshimiwa Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Barua ya Wazi kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhusu Mwenendo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu (2020) za Mheshimiwa Tundu Lissu

Baada ya 28/10/2020 utamuonea huruma tu sana sana atakimbilia Ubelgiji na kukuacha wewe unapata kipigo cha mbwa koko!!
Tundu Lissu anakwea pipa anaenda kusikilizia Ubelgiji huku anakunywa wine taratiiibu na mamsapu wake
 
Ndugu mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),

Ninachukua fursa hii kukupongeza wewe na timu yako kwa kazi ngumu mnayoifanya. Mnafanya kazi zenu kwa weledi na kwa mujibu wa sheria. Hongereni sana.

Kama inavyofahamika, nchi yetu hufanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kila baada ya Miaka mitano. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambayo ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.

Ndugu mwenyekiti, mwaka huu, 2020 Tanzania itafanya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Tayari kampeni za uchaguzi zimeanza kote nchini huku vyama mbalimbali vikizunguka kunadi ilani zao za uchaguzi.

Itakumbukwa kuwa lengo la kampeni hizo Ni kunadi sera za chama husika ili wananchi waweze kufanya maamuzi sahihi siku ya kupiga kura. Kampeni hizi zinatawaliwa na kanuni, sheria na taratibu pamoja na utamaduni wetu Kama watanzania. Hivyo, haitarajiwi kampeni hizi kutumika Kama sehemu ya kuwagawa Watanzania.

Hivi karibuni tumeshuhudia vitendo kadhaa vya uvunjifu wa amani ambavyo mara zote hufanywa na chama kimoja tuu, CHADEMA. Kabla ya kuanza kampeni, tulimsikia Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CHADEMA akiweka wazi kuwa atawaingiza watanzania barabarani Kama hatatangazwa mshindi. Tuliahihudia waandishi wa TBC wakifukuzwa kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA pale mbagala kwenye viwanja vya zakhiem.

Tundu Lissu akiwa jijini Mbeya aliendeleza mashambulizi kwa viongozi wa nchi kuwa itawaka Moto usiozimika. Huku akijua kabisa analengo gani, anaweza hoja za kuwa atadhuriwa huku akijenga hoja "kijanja" na kuwatumbukiza viongozi wa nchi ili wananchi wakoae imani na viongozi hao.

Kubwa kuliko Ni kauli yake aliyoyafanya Zanzibar akisema Hayati mzee Karume alilazimishwa kusaini makubaliano ya Muungano kinyume na mapenzi yake. Aliunda mbali zaidi kuwaambia ndugu zetu wazanzibar wanachaguliwa viongozi wao na Tanganyika huku akijua fika kuwa vikao hufanyika Dodoma kwasababu ndio makao makuu ya chama cha Mapinduzi.

Kauli hizi anazitoa sio kwa bahati mbaya kwani Mheshimiwa Lissu ni wakili msomi mwenye weledi mkubwa wa masuala ya kisheria. Anafanya hivi kwa makusudi akitumia utaalamu wake wa kisheria kuwashawishi watanzania kuamini uongo ambao unaweza kupelekea uvunjifu wa amani.

Ninaomba nikiwa Kama mtanzania mzalendo ninayeipenda nchi yangu kuwa Mheshimiwa Lissu aonywe na aelekezwe kujikita kwenye kueneza sera za chama chake. Ni muhimu Mheshimiwa Lissu akumbushwe kuwa Kuna maisha baada ya Uchaguzi. Mimi na yeye tunaweza tusiwepo, Ila watanzania amvao Ni ndugu, rafiki na watoto wetu wayendelea kuwepo. Hawa wanastahili kesho bora zaidi.

Ni vema Mheshimiwa Lissu akakumbushwa kuwa viongozi wa kisiasa Kama yeye ni watu wenye ushawishi kwa wafuasi wao na kuwa maneno yao yanaweza kuleta Faraja au huzuni, kilio au furaha, upendo au chuki, umoja au utengano zaidi sana kifo au maisha.

Amani Msumari
Tanga

Nakala:
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania
Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania
Katibu Mkuu - CHADEMA
Katibu Mkuu - CCM
Nadhani inabidi apingwe kwa hoja zenye nguvu. Ikiwa aliyoyasema ni uongo ama la
 
Sema yote lakini uadilifu wa Rais Magufuli sio wa kutiliwa shaka hata kidogo.

