alex mhubiri
Member
- Feb 18, 2022
- 45
- 26
Hebu lete mtu mmoja tu hapa aliye nunuliwa na bei yake sh. ngapi? Naona na nyie mnaupiga mwingi kama mother hapaIla kwa kweli nikikumbuka biashara ya ununuzi wa ya wapinzani waliopewa jina la kuunga juhudi nasikia kichefu chefu sana.
Hakupewa Kama Zawadi ni taratibu zilizopo huko walopitisha wao na wanaziheshimu ndo maana hukuwahi kusikia CLINTON AKILALAMA kwamba haki yake imepokwaDemokrasia nayo inaweza kuwa debatable.
Tukiangalia kwa vinara wanaoshinikiza demokrasia kila kona ya dunia, mama Clinton mwaka 2016 alimzidi Trump kwa kura zaidi ya milioni mbili na laki nane, lakini urais akapewa Trump kinyume na matakwa ya wapigakura.
Uingereza leo wana mkuu wa nchi na mkuu wa serikali ambao wote hawajapatikana kwa kuchaguliwa.
Tuna lipi la kujifunza toka kwa vinara hawa duniani?
1.JOSHUA NASARI kutoka CDMHebu lete mtu mmoja tu hapa aliye nunuliwa na bei yake sh. ngapi? Naona na nyie mnaupiga mwingi kama mother hapa
Kulalama kunaweza kuwa kwa njia tofauti na uzijuazo wewe. Si lazima mtu apande majukwaa au kuandamana.Hakupewa Kama Zawadi ni taratibu zilizopo huko walopitisha wao na wanaziheshimu ndo maana hukuwahi kusikia CLINTON AKILALAMA kwamba haki yake imepokwa
Mara moja moja unakuwaga na akili, nguchilo wewBashiru, the next and chosen president of the republic of Tanzania.
Sinasikia ni mrundi?Anafaa kuwa Rais wetu
Sawa tu, Afrika ni mojaπ€·πΌββοΈSinasikia ni mrundi?
Habari wakuu,
Hivi ninyi hamjagundua Bashiru anaongea kama Nyerere.
Nilichogundua Bashiru angepewa cheo pale CCM [emoji2][emoji2][emoji2] hawa chawa wangetulia kimya.
Chawa bwana [emoji3][emoji3]inabidi kungefanyika majibizano ya hoja kati ya chawa na Bashiru. Wawekwe kwenye chumba kimoja [emoji39][emoji39]
Nasubiri huu mtifuano chawa wakiona Bashiru kashika mic[emoji3][emoji3].
Chanel ten ilikuwa ya ccm tangu lini?,, Hiyo walipewa tu na mwekezaji kama namna ya kuonyesha wako pamojaπHalirudisha mali zote za chama zilizokuwa zimetekwa na mafisadi Channel 10 ,Magic,mashule,na viwanja vingi tu,alikuta CCM ikiwa ombaomba kwa mafisa mpaka anaondoka CCM account zake zote zilikuwa zimejaa mifedha, ndio Maana kundi kubwa linalomchukia Bashiru sio kwamba kuna kitu aliwakosea la hasha bali aliwanyanganya matonge yao.
πππππππAkae na Steve Nyerere na Oscar Nyerere wakaanzisha umoja wa wanaoutumia sauti ya Nyerere.
Hapi ashaanza kulewa sifa za instagram,, ππββοΈ,akisifiwa anadhani kweliLakini Happy sio Chawa, anapiga kazi sana saivi.
Haina tatizoSinasikia ni mrundi?
Kelele za mlango zisikustue wewe mwenye nyumba πKila mtu na chaguo lake boss. Katiba imetupa uhuru wa kuchagua.
Democracy ndio niniRais Ni zadi ya sauti ya mamlaka!.. kwa MTU anaependa democracy This guy is more than a venom!..Kama issue Ni sauti akafungua kanisa atumie vizri sauti yake ya mamlaka kukemea mapepo
Alitengeneza mfumo wa malipo ya mabanda ya ccm kwa nidham,hawatakiHabari wakuu,
Hivi ninyi hamjagundua Bashiru anaongea kama Nyerere.
Nilichogundua Bashiru angepewa cheo pale CCM πππ hawa chawa wangetulia kimya.
Chawa bwana ππinabidi kungefanyika majibizano ya hoja kati ya chawa na Bashiru. Wawekwe kwenye chumba kimoja ππ
Nasubiri huu mtifuano chawa wakiona Bashiru kashika micππ.
Ni kweli kabisa!! Magufuli alikuwa anamwandaa kuja kuwa mrithi wake!! Jamaa hana makuu, ni mzalendo wa ukweli!! CCm wanapaswa kumshukuru kwa kufuatilia mali za CCM zilizokuwa zinapigwa na wajanja!Anafaa kuwa Rais wetu
Tupo nyuma yake tunamuunga mkonoNi kweli kabisa!! Magufuli alikuwa anamwandaa kuja kuwa mrithi wake!! Jamaa hana makuu, ni mzalendo wa ukweli!! CCm wanapaswa kumshukuru kwa kufuatilia mali za CCM zilizokuwa zinapigwa na wajanja!