rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Zile pesa za ruzuku ya mbolea zinatokana na Kodi ya nani, mweleze wanaofaidika ni wafanyabiashara sio wakulimaWatu wote hatuwezi kulima, na kwa taarifa yako hakuna mkulima anayenufaika na ongezeko la bei ya mazao
Uongo wa kijinga...2016 halikuwa kutokea hilo.Ila kwa mvua zinavyonyesha vizuri mpaka sasa na watu walivyojitokeza kulima kwa wingi tuombe Mungu mambo yakiendelea hivi mwakani bei ya mazao itashuka sana
Kupanda kwa bei ya mazao akumtegemei Waziri wa kilimo inategemeana na hali ya hewa na mavuno yanayopatika mwaka husika mwaka 2016 kilo moja ya sembe tulinunua tsh2500/= au umesahau?
Juzi kati nimewakuta wakenya kiwangwa Bagamoyo wananunua na kulimisha mananasi wenyewe,kiwangwa now nanasi 1 ni sh 300!Na haitashuka kwa sababu wanunuzi wa mazao kutoka nchi za Kenya, Uganda, Kongo, Malawi, Zambia, Rwanda na Burundi wako mashambani wananunua wenyewe mazao
Kuna nchi zinawapa wazee posho. Tuige hizoYani mipango mibovu ya viongozi wa nchi nyingine ndio unataka watanzania tuige?
Mkuu jiandae kifedha na kisaikolojia, bei hazitashuka. Maana wanunuzi wa nje ya nchi ni wengi mno. Mchele na Maharage ni bidhaa zinazohitajika sana duniani.Ila kwa mvua zinavyonyesha vizuri mpaka sasa na watu walivyojitokeza kulima kwa wingi tuombe Mungu mambo yakiendelea hivi mwakani bei ya mazao itashuka sana
Kupanda kwa bei ya mazao akumtegemei Waziri wa kilimo inategemeana na hali ya hewa na mavuno yanayopatika mwaka husika mwaka 2016 kilo moja ya sembe tulinunua tsh2500/= au umesahau?
Sawa mimi mjinga na uongo wangu wa kijinga aya embu tuambie wewe mwerevu 2016 kilo moja ya sembe ilikuwa tshs?Uongo wa kijinga...2016 halikuwa kutokea hilo.
Mimi nimenufaika mwaka huu Mkuu. Hasa kwenye mchele, nimeuza hadi sh. 3,500 kwa kilo.Watu wote hatuwezi kulima, na kwa taarifa yako hakuna mkulima anayenufaika na ongezeko la bei ya mazao
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe wakati anakabidhiwa Wizara ya Kilimo aliwakuta watanzania wananunua mchele Kilo 1,300 hadi 2,000 kulingana na ubora.
Sasa hivi 2023 tunanunua kilo 3,500 ya Mchele alafu bado tunaamini Bashe ni Waziri mzuri wa Kilimo na anamsaidia vizuri Mh Rais Samia
View attachment 2487254
Mafuta ya Trekta Bei ameipandisha Beshe?? Mbolea zinazozalishwa na Ges ya Ukraine Bei zake amezipandisha Bashe?? Diesel inayotumika na mashine za kuvuna/Kukoboa na ile inayotumika na Mafuso yanayoleta Michele, Mahindi mijini na Kariakoo Dar es salaam , Bei yake inapangwa na Bashe??? Jiongeze na jifunze mamboWaziri wa Kilimo, Hussein Bashe wakati anakabidhiwa Wizara ya Kilimo aliwakuta watanzania wananunua mchele Kilo 1,300 hadi 2,000 kulingana na ubora.
Sasa hivi 2023 tunanunua kilo 3,500 ya Mchele alafu bado tunaamini Bashe ni Waziri mzuri wa Kilimo na anamsaidia vizuri Mh Rais Samia
View attachment 2487254
Bila kusahau dagaaSio lazima kula maharage au mchele...tuleni vegetables zaidi.hoho pilipili karoti nyanya chungu bamia...haifiki 1500 unakula fresh
Wewe ulitakaje? Shenzi nyie mlizoea kunyonya jasho la wakulima.Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe wakati anakabidhiwa Wizara ya Kilimo aliwakuta watanzania wananunua mchele Kilo 1,300 hadi 2,000 kulingana na ubora.
Sasa hivi 2023 tunanunua kilo 3,500 ya Mchele alafu bado tunaamini Bashe ni Waziri mzuri wa Kilimo na anamsaidia vizuri Mh Rais Samia
View attachment 2487254
Yaani sasa hivi kuna familia kula ubwabwa ni anasa😂Maharage 4000. Nimeshangaa sana
Huna uwezo wa kununua unafanya nini mjini?Ndio watu wote hatuwezi kulima, ila kuna baadhi ya watu mjini wanatakiwa waende wakalime, wale ambao wanashindwa kumudu kununua vyakula kwa kuwa vimepanda
Kwani chakula ni ubwawa tuu?Yaani sasa hivi kuna familia kula ubwabwa ni anasa😂
Kwani wafanyabiashara sio Watzn?Zile pesa za ruzuku ya mbolea zinatokana na Kodi ya nani, mweleze wanaofaidika ni wafanyabiashara sio wakulima
Maswali yote hayo unayouliza vitu hivyo vilikuwa havitumiki kabla ya Bashe kuwa Waziri? mbona suala la wanunuzi wa mazao mashambani kutoka nchi za nje huzungumzii?Mafuta ya Trekta Bei ameipandisha Beshe?? Mbolea zinazozalishwa na Ges ya Ukraine Bei zake amezipandisha Bashe?? Diesel inayotumika na mashine za kuvuna/Kukoboa na ile inayotumika na Mafuso yanayoleta Michele, Mahindi mijini na Kariakoo Dar es salaam , Bei yake inapangwa na Bashe??? Jiongeze na jifunze mambo
Umewahi kukuta mchele umedida licha ya kuuzwa hiyo bei? Au Kuna mgahawa umefungwa?
Bwege wewe hapo hujui maana ya food security nyio ndio mnaokaa kusifia halafu mnaenda kuomba mkumbukweKwani wafanyabiashara sio Watzn?
Achaga ubwege wewe,saizi Jijini gunia la Mahindi ni 90,000 na mjini 110,000..
Ulitaka tuuze 20,000?