BASATA, kosa la Dulla Makabila ni lipi akionesha Mchungaji akihukumiwa kwenda moto wa milele?

Wakrist
O wamelaaniwa
 
Wenye akili kubwa ndio wanaelewa ila zumburukuku lzm libaki kutetea ujinga
 
Kama dulla kafanya kosa ahukumiwe yeye kama yeye, haiwezekani kosa afanye dulla uhukumu na waislam wengine, mshughulikieni huyo dulla wenu
 
Halafu amevaa makobazi miguuni, huku akiwa na midevu kama Osama! Yaani mpaka muda huu wangekuwa tayari wanavunja maduka ya watu mtaani ili waibe mchele na unga, kwa kisingizio cha kukashfiwa dini yao.
Hiyo midevu hata yesu alikuwa nayo
 
Hi BASATA ina watu washamba sana hawajitambui, wanamaanisha nini? Kwamba ukiwa mchungaji ndiyo kibali cha kwenda mbinguni?!.
Mtoa mada kakuingiza chaka mkuu, hakuitiwa ishu ya mchungaji bali aliitiwa ishu ya ushoga
 
Waislamu hatuli lii kama nyinyi.

Sisi ni vitendo tu.

Ukileta ujinga kwenye dini yetu lazima utiwe adabu.

Nyie mmeruhusu kila aina ya maigizo kwenye dini yenu nashangaa la dullah makabila mmelikomalia.

Tunaushangaa unafiki wenu.
Kuna kiongozi wa dini ya kikristo labda Roman Catholic, Adventist kaingilia hilo?..Ni BASATA hao na issue za maadili ya taifa.
 
Haya umewekewa na video hapo chini Mariposa ameQuote sasa unalolote la kusema au kubisha kuwa basata wamemuita kwa sababu unayodai ?

Toa neno lolote kutokana na hiyo video ya basata wakihojiwa pamoja na Dulla Makabila kisha mambo mengine yaendelee..
Sasa wimbo unapigwaa na Kile kipande cha ushoga bado kipooo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kristo ni nani?
Google mkuu. Halafu uzingatie one book started then after 600 yrs another book came with SOME same stories🤗.
Jesus ktk bible na Issa ktk koran sio mtu mmoja ukicheki deep.
Wa kwenye bible ndio "Kristo".
 

Actually maandiko ndo yanasema kuwa wachungaji wataachwa
 
.... Unaitwa Dr Akili? Mbona Hakuonysha Shehe aliambiwa 'Pita Huku'? Ameweza Kuonyesha Mchungaji Tu???
Aonyeshe na Shehe akione Cha Moto! Ndio Mantiki ya BASATA.....
 
Kwanini ni mchungaji nasio shekhe wa dini yake Dulla??
Hii tabia ya kuchokoza na kusanifu dini za watu muache
 
Google mkuu. Halafu uzingatie one book started then after 600 yrs another book came with SOME same stories🤗.
Jesus ktk bible na Issa ktk koran sio mtu mmoja ukicheki deep.
Wa kwenye bible ndio "Kristo".
Unaulizwa kristo ni nani unatoa maelezo marefu yaso kichwa wala miguu.

Ukiitwa kafiri unafura.
 
.... Unaitwa Dr Akili? Mbona Hakuonysha Shehe aliambiwa 'Pita Huku'? Ameweza Kuonyesha Mchungaji Tu???
Aonyeshe na Shehe akione Cha Moto! Ndio Mantiki ya BASATA.....
Mchungaji amewakilisha viongozi wa dini zote wakiwamo mashehe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…