so what.
swissme ni mtani wangu. JF ni sehemu ya kuondolea stress. Kugombana na kufanya uadui JF ni sawa na kujisaidia haja kubwa jikoni
Tamaa zao zakupenda down kunatuaharibia watoto wetu.Basata wanavyopenda nyuchi, utafungiwa kwenu wao watakuwa wakiendelea kuutumbulia mimacho kila siku asubuhi huku midushelele yao ikiwa imesimama wima kama askari anayekaguliwa
Hili ni balaa lingine. Huyu Nusrachura hapana.hapo kwenye kukuna nazi nimemkubali.
We umenichekesha sana ha ha haaaaa wamekuacha round about[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hivi wenzangu mnazungumzia nini ?
Nimeamini dunia imeisha, yesu njoo yu Bwana tumechoka sasa
Huyu chura duuuh
Hahahaa..eti wima kama nani vile?Basata wanavyopenda nyuchi, utafungiwa kwenu wao watakuwa wakiendelea kuutumbulia mimacho kila siku asubuhi huku midushelele yao ikiwa imesimama wima kama askari anayekaguliwa
siku hizi ni mwendo wa futi kamba tu.Zama zimebadilika
huko si kukatika ni kurusha tako mdebwedo....hivi hana wajomba huyu? anachokiimba hata hakieleweki...aibu plus plusMtoa mada mauno yake yanakuweka kwenye hal mbaya eenh!
Hivi ni mchaga wa wapi ana mauno hivi?
Nkiangalia najiskia aibu coz inakuwa too much!
Yesu awezi kuja wakati uchafu kama huu unaendeleaKweli nime
Nimeamini dunia imeisha, yesu njoo yu Bwana tumechoka sasa