Sio muadilifu, bali anashurutisha kuonekana muadilifu. Madictotar wote hutengeneza taswira ya kutaka kuonekana waadilifu. Mtu muadilifu sio adui wa uhuru wa habari. Ogopa sana mtu anayetumia madaraka yake kulazimisha kuonekana mtu mwema. Tuna akili zetu na tunaweza kupima uadilifu wa mtu. Mfano mrahisi sana, toka ameingia madarakani, chaguzi zetu ndio zimegubikwa na ukatili, ukiukwaji mkubwa wa sheria, uhayawani na ukatili wa wazi. Kwa mtu muadilifu, uchaguzi wa SM usingeweza kuwa ulivyokuwa, na yote ni maagizo yake.
 
Ndugu mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),

Ninachukua fursa hii kukupongeza wewe na timu yako kwa kazi ngumu mnayoifanya. Mnafanya kazi zenu kwa weledi na kwa mujibu wa sheria. Hongereni sana.

Kama inavyofahamika, nchi yetu hufanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kila baada ya Miaka mitano. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambayo ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.

Ndugu mwenyekiti, mwaka huu, 2020 Tanzania itafanya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Tayari kampeni za uchaguzi zimeanza kote nchini huku vyama mbalimbali vikizunguka kunadi ilani zao za uchaguzi.

Itakumbukwa kuwa lengo la kampeni hizo Ni kunadi sera za chama husika ili wananchi waweze kufanya maamuzi sahihi siku ya kupiga kura. Kampeni hizi zinatawaliwa na kanuni, sheria na taratibu pamoja na utamaduni wetu Kama watanzania. Hivyo, haitarajiwi kampeni hizi kutumika Kama sehemu ya kuwagawa Watanzania.

Hivi karibuni tumeshuhudia vitendo kadhaa vya uvunjifu wa amani ambavyo mara zote hufanywa na chama kimoja tuu, CHADEMA. Kabla ya kuanza kampeni, tulimsikia Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CHADEMA akiweka wazi kuwa atawaingiza watanzania barabarani Kama hatatangazwa mshindi. Tuliahihudia waandishi wa TBC wakifukuzwa kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA pale mbagala kwenye viwanja vya zakhiem.

Tundu Lissu akiwa jijini Mbeya aliendeleza mashambulizi kwa viongozi wa nchi kuwa itawaka Moto usiozimika. Huku akijua kabisa analengo gani, anaweza hoja za kuwa atadhuriwa huku akijenga hoja "kijanja" na kuwatumbukiza viongozi wa nchi ili wananchi wakoae imani na viongozi hao.

Kubwa kuliko Ni kauli yake aliyoyafanya Zanzibar akisema Hayati mzee Karume alilazimishwa kusaini makubaliano ya Muungano kinyume na mapenzi yake. Aliunda mbali zaidi kuwaambia ndugu zetu wazanzibar wanachaguliwa viongozi wao na Tanganyika huku akijua fika kuwa vikao hufanyika Dodoma kwasababu ndio makao makuu ya chama cha Mapinduzi.

Kauli hizi anazitoa sio kwa bahati mbaya kwani Mheshimiwa Lissu ni wakili msomi mwenye weledi mkubwa wa masuala ya kisheria. Anafanya hivi kwa makusudi akitumia utaalamu wake wa kisheria kuwashawishi watanzania kuamini uongo ambao unaweza kupelekea uvunjifu wa amani.

Ninaomba nikiwa Kama mtanzania mzalendo ninayeipenda nchi yangu kuwa Mheshimiwa Lissu aonywe na aelekezwe kujikita kwenye kueneza sera za chama chake. Ni muhimu Mheshimiwa Lissu akumbushwe kuwa Kuna maisha baada ya Uchaguzi. Mimi na yeye tunaweza tusiwepo, Ila watanzania amvao Ni ndugu, rafiki na watoto wetu wayendelea kuwepo. Hawa wanastahili kesho bora zaidi.

Ni vema Mheshimiwa Lissu akakumbushwa kuwa viongozi wa kisiasa Kama yeye ni watu wenye ushawishi kwa wafuasi wao na kuwa maneno yao yanaweza kuleta Faraja au huzuni, kilio au furaha, upendo au chuki, umoja au utengano zaidi sana kifo au maisha.

