Bashiru kusuka au kunyoa - ni baada ya Kinana kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM

Bashiru kusuka au kunyoa - ni baada ya Kinana kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM

mimi binafsi kwa hali hii inavyoenda naanza kuamini kuwa MAGUFURI HAJAFA KIFO SAHIHI inawezekana alisitishiwa uhai wake na wahuni. Kwa haya yanayoendelea kutokea nchini napata wasiwasi sana. Ila naomba Mungu kama Magu alihujumiwa uhai wake basi waliohusika wote wapite njia hiyo hiyo 100percent. Wageuke tumbili🙁, waandamwe na mikosi na laana, wakose mvuto mahali popote wawe kama wamepakwa kinyesi usoni kwao, wapate mwisho kama walivyotoa mwisho kwa watu wengine
 
Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Mafisi yamerudi buchani
 
Wenye Chama walikuwa wana usongo nae kichizi…hata ile Polepole kuongea ongea naskia alikuwa anatumika bila ya kujijua ili kumuingiza Mkenge KM mstaafu lakin wapiiii…Dr kila akivutwa kuingia ulingoni hataki na 'Golves' alizovalishwa anatamani siku ifike azivue aendelee na maisha yake
ila jamaa toka mwendazake aondoke yupo kimya sana hajawahi kuongea anajua msala wake
 
Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Ukiamuacha Mzee Kinana na Mzee Makamba Snr ambao ni wakubwa kiumri kwa Dk. Bashiru, huwezi jua ya kesho!
 
..labda Dr.Bashiru amerudi ktk chama chake cha zamani CUF.

Ukwell ni kwamba wezi hawakufurahi pale Magufuli na Bashiru walipothibiti wizi wa mali za ccm!!! Ndio maana walipigana kufa au kupona nafasi ya kumuondoa Bashiru ilipojitokeza baada ya Jiwe kutoweka!! Vasco Dagama is the mastermind of all this fraud!! Anataka kuwarudisha wafanya biashara kukifadhili chama chao ; kumbuka enzi za Vasco Dagama alimuweka Rostam Aziz kuwa muweka hazina wa CCM!! Chui akakabidhiwa zizi la mbuzi.!!!!
WAKAJIKABIDHI KITUO CHA TELEVISION: WAKAUZA MITAMBO YA UCHAPISHAJI MAGAZETI YA UHURU NA MZALENDO NA SASA WAMERUDI!!! Utasikia wafanyakazi hawalipwi mishahara.
 
mimi binafsi kwa hali hii inavyoenda naanza kuamini kuwa MAGUFURI HAJAFA KIFO SAHIHI inawezekana alisitishiwa uhai wake na wahuni. Kwa haya yanayoendelea kutokea nchini napata wasiwasi sana. Ila naomba Mungu kama Magu alihujumiwa uhai wake basi waliohusika wote wapite njia hiyo hiyo 100percent. Wageuke tumbili🙁, waandamwe na mikosi na laana, wakose mvuto mahali popote wawe kama wamepakwa kinyesi usoni kwao, wapate mwisho kama walivyotoa mwisho kwa watu wengine
Dhana potofu kabisa..
1.unataka kutuambia ulinzi wa Rais ni dhaifu
2.unataka kutuambia hakustahili kufa
Sasa weye na wengine wa sampuli yako kubalini Mwenyezimungu ni FUNDI KWELI KWELI.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
mimi binafsi kwa hali hii inavyoenda naanza kuamini kuwa MAGUFURI HAJAFA KIFO SAHIHI inawezekana alisitishiwa uhai wake na wahuni. Kwa haya yanayoendelea kutokea nchini napata wasiwasi sana. Ila naomba Mungu kama Magu alihujumiwa uhai wake basi waliohusika wote wapite njia hiyo hiyo 100percent. Wageuke tumbili🙁, waandamwe na mikosi na laana, wakose mvuto mahali popote wawe kama wamepakwa kinyesi usoni kwao, wapate mwisho kama walivyotoa mwisho kwa watu wengine

Kamuulize Magu huko kwenye kaburi lake chattle wapi wako akina BenSaa8, Azory nk. Baada ya hapo ndio uje umtetee yule kiongozi muovu.
 
Katiba Mpya ni muhimu sana.
Lakini kumbukeni. Ngoma bado haijatulia. Hata hawa unaowataja hapa kesho wanaweza kuwa kwenye hali ngum,u kuliko huyo Bashiru. Hakuna mwenye mkataba na Mungu. Ndiyo maana tunasema katiba mpya ni kipaumbele muhimu kuliko kitu chochote ili yaliyotokea yasijirudie tena.
 
Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Aliwashugulikia kivipi wakati Bashiru ndiye aliwapitisha kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM?
 
Hila watanzania tu wanafiki sana, hasa kwa kushangilia matatizo ya wengine wanaoanguka, utadhani nyie mpo hewani hamgusi aridhi.
IMG-20220331-WA0047.jpg
unadhani hapa alikuwa hafurahii matatizo ya wenzake? Tena kinafiki
 
Dhana potofu kabisa..
1.unataka kutuambia ulinzi wa Rais ni dhaifu
2.unataka kutuambia hakustahili kufa
Sasa weye na wengine wa sampuli yako kubalini Mwenyezimungu ni FUNDI KWELI KWELI.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
watapukutika wote, aliyeua kwa upanga utakufa kwa upanga🙁
 
Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Dunia inaenda kasi sana, lakini sishuki!!
 
Back
Top Bottom