Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza amesema wataufungia wimbo wa 'Wapo' wa Nay wa Mitego kwani hauna maadili. Amesema haufai unachochea vurugu.
Kwa hiyo bujibuji uko radhi sebureni kwako wimbo wa namna upigwe?
Bujibuji tafakali mara mbili,JF bado inawahitaji watu kama ninyi kamwe msisupport upumba....vu.
HAHAAAAANimependa swali lako
Hata ulu wa Marehemu Remmy Ongara, MAMBO KWA SOKSI, ulifunguwa.... lakini baadala kwenye majukwaa tuliendelea kuyatamka maneno yaleKatibu Mkuu wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza amesema wataufungia wimbo wa 'Wapo' wa Nay wa Mitego kwani hauna maadili. Amesema haufai unachochea vurugu.
Basata wachumia tumbo.Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza amesema wataufungia wimbo wa 'Wapo' wa Nay wa Mitego kwani hauna maadili. Amesema haufai unachochea vurugu.
Hata mim hili jambo nimehis kuwa ney katoa makusudi akijua fika huo wimbo utafungiwa lakin yote ya yote ujumbe umewafikia kazi kwao sasaNey alikua anajua utafungiwa by the time anautoa. BASATA guys are just playing to his tune. Jamaa keshaurelease na watu wameusikia na wanao kwenye devices zao.
Hivi umesikiliza wimbo kwa makin au umeandika tu kasikilize vixur afu uje useme tusi liko wapi pale au ndio bashite mwenyew nin achen ubabe fuatishen misingi ya demokrasia mtaona kama mtatungiwa nyimbo za kuwasemaaisee tuache kulalamika na kutetea upuuzi kufikisha ujumbe kwa kukosoa sawa lakini sio kwa lugha ya kashfa na matusi.tukishabikia hili tunaandaa kizazi cha ajabu sana na cha kipuuzi sisi tutakufa lkn tanzania itabakia na vizazi vijavyo ndio vitapata tabu sana.
lazima kama taifa tuwe na kizazi chenye heshima na nidhamu kwa ujumla
Hii imepenya, hata ya Nape ilipenya sanaBASHITE atakuwa na nini sijui, hakuna silaha inayotumwa dhidi yake inafaulu.
Lazima Mkuu wa Nchi anamkingia kifua!
BashiteSema yote usitaje bashite
Ficha uzwazwa. Kama mfumuliwa malinda yupo unashangaa nini kusikia kwenye muziki ?Kwa hiyo bujibuji uko radhi sebureni kwako wimbo wa namna upigwe?
Bujibuji tafakali mara mbili,JF bado inawahitaji watu kama ninyi kamwe msisupport