Duuh! Kwani huwa kuna uprofesa wa heshima?
Imagine kauli ya waziri wa elimu na mafunzo wa Z'barDuuh! Kwani huwa kuna uprofesa wa heshima?
Basata wenyewe, hata hawaelewi anacho igiza, ndo maana wamekausha tu. 😎Kwa miaka yote ktk harakati zake za kisiasa rais Samia alikuwa hajajipata kipaji chake. Lkn alipoingia ikulu ndipo kipaji chake cha uigizaji kikadhihirika na sasa kimekomaa.
Alianza na movie ya "Royal tour" na leo ameweka wazi kuwa movie yake mpya iitwayo "Kijiji cha milele" inakuja sokoni.
BASATA nawauliza ni lini mtampa tuzo mama huyu kwa kipaji chake cha kuigiza??
Zanzibar Ni majanga. Umesikia kauli ya mkuu wa mkoa wa mjini maghrb kuhusu Uwanja wa Zanzibar baada ya ukarabati?Imagine kauli ya waziri wa elimu na mafunzo wa Z'bar
Jamaa hawajielewi kabisaZanzibar Ni majanga. Umesikia kauli ya mkuu wa mkoa wa mjini maghrb kuhusu Uwanja wa Zanzibar baada ya ukarabati?
Nadhani yule mwamba akija Dar anaishia Mwananyamala na hajawahi kupata passport.