Barua ya wazi kwa Waziri wa Maji kuhusu MWAUWASA

Barua ya wazi kwa Waziri wa Maji kuhusu MWAUWASA

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Mhe. Waziri wa Maji Salaam. Hapa Mwanza Mamlaka yetu ya maji inaitwa Mwauwasa. Katika jiji la Mwanza maeneo mengi yanakosa maji licha ya kuwa hatua chache tu toka Ziwa Victoria (a stone throw away) kwa lugha ya kimombo.

Mfano hai ni eneo la Mwananchi leo ni siku ya tano hatuna maji na hata maeneo mengine. Kati ya Mhe. Waziri anayependa kusifu nani kama ni wewe.

Mhe. Waziri Jiji la Mwanza tuna mkosi gani? Katibu Mkuu wako yeye ndiyo alikuwa Mtendaji Mkuu wa Mwauwasa.

Tunakuomba Jiji la Mwanza lipate suluhisho la kudumu kuhusu upatikanaji wa maji safi na salama vinginevyo hatutakuelewa.
 
Mkuu, tatizo ni hapo Hai tu au Mwanza nzima?
 
Yan haingii akilin ziwa liko karibu Lakin huwez amin moja ya maeneo raia Wana suffocate Ni Mwanza jiji hapa



Mh waziri Aweso hii issue inawaharibia Sana leo Ni wiki ya 2 Kishili hakuna maji Yan watu wanapiga maji ya visima yana chumvi hatar si salama kabisa


Bado tuna Imani na serikali yetu tunaomba mtusaidie Hali Ni tete Jana kanisan Hali ilikua ngumu Sana ilibidi pastor awaambie waumin kuwa wamelazimika kufunga vyoo kwa sababu hakuna maji this is a shame na haikubaliki




Asante
 
Maboresho kisheria na kisera yanapaswa sana kufanyika ili hizi Mamlaka za Maji ziwe chini ya Wizara ya Afya moja kwa moja ili ziwajibike kwa Waziri na zikifanya vibaya Waziri awajibike moja kwa moja kwa kushindwa kuzisimamia

sasa hivi ni Water Authority kamili na usimamizi wa Wizara upo kisiasa sio kisheria wala kimuundo
 
Sijawahi kujua shida ni hapo Mwanza, hadi tunanaanza kuzeeka maji ni shida na Ziwa lipo karibu. Enzi zile tunaamshwa saa9 usiku tujaze maji kwenye madyaba na madishi, saa12 unaunga kujiandaa shule, yasipotoka jioni haaao kisimani down the memory line.
 
Back
Top Bottom