Bashe kilimo sio makaratasi, acha kuitumia BBT kuwapotezea muda vijana, ajenda yako hasa ni ipi?

Bashe kilimo sio makaratasi, acha kuitumia BBT kuwapotezea muda vijana, ajenda yako hasa ni ipi?

Mradi huu ni maono ya waziri Hussein Bashe, unaongozwa kwa mahesabu makali sana, tulijua kundi la kwanza litakaa field miezi miwili au mitatu kisha wagawiwe mashamba yao kama walivyokuwa wameahidiwa ili waende wakayasimamie wenyewe lakini mpaka sasa wamewashikilia na kuwaweka pamoja huu ni mwaka sasa unakaribia kuisha hakuna vijana wengine waliochukuliwa zaidi ya walewale.

Mambo yamekuwa mengi sasa wamekuja na mpya kwamba hawa vijana lazima wapitie JKT, du Bashe bwana, huko shambani kuna vita? Nilijua watawezeshwa kwa kupewa mikopo ya matrekta ili kila aende akafanye uzalishaji kwenye maeneo yao na kwenda kufundisha wengine.

Nilijua watakopeshwa mitaji ya kuwawezesha kununua vitendea kazi vitavyowafanya kulima kwa ubora zaidi naona sasa wapo JKT, mara mashamba darasa, nk. Ni lini watapewa mikopo waende wanaendesha kilimo mlichowafunza kila mtu kwa kujisimamia mwenyewe? Mtawaatamia mpaka lini?

Mtawagawia lini mashamba yao na kuwaacha huru walime kwa manufaa yao? Kila darasa lina mwisho vipi hii basheagriculture haina uhitimu ili waanze wengine? Haya sawa
Kama vipi siwajiungr Na waken ya na wamalawi wakalime kimkataba huko Israel kuliko kuwapotezea muda?.. Maana wao kuwa peleka jkt wakati walishapita kabla ha kwenda chuo si uhuni huo wa kuwapotezea muda? Bashe bwanaa... Embu uwe serious na maisha ya vijana
 
Kuna vijana fulani nawajua wamevuta mpunga wao kutwa wako polos wanapiga vitu ,wanalimia hapo

Ova
 
Bashe ndio Waziri wa kilimo aliye IBA pesa nyingi za mikopo zilipowe serikali Kwa ajili ya kilimo kuliko Waziri yoyote kuwai kutokea kwenye wizara hiyo
Mwisho ushafika ,haujasikia BBT ,wameiamishia wizara ya uvuvi
 
Kama vipi siwajiungr Na waken ya na wamalawi wakalime kimkataba huko Israel kuliko kuwapotezea muda?.. Maana wao kuwa peleka jkt wakati walishapita kabla ha kwenda chuo si uhuni huo wa kuwapotezea muda? Bashe bwanaa... Embu uwe serious na maisha ya vijana
Amewapeleka kule ili kuwafanya watoto wa wetu kuwa waoga, cunajua kule ni kutii Amri TU
 
Mwisho ushafika ,haujasikia BBT ,wameiamishia wizara ya uvuvi
Alafu MTU anakuja kukuambia eti kuna deepstate,
Nchi inaibiwa kila Kona ,mpaka na wakimbizi wapo kwenye Baraza la mawaziri ,
Wazee wenye sauti ya mwisho wako wanaangalia TU 🚮
 
Back
Top Bottom