Bashe ni Waziri mzuri na mchapakazi

Bashe ni Waziri mzuri na mchapakazi

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857


Ni lazima tupongeze pale ambapo mtu anafanya vizuri. Hussein Bashe ameleta muonekano mpya wa kilimo, ubunifu na uwekezaji.

Bashe akipewa muda kilimo cha Tanzania kitaenda mbali sana. Tatizo ni kwamba sehemu nyingine hakuna ubunifu wa kutosha. Huyu anajitahidi sana hasa ukizingatia ni kijana bado

Schoolmate wangu Mwigulu Nchemba naomba fanya juu chini riba za mikopo ziende chini. Fanya juu chini tuwe na fund ya mortgage ili kupunguza riba za mikopo ya nyumba… najua unanielewa. Nipe sababu ya kukusifia
 
Mwigulu likely anaweza kuwa waziri mzuri sana kwenye fedha
Ila madeni ya ndani aongeze kasi ya kulipa hapo atauona mwanga
Uchumi ni sisi sio vile
 
Mwambie mbolea imefika 120,000
Huo uzuri wake wala hauhitajiki. Arudishe mbolea bei ya mwaka jana 50000
Itarudi tu baada ya zile hela euros million 80 mama alipewa ufaransa kwa ajili ya kilimo.
 
Ni lazima tupongeze pale ambapo mtu anafanya vizuri. Bashe ameleta muonekano mpya wa kilimo, ubunifu na uwekezaji. Bashe akipewa muda kilimo cha Tanzania kitaenda mbali sana. Tatizo ni kwamba sehemu nyingine hakuna ubunifu wa kutosha. Huyu anajitahidi sana hasa ukizingatia ni kijana bado
Naunga mkono hoja na asante kumspot Bashe leo, angalia sie wenzio tulimspot lini. Wapinzani msione aibu kushirikiana na CCM kwenye hoja zenye maslahi ya Taifa! Bashe ni mzalendo, aungwe mkono na wote!

P
 
Schoomate wangu @Mwigulu Nchemba naomba fanya juu chini riba za mikopo ziende chini. Fanya juu chini tuwe na fund ya mortgage ili kupunguza riba za mikopo ya nyumba… najua unanielewa. Nipe sababu ya kukusifia
Mwache aendelee kujifunika mtandio wa bendera
 
Ni kweli Bashe yupo vizuri tatizo mfumo na vipaumbele vyetu.
Tunapambana kuomba samaki Badala maarifa na vitendea kazi tuvue wenyewe.Tunaishi ndani 18 za so called mabeberu kwa utegemezi.
 
Ni lazima tupongeze pale ambapo mtu anafanya vizuri. Bashe ameleta muonekano mpya wa kilimo, ubunifu na uwekezaji. Bashe akipewa muda kilimo cha Tanzania kitaenda mbali sana. Tatizo ni kwamba sehemu nyingine hakuna ubunifu wa kutosha. Huyu anajitahidi sana hasa ukizingatia ni kijana bado

Schoomate wangu Mwigulu Nchemba naomba fanya juu chini riba za mikopo ziende chini. Fanya juu chini tuwe na fund ya mortgage ili kupunguza riba za mikopo ya nyumba… najua unanielewa. Nipe sababu ya kukusifia
Mwigulu Nchemba ni mzuri tu kwenye majigambo na ushabiki wa Yanga lakini sio kwenye utendaji wenye tija kwa taifa
 
Naunga mkono hoja na asante kumspot Bashe leo, angalia sie wenzio tulimspot lini.

P

P,

Kama unavyojua niko independent sana nachukuwa muda sana kumsifia mtu.Mfano huyu Jamaa yetu wa Ilboru Mwigulu bado sitampa sifa mpaka mikopo ya bank ifike <10%
 


Ni lazima tupongeze pale ambapo mtu anafanya vizuri. Bashe ameleta muonekano mpya wa kilimo, ubunifu na uwekezaji. Bashe akipewa muda kilimo cha Tanzania kitaenda mbali sana. Tatizo ni kwamba sehemu nyingine hakuna ubunifu wa kutosha. Huyu anajitahidi sana hasa ukizingatia ni kijana bado

Schoomate wangu Mwigulu Nchemba naomba fanya juu chini riba za mikopo ziende chini. Fanya juu chini tuwe na fund ya mortgage ili kupunguza riba za mikopo ya nyumba… najua unanielewa. Nipe sababu ya kukusifia

Unajua madhira yanayowakuta wakulima kwenye bei kubwa ya pembejeo na bei mbovu ya mazao?
 
Mwigulu likely anaweza kuwa waziri mzuri sana kwenye fedha
Ila madeni ya ndani aongeze kasi ya kulipa hapo atauona mwanga
Uchumi ni sisi sio vile
Upo serious kweli na hili uliloandika hapa?
 
P,
Kama unavyojua niko independent sana nachukuwa muda sana kumsifia mtu.Mfano huyu Jamaa yetu wa Ilboru Mwigulu bado sitampa sifa mpaka mikopo ya bank ifike <10%
Mpe tuu sifa zake kwasababu hilo la bank interest kuwa 10%, tayari kwa baadhi ya banks, tena they did more, wako kwenye single digit!.

Mikopo ya Kilimo kwa CRDB Bank, interest ni 9%, NMB ni 7% na TADB it's just 4%!.

Huyu school mate wetu mwigulu mchemba, ni mzuri, bado naamini hapa I was right Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa! tatizo lake ni moja tuu Uthibitisho: Mwigulu Nchemba ni majina bandia ila vyeti ni vya kweli na uzuri wake, kwa vile ni member wetu humu, kila kipindi cha Uchaguzi, huibuka humu, Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020 hivyo 2025 ataibuka tena.
P
 
Bashe Yuko vizur.
Sio kama mwenzake wa Nzega vijijini anapenda sifa.
 
Bashe ni kijana smart anajuwa anachofanya hakurupuki anayo maono na nia ya dhati kukuza kilimo akiwa kama waziri wa wizara shida yetu hawa wengine alichoongelea hapa kama Africa je wako pamoja katika hili na kulitekeleza kama sera ya nchi za Africa kwa maana kufungua masoko huru kwa bidhaa za kilimo nchi za Africa sababu demand ni kubwa sana. Mimi naimani tuko katika njia sahihi tukiongozwa na Bashe katika wizara hii. Kijana ana pontetial ya kuwa juu zaidi ya hapo.
 


Ni lazima tupongeze pale ambapo mtu anafanya vizuri. Bashe ameleta muonekano mpya wa kilimo, ubunifu na uwekezaji.

Bashe akipewa muda kilimo cha Tanzania kitaenda mbali sana. Tatizo ni kwamba sehemu nyingine hakuna ubunifu wa kutosha. Huyu anajitahidi sana hasa ukizingatia ni kijana bado

Schoolmate wangu Mwigulu Nchemba naomba fanya juu chini riba za mikopo ziende chini. Fanya juu chini tuwe na fund ya mortgage ili kupunguza riba za mikopo ya nyumba… najua unanielewa. Nipe sababu ya kukusifia

Naomba mnisaidie kumuelewa
 
Back
Top Bottom