Wanao mbeza mama SSH na Mbowe kwa kufikia makubaliano ni kundi la sukuma gang.SSH asifae kuwa rais kwa sababu gani? Sasa hv wapinzani na serikali wanaongea lugha moja ndio tunachotaka sio yale maisha ya kuishi kiuoga uoga kama tupo uhamishoni..
Tazama kwanza hiyo ID yake ndiyo utajua chimbuko lake na kwanini anatetea maovu.Unateseka wewe unayeweza kumuona mtu ambaye yuko mafuvu tupu ana uwezo wa kutesa watu, maanake ni unajtambulisha kuwa wewe umeshageuzwa msukule wake
Halafu ana kadi ya CUFAlitamba sana enzi za Jiwe.
Alikuwa anaongea kwa sauti ya mamlaka sana.
Aliigeuza CCM kuwa mali yake na kila aliyekwenda kinyume na atakavyo alimhukumu.
Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.
Tijifunze kuishi na watu vizuri maana hakuna aijuaye kesho yake.
View attachment 2252898
Alitamba sana enzi za Jiwe.
Alikuwa anaongea kwa sauti ya mamlaka sana.
Aliigeuza CCM kuwa mali yake na kila aliyekwenda kinyume na atakavyo alimhukumu.
Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.
Tijifunze kuishi na watu vizuri maana hakuna aijuaye kesho yake.
View attachment 2252898
Hiyo Prefix, mwaka 2025, pale UDSM, atasomeka 'senior lecturer wa DS, Balozi Dr Bashiru, ameahirisha kipindi chake mpaka kesho saa 1 usiku"Hivi PREFIX ya "BALOZI" anaitumia au alinyang'anywa na hadhi ya ubalozi kama alivyofanyiwa KIDATA?
Jamaa wa "CCM itashinda kwa kutumia dola"Kuimba kupokezanaa ...
Jiwe hakufurahishwa na kauli ya mara kwa mara ya Bashiru, ya kusema, "Rais Magufuli hataongeza muda wa kukaa madarakani kipindi chake kikiisha"Una uhakika??
Kwa sababu aliteuliwa Katibu mkuu kiongozi kabla haijatoka taarifa ya kutenguliwa kama Katibu mkuu wa CCM!
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Hiyo Prefix, mwaka 2025, pale UDSM, atasomeka 'senior lecturer wa DS, Balozi Dr Bashiru, ameahirisha kipindi chake mpaka kesho saa 1 usiku"
Bashiru bado anaheshimiwa sana na jamii, hasa jamii inayo penda maendeleo ya haraka na ile ambayo hataki kunyonywa na mafisadi.Kuwa na fedha bila kuheshimika katika jamii yako unayoishi ni sawa na kuwa na kitambi bila kuwa na uhakika wa fedha.
Umesahau kuongeza: Katibu mkuu kiongozi mstaafu na katibu mkuu wa CCM mstaafu! Vyote vyeo vyake.🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Jamaa alilamba nchi ndani ya muda mfupi saaana akamaliza ngazi zoote za uongozi za kiutendaji Serikalini na ndani ya chama alibakiza Uenyekiti tuUmesahau kuongeza: Katibu mkuu kiongozi mstaafu na katibu mkuu wa CCM mstaafu! Vyote vyeo vyake.