rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Kama mchele upo wa kutoshaaa why sasa usitolewee tununue kwa bei chee...?? Au ndo serikali inafanya biashara ya kuumiza raiaaKwani atauza chote Ili akose chakula? Hiyo haipo..
Hatuwezi agiza chakula Kenya ndio maana serikali Huwa inanunua chakula Cha Hifadhi Kwa Ajili ya Hilo unalosema wewe