Ltn Mnaa
Member
- Mar 21, 2017
- 12
- 2
BASATA wamesahau hizi ni kikazi cha smartphones,kama mimi sijui last time kusikiliza redio ilikua lintushaipakua kitambo tunaupiga tu mageton,kwa kuahamtulipii kod,tutaupiga tu hakuna namna
Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza amesema wataufungia wimbo wa 'Wapo' wa Nay wa Mitego kwani hauna maadili. Amesema haufai unachochea vurugu.
![]()