Bashiru kusuka au kunyoa - ni baada ya Kinana kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM

Bashiru kusuka au kunyoa - ni baada ya Kinana kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM

Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Hawawezi kumfanya kitu kwani ana mafaili yao ya siri.
 
Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Noma kweli !
 
Aliwashugulikia kivipi wakati Bashiru ndiye aliwapitisha kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM?
CCm lazıma mjifunze kutokana na vitendo vya Magufuli; ccm ni mali ya wanachama na sio mali ya Mwenyekiti kiasi kwamba anaweza kufanya lolote apendalo!! Mlimuachia Magufuli akajifanya MUNGU mtu na sasa Samia nae cheo kimemnogea ameanza kusema eti nchi yetu ni SHAMBA lake!!! Dhana hii ni lazima ipigwe vita kwa Nguvu kwani ndiyo inayopelekea watawala wakiwemo MARAIS kuibia nchi rasilimali nyingi kwani wanaamini nchi ni shamba lao!!
 
Gangs of sukuma land have been bombed with heavy unknown kind of kitu kizito
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Trust me kuna siku mtakuja kumkumbuka Dr. Bashiru hata kama hamtaki. Tangu nianze kuona Bi Hangaya anasoma ovyo, anafanya teuzi sizielewi, anajitetea ni mwanamke, anasafiri bila sababu za msingi, haoneshi mwelekeo ndio kwanza ilikuwa 2021 yeye yuko busy na kujiandaa na uchaguzi wa 2025, anawaambia mawaziri wale kwa urefu wa kamba zao, n.k

Kuna mambo mengi sana ukimpima Hangaya unaona kwa nini Dr. Bashiru hakumkubali. Bashiru ni mbaya ndio, msafi nani pale kijani? Siwezi shangaa mtu asiye wa inner circle kumkataa Hangaya, waliomkubali tushawajua na tunawaona wanatangaza scheduled maintenance, kesho maji yamepungua, keshokutwa mafuta yamepanda, baadae mbia wa mifumo ya uendeshaji. Hauhitaji akili nyingi kufanya assessment kuwa hapa tusubiri muda uende tu ila tusitarajie maajabu. Nchi yenye kiongozi mwenye akili angalau za kufaulu kidato cha sita akishakuwa mzalendo na mwenye uwezo aliyestahili, hakuna mpuuzi yeyote anaweza jaribu kusema ng'ombe wamekunya na kukojoa mtoni wakasababisha samaki kufa
 
Cheo dhamana tuu, hakuna ajuaye kesho na ishi na watu vizuri, hao kina Kinana, Nape, Makamba etc ilionekana kama ndio ulikuwa mwisho wa safari yao katika siasa na wasingerudi tena ila leo ndio hao wanaongelewa kuja kuwa wakuu wa nchi baadaye, hao kina Bashite, Sabaya, Bashiru etc ndio walikuwa wanafikiriwa baada ya jiwe wangeweza kuwa wakuu wa ile nchi lakini sasa wengine ndio wako jela na wengine hawana kazi wanapata aibu hadharani na kuchukuliwa nyumba kama kuku kama walivyokuwa wanadhulumu wenzao, wengine kazi yao inategemea huruma ya uteuzi wa wengine na wanaweza kutemwa anytime na hata kufukuzwa kwenye chama...ISHI NA WATU VIZURI NA USIONEE MTU!!!
 
mimi binafsi kwa hali hii inavyoenda naanza kuamini kuwa MAGUFURI HAJAFA KIFO SAHIHI inawezekana alisitishiwa uhai wake na wahuni. Kwa haya yanayoendelea kutokea nchini napata wasiwasi sana. Ila naomba Mungu kama Magu alihujumiwa uhai wake basi waliohusika wote wapite njia hiyo hiyo 100percent. Wageuke tumbili🙁, waandamwe na mikosi na laana, wakose mvuto mahali popote wawe kama wamepakwa kinyesi usoni kwao, wapate mwisho kama walivyotoa mwisho kwa watu wengine
Baba ake Ben sa 8 nae aliomba dua kama hii na majibu tunayaona.
 
mimi binafsi kwa hali hii inavyoenda naanza kuamini kuwa MAGUFURI HAJAFA KIFO SAHIHI inawezekana alisitishiwa uhai wake na wahuni. Kwa haya yanayoendelea kutokea nchini napata wasiwasi sana.
Bila ushahidi hizi zitabaki kuwa conspiracy theories tuu. Ushahidi unapatikana kwenye uchunguzi wa maiti (autopsy) kabla ya maiti haijazikwa au maiti iliyozikwa kufukuliwa na kuchunguzwa. Kwa mfano mwili wa yule Rais wa Wapalestina, Yasser Arafat ulifukuliwa ukachunguzwa ukakutwa na sumu ya polonium.
 
mimi binafsi kwa hali hii inavyoenda naanza kuamini kuwa MAGUFURI HAJAFA KIFO SAHIHI inawezekana alisitishiwa uhai wake na wahuni. Kwa haya yanayoendelea kutokea nchini napata wasiwasi sana. Ila naomba Mungu kama Magu alihujumiwa uhai wake basi waliohusika wote wapite njia hiyo hiyo 100percent. Wageuke tumbili🙁, waandamwe na mikosi na laana, wakose mvuto mahali popote wawe kama wamepakwa kinyesi usoni kwao, wapate mwisho kama walivyotoa mwisho kwa watu wengine


Wasukuma Gambosh wanashindwa kuungana wakafanya mambo na wakashtaki kwa Mungu wao kwa yoyote aliemtoa jiwe na yeyea au wao kiwakute kitu
 
Tatizo la akina bashiru ni kuwaonea wenzao, kuwapuuza, kuwadharau, kuwadhiaki yaani walikuwa hawana heshima nao, si utamaduni wa CCM, hii ilionyesha wazi CCM imeshikwa na watu ambao hawaijui, si asili yao, hawana mizizi, wengiwamekuja tokea upinzani au wanaharakati ndio wanayafanya haya. Leo wameamua kurudi wenyewe baada ya jiwe kuondoka, Kinana alipumzika ila imebidi arejee ili aweke mambo sawa!
 
Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Sasahivi hana hamu tena arudi CUF
 
Kwanza elewa jambo moja. Siwezi kusimama bega kwa bega na mtu anaye haribu nchi. Kwa mfano simsapoti makamba na katakata yake ya umeme.

Pilo elewa kwamba siwezi kusimama bega kwa bega na mtu anaye tawala kwa kukandamiza wenzake. Mathalani magufuli akishirikiana na watendaji kazi alio wateua alisababisha watu waishi kama mashetani. Walimie meno, waishi kwa hofu, watu kupotea ubinywaji wa haki za watumishi n.k. kwahio kila upande una mabaya yake.
Kuna kitu hujakiweka sawa hapo, wananchi unaosema waliishi kwa hofu au kulimia meno kipindi cha JPM je waliendesha maisha yao kwa njia halali au unaongelea wale jamaa wa madawa ya kulevya, wafanyabiashara kanjanja waliokwepa kodi, watumishi waliozoea upigaji serikalini, majambazi sugu na waliofoji vyeti?

Kwani magufuli alifanya kosa gani kudili na huo uozo. Mbona wananchi wa wakawaida na walioendesha maisha yao kwa njia halali hawakuwa na hizo hofu? Siku zote mtu mwenye hofu ni mtu ambaye anaendesha mambo yake kwa njia haramu.
 
Back
Top Bottom