kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Ccm inajiandaa na uchaguzi kamili usio na topetopez masalia yoote yanatolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AlikufaHivi Ali happy yupo?
Naona tunajikumbusha kidogo .
Ooh Mungu amrehemuAlikufa
Naona tunajikumbusha kidogo .
Watu ndiyo wanajenga issues hivyo ku -discuss watu ni kutafuta utofauti wa mawazo yao?Kwamba JPM alikuwa boss wa JK? Sijui tunatafuta justification gani! Dr Bashiru kwa vyeo alivyopitia hana hasara! Zaidi amejenga CV ambayo wewe na mimi na ukoo wetu tunaweza tusifikie! Let us discuss issues na sio watu!
Umetapika pumba!Ndani ya CCM mabadiliko ni kitu cha kawaida. Kumbuka wakati Makamba anaingia kwenye Ukatibu Mkuu Mangula alifanyiwa figisi za nguvu na wanamtandao wakati anatoka ndani ya ukumbi akakuta gari yake ya Ukatibu Mkuu limeshachukuliwa hadi akaomba lift lakini baada ya miaka mitatu akachaguliwa kuwa Makamo wa Mwenyekiti Bara. Kwa hiyo haya si mageni ndani ya CCM. Labda ni mageni kwa wana CDM.
Kinana kuna jambo anataka kulilinda lisije likampasukia!Ukiwa mnyoofu kwa maadili ya uongozi kitu walichokafanya Kinana, Makamba Sir, Makamba son na Nape hawakupaswa kurudi kuwa viongozi kabisa! Sema tu kwakuwa Mamanae ndiyo timu yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli alikuwa jambazi, muuaji na fisadi hakuna cha kukumbuka kutoka kwake zaidi ya maumivu!Ila pasipo kushangalia ujio wa kishindo, na kwa namna ile ile ya awali, yaani ujio wa kivingine wa "ari mpya, nguvu mpya, na kasi mpya" slogan iliyoibuliwa na Prof. Mukandala huyu huyu.
Uongozi wa sasa unalazimika kuendeleza na kudumisha mazuri yaliyofanywa na mwendazake. Wananchi wa kada ya chini walimkubali, kumuhusudu na kumwamini.
Wakishindwa kufanya hivyo, utazaliwa upinzani ndani ya CCM, yaani CCM Mpya yenye kumuwakilisha na CCM Maslahi ya hawa wanamtandao na wafanyabiashara wanaokishikilia chama na serikali yake.
Hizi sauti zinazosikika kuhusu haja ya kuwaindoa wahuni waliopo ndani ya chama si za kubeza. Chama kikubwa na kikongwe husambaratika kupitia "its internal weaknesses" na wala siyo kwa kupitia "its external threats"
Ipo siku tutajua wale watu waliokuwa wanapotea nini chanzo
in your immature mind unadhani makamba anapenda Sana kuchezea switch za Umeme?[emoji16]Kwanza elewa jambo moja. Siwezi kusimama bega kwa bega na mtu anaye haribu nchi. Kwa mfano simsapoti makamba na katakata yake ya umeme.
Pilo elewa kwamba siwezi kusimama bega kwa bega na mtu anaye tawala kwa kukandamiza wenzake. Mathalani magufuli akishirikiana na watendaji kazi alio wateua alisababisha watu waishi kama mashetani. Walimie meno, waishi kwa hofu, watu kupotea ubinywaji wa haki za watumishi n.k. kwahio kila upande una mabaya yake.
Sera zake ni very immature ku run ishu nyeti kama za nishati ya taifa. Hence the guy has proved failure. Na chance ya yeye kuendelea kuwepo hapo ni kwasababu ya backup aliyonayo na wala sio utendaji kazi uliotukuka. Yasiwe mengi muda utaongeain your immature mind unadhani makamba anapenda Sana kuchezea switch za Umeme?[emoji16]
vyama Vya kijamaa havifagi Mzee,,,[emoji44]cheki Cuba,china,Venezuela etc,,mizizi yake imejichimbia chini sanaIla pasipo kushangalia ujio wa kishindo, na kwa namna ile ile ya awali, yaani ujio wa kivingine wa "ari mpya, nguvu mpya, na kasi mpya" slogan iliyoibuliwa na Prof. Mukandala huyu huyu.
Uongozi wa sasa unalazimika kuendeleza na kudumisha mazuri yaliyofanywa na mwendazake. Wananchi wa kada ya chini walimkubali, kumuhusudu na kumwamini.
Wakishindwa kufanya hivyo, utazaliwa upinzani ndani ya CCM, yaani CCM Mpya yenye kumuwakilisha na CCM Maslahi ya hawa wanamtandao na wafanyabiashara wanaokishikilia chama na serikali yake.
Hizi sauti zinazosikika kuhusu haja ya kuwaindoa wahuni waliopo ndani ya chama si za kubeza. Chama kikubwa na kikongwe husambaratika kupitia "its internal weaknesses" na wala siyo kwa kupitia "its external threats"
hujaona maendeleo aliyoleta. madaraja,bwawa la Umeme,na kadhalika?Magufuli alikuwa jambazi, muuaji na fisadi hakuna cha kukumbuka kutoka kwake zaidi ya maumivu!
how,,explain, anakosea wapi?Sera zake ni very immature ku run ishu nyeti kama za nishati ya taifa. Hence the guy has proved failure. Na chance ya yeye kuendelea kuwepo hapo ni kwasababu ya backup aliyonayo na wala sio utendaji kazi uliotukuka. Yasiwe mengi muda utaongea