mzamifu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2010 Posts 6,400 Reaction score 3,853 Oct 12, 2020 #21 mbarika said: Nliwambia mapema hamkusikia Pambaneni na hali zenu mi nipo Hapa Denmark nakula maisha kwanza Taarifa za huko home sio nzur huku wajamen Click to expand... Jeshi letu lina ueledi mkubwa. litasimama kwa haki halitaelekeza silaha kwa watanzania. Wananchi wanajua maana ya amani na haki. Ole wake aliyepanga uovu maana upofu utamtangulia kabla ya kuzimia Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
mbarika said: Nliwambia mapema hamkusikia Pambaneni na hali zenu mi nipo Hapa Denmark nakula maisha kwanza Taarifa za huko home sio nzur huku wajamen Click to expand... Jeshi letu lina ueledi mkubwa. litasimama kwa haki halitaelekeza silaha kwa watanzania. Wananchi wanajua maana ya amani na haki. Ole wake aliyepanga uovu maana upofu utamtangulia kabla ya kuzimia Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
M Miss Madeko JF-Expert Member Joined Apr 30, 2014 Posts 4,364 Reaction score 5,609 Oct 12, 2020 #22 Kwelea said: Wenye uelewa mzuri wa hali halisi ilivyo na uzoefu walionao, wamejiengua mapema sana. Click to expand... Sasa hawa vichwa ng'ombe hawaelewi au?
Kwelea said: Wenye uelewa mzuri wa hali halisi ilivyo na uzoefu walionao, wamejiengua mapema sana. Click to expand... Sasa hawa vichwa ng'ombe hawaelewi au?