Uchaguzi 2020 Barua yangu na wito wangu kwa IGP, Tume ya Uchaguzi na wenyeviti wa Vyama vya Siasa Taifa

Nliwambia mapema hamkusikia Pambaneni na hali zenu mi nipo Hapa Denmark nakula maisha kwanza
Taarifa za huko home sio nzur huku wajamen
Jeshi letu lina ueledi mkubwa. litasimama kwa haki halitaelekeza silaha kwa watanzania.
Wananchi wanajua maana ya amani na haki. Ole wake aliyepanga uovu maana upofu utamtangulia kabla ya kuzimia

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…