Amani Msumari
Tanga

Nakala:
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania
Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania
Katibu Mkuu - CHADEMA
Katibu Mkuu - CCM
Acha kuweweseka! Tulienda dawa ya Lissu iwaingie vizuri
 
Point hapo ni " Uchaguzi wa huru a haki". Ikitokea umeona hujatendewa haki basi Kuna njia za kisheria za kufuata na sio kumwaga damu ya wananchi
Acha kuota ndoto za vurugu na umwagaji wa damu usiokuwepo!
Zile propaganda za kizamani za kutuwekea sinema za kivita kwenye tv zenu ili kuutisha umma usiache kuichagua ccm eti ni chama chenye kuilinda amani zimekukaa ubongoni mwako na kuganda!
Hizi fitina zako ziko wazi kwani umewaadress wateule wa ccm na ambao ni mawakala na makada wa ccm ambao Wana maagizo ya kulazimisha na kumtangqza mshindi kutoka ccm hata Kama hajashinda! Hamasa yako hii inahanikiza hizo vurugu na uvunjivu wa amani Kama hukujua ujue hivyo!
Binafsi nakuona mjinga usiyeweza kuwaza sawasawa bila kuwa na upande! Hakuna wa kutishiwa kipuuzi Kama unavyodhani na ikibidi kuidai haki na demokrasia isiyo na konakona tutafanya hivyo bila ushawishi na kikwazo Cha aina yoyote kutoka kwa mwanasiasa! Wananchi wa Sasa wanajitambua hivyo usiwapangie!
 
Mkuu shida ni kuwabtunataka amani na unoja wetu udumu na kuwa hatutamvumiliaa yeyote anauetaka kupoka vitu hivyo
umoja na amni bila haki mkuu hawezekaniki, haki kwanza mengine hufuata, haki..haki...haki...haki..haki, sio maneno yangu bali limehubiliwa enzi na enzi toka zama za mitume na manabihi mkuu, penye haki kila kitu huwa shwari . tafakari na chukua hatua mkuu
 
Hilo la kura za vijijini umelisema wewe, mimi nilikuletea na kuongezea Hilo la kura za bure ukidhani vijijini hawajielewi. So usinilishe maneno. Baki mwenyewe na dhambi yako ya ubaguzi

Ni kweli hawajielewi, na kutokujielewa si kosa, ni matokeo ya elimu duni inayotolewa na chama unachokipigia debe. Kusema mtu hajielewi na neno ulilonipandikizia la ubaguzi si sahihi. Hata hivyo TL anawapenda ndio maana kila siku anawafundisha elimu ya uraia ili watambue wajibu na haki zao. Kama kawaida yenu nimewashauri muwekeze huko kabla TL hajafika ili mjipatie kura za bure. Huku hampati watu na mnalipwa buku 7 za bure tu!
 
Ndugu mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),

Ninachukua fursa hii kukupongeza wewe na timu yako kwa kazi ngumu mnayoifanya. Mnafanya kazi zenu kwa weledi na kwa mujibu wa sheria. Hongereni sana.

Kama inavyofahamika, nchi yetu hufanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kila baada ya Miaka mitano. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambayo ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.

Ndugu mwenyekiti, mwaka huu, 2020 Tanzania itafanya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Tayari kampeni za uchaguzi zimeanza kote nchini huku vyama mbalimbali vikizunguka kunadi ilani zao za uchaguzi.

Itakumbukwa kuwa lengo la kampeni hizo Ni kunadi sera za chama husika ili wananchi waweze kufanya maamuzi sahihi siku ya kupiga kura. Kampeni hizi zinatawaliwa na kanuni, sheria na taratibu pamoja na utamaduni wetu Kama watanzania. Hivyo, haitarajiwi kampeni hizi kutumika Kama sehemu ya kuwagawa Watanzania.

Hivi karibuni tumeshuhudia vitendo kadhaa vya uvunjifu wa amani ambavyo mara zote hufanywa na chama kimoja tuu, CHADEMA. Kabla ya kuanza kampeni, tulimsikia Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CHADEMA akiweka wazi kuwa atawaingiza watanzania barabarani Kama hatatangazwa mshindi. Tuliahihudia waandishi wa TBC wakifukuzwa kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA pale mbagala kwenye viwanja vya zakhiem.

Tundu Lissu akiwa jijini Mbeya aliendeleza mashambulizi kwa viongozi wa nchi kuwa itawaka Moto usiozimika. Huku akijua kabisa analengo gani, anaweza hoja za kuwa atadhuriwa huku akijenga hoja "kijanja" na kuwatumbukiza viongozi wa nchi ili wananchi wakoae imani na viongozi hao.

Kubwa kuliko Ni kauli yake aliyoyafanya Zanzibar akisema Hayati mzee Karume alilazimishwa kusaini makubaliano ya Muungano kinyume na mapenzi yake. Aliunda mbali zaidi kuwaambia ndugu zetu wazanzibar wanachaguliwa viongozi wao na Tanganyika huku akijua fika kuwa vikao hufanyika Dodoma kwasababu ndio makao makuu ya chama cha Mapinduzi.

Kauli hizi anazitoa sio kwa bahati mbaya kwani Mheshimiwa Lissu ni wakili msomi mwenye weledi mkubwa wa masuala ya kisheria. Anafanya hivi kwa makusudi akitumia utaalamu wake wa kisheria kuwashawishi watanzania kuamini uongo ambao unaweza kupelekea uvunjifu wa amani.

Ninaomba nikiwa Kama mtanzania mzalendo ninayeipenda nchi yangu kuwa Mheshimiwa Lissu aonywe na aelekezwe kujikita kwenye kueneza sera za chama chake. Ni muhimu Mheshimiwa Lissu akumbushwe kuwa Kuna maisha baada ya Uchaguzi. Mimi na yeye tunaweza tusiwepo, Ila watanzania amvao Ni ndugu, rafiki na watoto wetu wayendelea kuwepo. Hawa wanastahili kesho bora zaidi.

Ni vema Mheshimiwa Lissu akakumbushwa kuwa viongozi wa kisiasa Kama yeye ni watu wenye ushawishi kwa wafuasi wao na kuwa maneno yao yanaweza kuleta Faraja au huzuni, kilio au furaha, upendo au chuki, umoja au utengano zaidi sana kifo au maisha.

Amani Msumari
Tanga

Nakala:
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania
Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania
Katibu Mkuu - CHADEMA
Katibu Mkuu - CCM
Waambie pia juu ya kutenda haki kwenye mchakato wa wagombea na wakati wa uchaguzi ili kuepusha vurugu na ukosefu wa amani kwa wagombea ambao wataona hawajatendewa haki.

Waambie wawarudishe wagombea wote walioenguliwa ili wananchi wapate haki yao ya kikatiba ya kuchagua viongozi kwa sanduku la kura na si wengine wateuliwe(wakisemwa wamepita bila kupingwa) kama wale wa viti maalum

Waambie wasimamie maadili kwa kuwaonya wagombea kutumia lugha zao za asili na si lugha ya taifa pasipo wakalimani na pia kutumia nyimbo za lugha zao pasipo kuwa na beti za tafsiri.

Waambie viongozi wenye nafasi za kiserikali waache kutoa ahadi/maelekezo majukwaani ambazo zina mwonekano wa rushwa ili wapigiwe kura.

Waambie wagombea walioko serikalini wasitoe maelekezo kwa watumishi kuhudhuria kwenye mikutano ya kampeni kwa lazima kwani watumishi wanatokana na vyama mbalimbali. Wananchi waudhurie kwa hiari yao kama watapenda.
 
We umeambiwa na nani?
Kwa iyo uwanja wa kimataifa Chagonja haujajengwa??? Kwa iyo Mayanga contractors sio kampuni inayojenga??? Kwa iyo Bunge lilipotisha ujenzi wa uwanja wa ndege chato????

Au unataka kusemaje kilaza wa lumumba wewe????
 
Waambie pia juu ya kutenda haki kwenye mchakato wa wagombea na wakati wa uchaguzi ili kuepusha vurugu na ukosefu wa amani kwa wagombea ambao wataona hawajatendewa haki.

Waambie wawarudishe wagombea wote walioenguliwa ili wananchi wapate haki yao ya kikatiba ya kuchagua viongozi kwa sanduku la kura na si wengine wateuliwe(wakisemwa wamepita bila kupingwa) kama wale wa viti maalum

Waambie wasimamie maadili kwa kuwaonya wagombea kutumia lugha zao za asili na si lugha ya taifa pasipo wakalimani na pia kutumia nyimbo za lugha zao pasipo kuwa na beti za tafsiri.

Waambie viongozi wenye nafasi za kiserikali waache kutoa ahadi/maelekezo majukwaani ambazo zina mwonekano wa rushwa ili wapigiwe kura.

Waambie wagombea walioko serikalini wasitoe maelekezo kwa watumishi kuhudhuria kwenye mikutano ya kampeni kwa lazima kwani watumishi wanatokana na vyama mbalimbali. Wananchi waudhurie kwa hiari yao kama watapenda.
Tangu kampeni zianze sijamuona mgombea yeyote akipiga kampeni kwa kilugha chake au lugha yoyote zaidi ya lugha yetu adhimu, lugha ya taifa kiswahili. Sana sana nimewasikia wagombea wakichomekea kisukuma na kiingereza (Magufuli) na kiingereza (Lissu).
 
Back
Top Bottom